Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Mkuu tunaomba hii elimu,binafsi nawakumbuka wote niliosoma não shule ya msingi ila niliosoma não secondary nawakumbuka watu wasiozidi wanane tu😇Nitakuja kuelekeza mkuu now kuna kazi nafanya
Mfano Mimi naweza kushika vitu thelathini vilivo kwenye mpangilio hard thing ila ni somo zuri sana ukilielewa
Namba za simu nawza nisizisave ila nkazshaka at the leap of the point
Nikipata muda nitaelekeza kwa lugha rahisi sana
Naomba hili darsa ili niwasaidie wanangu wasiwe kilaza kama mimi😂😂😂
Nalog off