Je ubongo una back up memory? Je ni ule mlango wa nane wa fahamu?

Je ubongo una back up memory? Je ni ule mlango wa nane wa fahamu?

Hii seizures inayofanya mtu anaondolewa nusu ya ubongo wake ni ugonjwa gani? I mean unakuwaje?
Kikubwa huwa tunaongelea epilepsy mkuuu wangu defect za mfumo wa sakiti ya umeme kwenye ubongo

Sasa tunaremove hzo part kuondoa madhara zaidi ni rare sana na ni hatari sana hii op

Lazima wazazi wote wawili wakubali Mimi nmefanya moja mpaka sasa ni hatari sana ila mtoto alipona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry, hivi akili sio ubongo?
Akili kwa kingereza ni nini? Sio brain?
Akili sio ubongo. Inabidi tuwaulize wazungu au utusaidie ubongo kama kiungo na akili kipi ni kipi katika Kiingereza. Kadhalika kuna "Intellect" nyinyi wajuzi wa Kiingereza au ambao lugha ya Kiingereza ndio lugha yenu ya kwanza mtatusaidia hapa.
 
Akili sio ubongo. Inabidi tuwaulize wazungu au utusaidie ubongo kama kiungo na akili kipi ni kipi katika Kiingereza.
Labda tuulizane AKILI ni nini?

Jr[emoji769]
 
Labda tuulizane AKILI ninini?

Jr[emoji769]
Hili ndio swali la msingi la kujiuliza katika hii mada.

Kwangu kuna maana zaidi ua moja zinazoelezea akilo ni nini ?

Lakini pia inabidi tujue kwanini AKILI iliitwa AKILI ?

narudi ....
 
Hili ndio swali la msingi la kujiuliza katika hii mada.

Kwangu kuna maana zaidi ua moja zinazoelezea akilo ni nini ?

Lakini pia inabidi tujue kwanini AKILI iliitwa AKILI ?

narudi ....
Hapana Zurri tusianze kuhoji hilo la AKILI kwanini inaitwa AKILI.. Tukiamua kufanya hivyo tutaingia chaka kwakuwa tutahoji kila kitu kwanini kinaitwa hivyo

Jr[emoji769]
 
Hapana Zurri tusianze kuhoji hilo la AKILI kwanini inaitwa AKILI.. Tukiamua kufanya hivyo tutaingia chaka kwakuwa tutahoji kila kitu kwanini kinaitwa hivyo

Jr[emoji769]
Hoja yako nzuri, ila kuna msamiati au kila msamiati una asili yake. Nakupa mfano, Sheikh Nabhaniy ndio alisema au alipendekeza "Runinga" kwa maana "TV" iwe ndio kiwakilishi jina chake. Sheikh Nabhani bingwa wa lugha ya Kiswahili, ameelezea kwanini ameiita "TV" runinga, huu ni mjumuiko wa maneno kadhaa yenye maana pweke.

Kujua asili ya tamko fulani ndio hufanya wepesi wa kulijua tamko hilo kwa uhalisia, na kupitia asili ya kwanini Akili iliitwa akili ukaelewa vyema maana ya AKILI.

Naanzia hapa : Nanukuu;
Akili ni nini ?
The dictionary al-Mu’jam al-wasit, published by the Arabic Language Academy in Cairo, defines reason as what responds to the natural instincts; what enables thought and reasoning and composition and illustration and attestation; and what distinguishes the beautiful from the repulsive, good from evil, and truth from falsehood.

Kwanini "Akili" imeitwa "Akili" ?
"The term is derived from the root ‘ayn qaf lam, its essential meaning being prevention. It so named because reason prevents its bearer from what does not correspond to it, unlike beasts, which act according to their appetites."

Maana ziko nyingi zinazoelezea tamko Akili, zote zinarudi katika maana ya msingi ya "KIZUIZI" ila tutosheke na maana hii, kisha tuendeleze mjadala, baadae tuje tuelezane Akili makazi yake ni wapi ?

Ahsante.
 
Hoja yako nzuri, ila kuna msamiati au kila msamiati una asili yake. Nakupa mfano, Sheikh Nabhaniy ndio alisema au alipendekeza "Runinga" kwa maana "TV" iwe ndio kiwakilishi jina chake. Sheikh Nabhani bingwa wa lugha ya Kiswahili, ameelezea kwanini ameiita "TV" runinga, huu ni mjumuiko wa maneno kadhaa yenye maana pweke.

Kujua asili ya tamko fulani ndio hufanya wepesi wa kulijua tamko hilo kwa uhalisia, na kupitia asili ya kwanini Akili iliitwa akili ukaelewa vyema maana ya AKILI.

Naanzia hapa : Nanukuu;
Akili ni nini ?
The dictionary al-Mu’jam al-wasit, published by the Arabic Language Academy in Cairo, defines reason as what responds to the natural instincts; what enables thought and reasoning and composition and illustration and attestation; and what distinguishes the beautiful from the repulsive, good from evil, and truth from falsehood.

Kwanini "Akili" imeitwa "Akili" ?
"The term is derived from the root ‘ayn qaf lam, its essential meaning being prevention. It so named because reason prevents its bearer from what does not correspond to it, unlike beasts, which act according to their appetites."

Maana ziko nyingi zinazoelezea tamko Akili, zote zinarudi katika maana ya msingi ya "KIZUIZI" ila tutosheke na maana hii, kisha tuendeleze mjadala, baadae tuje tuelezane Akili makazi yake ni wapi ?

Ahsante.
Nimekupata vema kwa muktadha wa asili ya neno AKILI [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]... Tuendelee kujifunza

Jr[emoji769]
 
Nimekupata vema kwa muktadha wa asili ya neno AKILI [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]... Tuendelee kujifunza

Jr[emoji769]
Kwa kufatilia mjadala huu, naona bado tupo au tunakinzana ni yapi hasa makazi ya AKILI.

Somo hili linataka mifano ili kuelewana vizuri. Fasili za kitabibu huwa sizipatilizi sana sababu zina matatizo yake,leo hii ukiwauliza madaktari KIFO ni nini, majibu yake yatakufanya uelewe kwanini siyapatilizi maelezo yao juu ya akili. Nakupa mfano, "Ukiona mtu kwa mbali ukatambua kuwa yule ni mtu, hii kazi imefanywa na mlango wa fahamu kujua ya kuwa yule ni mtu, ukienda mbali na kutaka kujua yule ni nani ? , kazi hii inafanywa na akili. Swali hii akili ipo wapi ?

Nanukuu yafuatayo ili kujua au kuelekea kujua Akili iko wapi, anasema mwanachuoni "Asfahani" yafuatayo :
"Al-Raghib al-Asfahani defined reason in his Mufradat al-Qur’an as the power that enables knowledge."

Akili iko wapi ? Swali la msingi.

The commentator (Mshereheshaji) on the Qamus observes: People differ regarding the intellect: does it have a reality? If so, is it essential or accidental? Is its locus in the head or the heart? Are intellects equal or unequal? Whether power or substance, it is the immaterial degree by which God distinguished humans from beasts.

Tuendelee....
 
Kwa kufatilia mjadala huu, naona bado tupo au tunakinzana ni yapi hasa makazi ya AKILI.

Somo hili linataka mifano ili kuelewana vizuri. Fasili za kitabibu huwa sizipatilizi sana sababu zina matatizo yake,leo hii ukiwauliza madaktari KIFO ni nini, majibu yake yatakufanya uelewe kwanini siyapatilizi maelezo yao juu ya akili. Nakupa mfano, "Ukiona mtu kwa mbali ukatambua kuwa yule ni mtu, hii kazi imefanywa na mlango wa fahamu kujua ya kuwa yule ni mtu, ukienda mbali na kutaka kujua yule ni nani ? , kazi hii inafanywa na akili. Swali hii akili ipo wapi ?

Nanukuu yafuatayo ili kujua au kuelekea kujua Akili iko wapi, anasema mwanachuoni "Asfahani" yafuatayo :
"Al-Raghib al-Asfahani defined reason in his Mufradat al-Qur’an as the power that enables knowledge."

Akili iko wapi ? Swali la msingi.

The commentator (Mshereheshaji) on the Qamus observes: People differ regarding the intellect: does it have a reality? If so, is it essential or accidental? Is its locus in the head or the heart? Are intellects equal or unequal? Whether power or substance, it is the immaterial degree by which God distinguished humans from beasts.

Tuendelee....
Akili ni nini?
Akili ni matokeo ya matumizi sahihi ya ubongo,ni pale ubongo wetu unapofanya kazi ya kuchakata taarifa inayotafutwa na kuchuja mambo kwa logic na kutoa jibu sahihi kwa wakati sahihi

Mfano tunaposema mtoto ana akili za darasani ina maana huyu mtoto ubongo wake upo tayari kupokea taarifa kwa usahihi,kuichakata na kuihifadhi kwenye memory na kutumia taarifa hizo zenye logic kwa usahihi punde zinapohitajika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ni nini?
Akili ni matokeo ya matumizi sahihi ya ubongo,ni pale ubongo wetu unapofanya kazi ya kuchakata taarifa inayotafutwa na kuchuja mambo kwa logic na kutoa jibu sahihi kwa wakati sahihi

Mfano tunaposema mtoto ana akili za darasani ina maana huyu mtoto ubongo wake upo tayari kupokea taarifa kwa usahihi,kuichakata na kuihifadhi kwenye memory na kutumia taarifa hizo zenye logic kwa usahihi punde zinapohitajika


Sent using Jamii Forums mobile app
Akili sio matokeo, hapa tutakuuliza matokeo ni nini ?

Akili ni hali au uwezo, kisha yanaendelea yanayo ihusu akili. Ndio maana wapo wanaosema Akili ipo MOYONI na wengine wanasema makazi yake ni kwenye UBONGO.

Halafu kuna kitu kinaitwa Kipawa/Kipaji sasa usichanganye mtu mwenye akili na mtu mwenye kipawa, ni makosa kusema mtu anae jua hesabu au mahiri katika jambo fulani kwamba ana akili, mtu mwenye akili haesabiki katila njia hizo, ndio maana leo kile wakiitacho "IQ" sio kipimo cha mtu mwenye akili bali kipawa/kipaji.

Mtu mwenye akili anapimwa kwa ile maana ya asili ya tamko AKILI.
 
Back
Top Bottom