Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ulimpa pesa akakataa?Kuna mdada namtaka, nimemwambia jana kuwa nampenda.. akaniuliza nimezaliwa tarehe ngapi? Nikamtajia.
Akasema nyota zetu haziendani!
Nikamuuliza kivipi? Akanambia nyota yangu mimi ni ya samaki (Pisces)- ambayo haiendani ya kwake, hivyo kama nataka mpenzi wa kudumu basi niwe na kawaida ya kutembea beach. Kule ndio nitapata mwanamke wa kuendana na mimi na si vinginevyo!
Waatalamu wa mambo vipi, kuna ukweli wowote hapo??