Je ubongo una back up memory? Je ni ule mlango wa nane wa fahamu?

Je ubongo una back up memory? Je ni ule mlango wa nane wa fahamu?

Sasa mfumo wa kumbukumbu ulivo mpka MTU anaweza kukumbuka kitu kama ulivojaribu kueleza mkuu wangu uko hivi

Hatua ya kwanza huwa tunaiita encoding hii ni hatua muhimu sana
Mfano ndugu yangu mshana siku uliyomuona first love wako wa kwanza , macho yaliona. , masikio yalisikia labda kicheko chake , pua labda ikanusa marashi yake ..

Hizi information zote hubadlishwa na kwenda katika mfumo wa signals hapa ni parefu sana kupaelekeza na si lengo letu ila jua kwamba information's hubadilika na kuwa signals (tunaziita electrical signals )

Sasa hizi signals na information zote hupelekwa kwenye sehemu ya ubongo ambayo huitwa hippocampus

Na eneo lingine ambalo huitwa frontal cortex ( nmekosa kiswahili cha haya , samahani[emoji18])

Sasa nini hutokea pale ambapo taarifa zmepelekwa hayo maeneo mawili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maeneo mawili hudecide kama kweli hizi informations (taarifa) ni muhimu kuzitunza

Nikipata muda nitaelekeza pia namna unayoweza msaidia mtoto wako uwezo wake wa kumbukumbu uwe sawa au hata wewe mwenyewe

Kama hippocampus ikigundua hii taarifa ni muhimu basi taarifa hutunzwa katika sehemu mbali mbali za ubongo


Sasa katika hizi sehemu mbali mbali za ubongo nini kinatokea haswa. ?!

Basically hizi information hutunzwa katika mfumo wa umeme na kemikali

Mwanzoni niliongelea uwepo wa nerve cells (neurones etc)

Sasa hizi cells zlizopo kwenye ubongo huconnect na nerve seli nyingine kama nlvosema pale mwanzo kwa kutumia synapse
.hujikonekti vipi

Seli moja hupitisha electrical impulse kwenda seli nyingine kitendo cha kupitisha impulse hufanya kemikali (hapa ndo tunaona jinsi kemikali na umeme) znatumika kwenye swala LA utunzwaji kumbukumbu sasa

Naendelea hapo chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ndio yanaitwa mapicha Picha ya ubongo, hapo bado hujagusia lile tukio la kufanya jambo alafu ukahisi kwamba kama ulishawahi kulifanya katika style ya namna hiyohiyo
 
Sasa hizi Brain cells hujiconnect zenyewe kwa zenyewe kwamba electrical signal ikipata neurotransmitter kutoka kwenye seli moja huenda seli nyingine na hapo znakua zmejishikiza au zmeungana

Sasa mkuu ili nieleweke kirahisi maana haya mambo bwana

Brain cells bwana zimejigawanya katika makundi tofauti tofauti , znaform network

Yaah makundi mengi sana kundi LA muziki , kusoma , sex yaani nyingi sana kulingana shughuli zako kadri unavuokua na kuongeza knowledge ndo znavozidi kujigawanya

Sasa kwa nini MTU anaweza Ku restore information na kwa nini tunasahau vitu mfano namba ya simu mpaka tu save majina kwa nini tusingekua tunashika tu namba au kwa nini hauwezi kukumbuka majina hamsini ya watu uliosoma nao primary ??/

Naendelea hapa chin

Hadi hapa tunaelewna sio au kuna swali lolote wakuu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapa patamu sana kama muvi flani LA kutisha [emoji16]

Sasa mkuu wangu mshana hizi seli bwana kwanza pale mwanzo tulisema kwamba information itachukuliwa na kutunzwa katika seli flani (ndo pale mambo ya synapse na mauchafu mengine)

Hizi seli huwasiliana pia mfano seli moja inataka taarifa kwa seli nyingine pia itatengeza hilo daraja(synapse) ili ipokee taarifa

Sasa haya maseli bwana yenyewe huwa yanajigawanya kutokana na taarifa yaliyobeba

Yaliyobeba taarifa za masomo yamekaa sehemu yake , na taarifa za michezo sehemu yake yamejigawanya ani ila sasa haya maseli huwa yanawasiliana yenyewe kwa yenyewe (yaani hili ni jambo muhimu sana ndo maana nalirudia rudia )

Sasa kadri MTU unavyokumbuka kitu au una kirudia kitu kwa nini sasa walimu walkua wanatushauri tusome sana kipindi tu wanafunzi kwa sababu kadri unavyorudia ndo unasababisha seli husika mfano zinazodili na somo LA fizikia zijishikize zenyewe kwa zenyewe kwa hizi synapse

Aani kama unakaza sana kamba za viatu ukiacha kusoma hizi synapse znkua loose ani znaweza achana ila kuna kitu am working on it kuhusu hzi synapses

So sasa inakuaje MTU kapata ajali na anakumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi seli mfano wewe mshana unavotupa elimu ya matunguli huwa zinajibadilisha shape kupokea taarifa mpya yani hii network huwa inabadilika kulingana na taarifa mpya

Tumeipokea sawa tukaitunze kwenye network gani

Network ya tunguli haiwezi tunzwa kwenye network ya fizikia. (Kuna disorder hapa nikipata muda nitaielezea. )

Sasa hichi kitendo huwa tunakiterm kama plasticity ( si unajua plastics inaweza kujireform shape ani uka I mould flan kunja kunja kama rubber )

Sasa kwa mfano MTU akiumia na hizi seli zkaharibika

Lazima hzi seli ztakua znatry kuja kuwa kwenye shape yake ya zamani

Ile network yake ya mwanzoni ya mfumo kumbukumbu

Si unajua plastic mshana huwa INA tend kuregain its original shape and size basi ndo hizi seli zilivo

Kwamba huwa znajaribu kujirudi kwenye mfumo wake pendwa wa awali

Na ingawa huchukua muda ila inadepend ja zliharibika kwa kiasi gani uskute zingine zlkufwa [emoji24] basi hazjrudi

Sasa mkuu tufanyeje ili tujaribu kukumbuka vitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basically ni utafiti unaendelea lakini ili ukumbuke kitu vzuri ile process ya kwanza ile ndo muhimu

Ubongo huwa unatabia ya kufilter vitu vya kwenda Ku store kwenye seli zake

Yaani haukubali uchafu chafu ovyo ovyo uende kwenye seli zake pendwa [emoji16]

Mfano we mshana Leo umeona magari mengi yaani umeona vtu vingi sana lakini kuna part ya ubongo haikupay attention na hcho kitu ikaona ni ujinga tu kujaza ma memory yasiyo na msingu

Sasa inategemea na attention utakayoweka kwenye kitu hapo ndo hippocampus inasense aaah hichi muhimu tukiweke hichi sio muhimu tupa kule

Ingawa sio tupa kule in real ila tuki remove cranial tuka apply proper electrode mzee unaweza ukakumbuka hata mambo ya miaka ishirini nyuma

Nmejaribu kuelekeza mkuu wangu mshana Junior kwa lugha rahisi

Kama kuna swali unaweza niuliza mkuu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hippocampus
nijuavyo mimi hippocampus ni temporal storage location (memory) ni sehem matakataka yote yanafikia kabla ya kupita kwenye filter ili important data ziende kwenye permanent storage.
 
nijuavyo mimi hippocampus ni temporal storage location (memory) ni sehem matakataka yote yanafikia kabla ya kupita kwenye filter ili important data ziende kwenye permanent storage.
Inafanyaa kazi zote storing long term memories and making them resistant to forget

Though hii ni still a debate

Pia INA husika na spatial processing and navigation

Anyway Mungu fundi sana
 
Baba Swalehe nimefatilia lecture uliotoa hapo!! Very Crucial one!!
Kwa hakika hiki chungu cha leo kimeenda poa sana
SWALI:Ni nini kifanyike ili tutunze kumbukumbuku?
Tupe utaalamu nadhifu

Sent from my SM-A750F using Tapatalk
Nitakuja kuelekeza mkuu now kuna kazi nafanya

Mfano Mimi naweza kushika vitu thelathini vilivo kwenye mpangilio hard thing ila ni somo zuri sana ukilielewa

Namba za simu nawza nisizisave ila nkazshaka at the leap of the point

Nikipata muda nitaelekeza kwa lugha rahisi sana
 
Back
Top Bottom