Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

Ulimpa pesa akakataa?
 
Mama yangu ni libra na baba ni cancer. Sijaona kuendana lakini mpaka leo wako pamoja. Naomba hizi ramli chonganishi zifutwe. Kudumu ni Mungu awepo na aabudiwe kwa roho na kweli. Yeye ndo mwanzilishi..yeye ndo atamaliza kila kitu.
Mchimbe ndani kama hujakuta kuna jamaa alimzimiaga ni vile tamaduni zetu kuforce mambo...
 
Utabiri wa nyota ni uongo mtupu, masheikh kibao wanaishi hapa mjini kudanganya watu kutokana na elimu hii fake kutoka kwenye vitabu vyao vya dini. Hajabu hawasemi kuwa hii ni nguvu ya giza kwa kuwa tu wanatumia kitabu ila kama angekuwa babu yangu ananitabiria haya tena kwa ufanisi zaidi kina Abdallah wangemuita mchawi. Waafrika sijuwi nani katuroga mpaka tunajisahau namna hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…