Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ulimpa pesa akakataa?Kuna mdada namtaka, nimemwambia jana kuwa nampenda.. akaniuliza nimezaliwa tarehe ngapi? Nikamtajia.
Akasema nyota zetu haziendani!
Nikamuuliza kivipi? Akanambia nyota yangu mimi ni ya samaki (Pisces)- ambayo haiendani ya kwake, hivyo kama nataka mpenzi wa kudumu basi niwe na kawaida ya kutembea beach. Kule ndio nitapata mwanamke wa kuendana na mimi na si vinginevyo!
Waatalamu wa mambo vipi, kuna ukweli wowote hapo??
Mnamatch vyema kabisa.PerfectMimi Gemini
Mwenzangu Libra
Unfortunately libra ni extrovert na wanamarafiki wengi so avoid copy and paste penda kujifunza.
Mchimbe ndani kama hujakuta kuna jamaa alimzimiaga ni vile tamaduni zetu kuforce mambo...Mama yangu ni libra na baba ni cancer. Sijaona kuendana lakini mpaka leo wako pamoja. Naomba hizi ramli chonganishi zifutwe. Kudumu ni Mungu awepo na aabudiwe kwa roho na kweli. Yeye ndo mwanzilishi..yeye ndo atamaliza kila kitu.
Jane Msowoya duh! mi mwenyewe libraMimi Gemini
Mwenzangu Libra
Tarehe gani sept ni kuambie chap...Mie ni time September ila sijui ndo nyota gan aisee
8Tarehe gani sept ni kuambie chap...
Unfortunately libra ni extrovert na wanamarafiki wengi so avoid copy and paste penda kujifunza.
You're VIRGO;loyal,intelligent and hardworker.
Libra nipo hapo 30septMie Aries mwenzangu Libra