Je ubongo una back up memory? Je ni ule mlango wa nane wa fahamu?

Je ubongo una back up memory? Je ni ule mlango wa nane wa fahamu?

Naweza nisiwe sahihi sana lakini ni kama ulinganifu wa RAM na ROM je kuna mahusiano gani ya ki mawasiliano kati ya moyo na ubongo?( roho na ufahamu) na ni kipi kati ya hivi viwili chenye nguvu ya uhawalisho na kichocheo chanya ama hasi dhidi ya kingine?

Jr[emoji769]
Hilo swali lako mpaka sasa bado wanasayansi hawana jawabu la moja kwa moja.

Hili bado ni fumbo kubwa, ila nnaamini kwa kasi ya teknolojia tunayoenda nayo haitachukua muda mrefu kupata jawabu sahihi ya fumbo hili.
 
Naweza nisiwe sahihi sana lakini ni kama ulinganifu wa RAM na ROM je kuna mahusiano gani ya ki mawasiliano kati ya moyo na ubongo?( roho na ufahamu) na ni kipi kati ya hivi viwili chenye nguvu ya uhawalisho na kichocheo chanya ama hasi dhidi ya kingine?

Jr[emoji769]
Leo ngoja tuchanganyane kwa mtindo huu, nijuavyo mimi ni kuwa, matendo ya mwanadamu yanaratibiwa na kupangwa katika madhumuni tofauti tofauti kwenye MOYO, kisha kupitia MOYO ndio yanaanza kutawanya katika sehemu husika, yanayohusu kumbukumbu yanaenda kwenye ubongo.

Ndio maana tukiongelea maumivu ya MOYO, yapo ya aina mbili, nazo ni:

1. Maumivu ya Moyo kimaana

Mfano, leo hii mtu akisema, nikikumbuka jambo fulani MOYO unaniuma sana, au kwa lile jambo lililo mtokea fulani, daah MOYO huwa unaniuma mno.

2. Maumivu ya Moyo kihisia
Haya ni maarufu.

Naongezea hifadhi ya jambo MOYONI huwa ina nguvu sana, yaani MOYO pia hufikiri na kuhifadhi mambo kwa nguvu mno.

Ahsante.
 
Hivi kwanza AKILI katika mwili wa mwanadamu iko wapi ?

Je ni MOYONI au kwenye UBONGO?
Mkuu Zurri definitely akili iko kwenye ubongo na ndio maana haya IQ (kiwango cha ufahamu/akili) huhusianishwa na ubongo

Moyo chake ni hisia, na ubongo chake ni changamoto.. Inapotokea changamoto kwenye hisia za mahusiano vyote viwili huhusika kila kimoja cha namna yake

Moyo kwa hisia za kuumizwa/kuumiza ama kuwa na 'sense of guilty, '
Ubongo kwa ajili ya kutafuta namna bora ya kutatua tatizo husika

Jr[emoji769]
 
Mkuu Zurri definitely akili iko kwenye ubongo na ndio maana haya IQ (kiwango cha ufahamu/akili) huhusianishwa na ubongo
Moyo chake ni hisia, na ubongo chake ni changamoto.. Inapotokea changamoto kwenye hisia za mahusiano vyote viwili huhusika kila kimoja cha namna yake
Moyo kwa hisia za kuumizwa/kuumiza ama kuwa na 'sense of guilty, '
Ubongo kwa ajili ya kutafuta namna bora ya kutatua tatizo husika

Jr[emoji769]
Kuna kitu hapa nataka tuwekane sawa kidogo ili tuweze kusafiri pamoja katika safari hii ya kubadilishana maarifa, unaposema Moyo yake hisia una maanisha nini ?
 
Kuna kitu hapa nataka tuwekane sawa kidogo ili tuweze kusafiri pamoja katika safari hii ya kubadilishana maaeifa, unaposema Moyo yake hisia una maanisha nini ?
Hapa nimezungumzia mambo mawili

Changamoto na hisia.. Ni lazima hivi viwili kila kimoja kila dealer wake.. Ni kama two way traffic hisia na changamoto.. To and from.. Kwamba kuna intuition ya karibu kati ya moyo na ubongo

Sijui nimekujibu?

Jr[emoji769]
 
Aiseh hii inasisimua... Moyo na ubongo ni organs za aina yake


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wamisri wa kale waliamini moyo ndio kila kitu kufikiri, maamuzi kuendesha mwili in general nk. in short kazi zote zinazofanywa na ubongo leo ni waliamini ni moyo huo katika ubora wake
 
Hivi kwanini unatumia nguvu nyingi kutaka kuonesha kuna ugomvi kati yetu wakati sikufahamu zaidi ya ID yako ambayo hata hivyo sio halisi?
Hii ni forum ya hoja na malumbano kwa wenye kufikiri zaidi ya kufikiri (great thinkers) ni mahali ambapo wanakutana watu wa kada zote, ufahamu na maono tofauti kila mmoja wetu kwa kipawa chake.. Hatuwezi kufanana
Ni kwa muktadha huo siwezi kujipa stress ninapokutana na mtu ambaye mitazamo yake ni kimo cha mbilikimo.. Nunachoweza kufanya ni kumpuuza ili nisianze malumbano yasiyo na tija na kuanza kuoneshana misuli ya ujuaji

Jr[emoji769]
Okay sawa

Ngoja nitumie ID ambayo hatuna shida na ni marafiki kupitiliza [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay sawa

Ngoja nitumie I'd ambayo hatuna shida na ni marafiki kupitiliza [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni maamuzi binafsi sina mamlaka nayo.. Siwezi kukupangia.. Lakini nini maana ya kuwa na ID nyingi? Nadhani ni aina fulani ya kutojitambua.. Kwamba unakuja na ID ya kwanza ukiwa mstaarabu sana halafu unabadili na kuja na nyingine na kuandika upumbavu na kujiona bonge la mjanja...

Nadhani watu wasiojitambua na wenye stress ndio huwa na tabia kama hizi.. Angalia usije kuwa mmojawapo... Tengeneza brand yako kwakuwa na ID moja.. Huko ndio kujiamini.. Vyovyote iwavyo ID yako inakuwa hiyo... Sio ukishindana huku ukashindwa unakimbia na kurudi na ID nyingine...
Jr[emoji769]
 
First unajua kwamba tunaweza remove half ya brain na still a person anaweza kusurvive vizuri tu bila shida yeyote

There was a patient alkua kama ana miaka 21 ni oldest patient kuwa na hemispherectomy na mimi kumu operate tuli remove half ya brain ake for her to survive

Ofcz after op alkua na violent seizures za hapa na pale lakini soon the another hemisphere ikajua tumeondoa hafu nyingine ikaji adapt na kufanya vizuri

Of course alirudi college na akafanya vizuri sana scoring A's and B's

Kwa nini nmeanza na huu utangulizi

Naendelea hapa chij

Sent using Jamii Forums mobile app
 
First unajua kwamba tunaweza remove half ya brain na still a person anaweza kusurvive vizuri tu bila shida yeyote

There was a patient alkua kama ana miaka 21 ni oldest patient kuwa na hemispherectomy na mimi kumu operate tuli remove half ya brain ake for her to survive

Ofcz after op alkua na violent seizures za hapa na pale lakini soon the another hemisphere ikajua tumeondoa hafu nyingine ikaji adapt na kufanya vizuri

Of course alirudi college na akafanya vizuri sana scoring A's and B's

Kwa nini nmeanza na huu utangulizi

Naendelea hapa chij

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi kutumia kiswahili zaidi.. Inaposhindikana kabisa ndio weka misamiati ya kiingereza.. Ukichanganya sana post inakosa ladha

Jr[emoji769]
 
Sasa ubongo una sifa nyingi sana ntazitaja chache sana

1. Katika kila ubongo wa binadamu kuna approximately neurons bilion86, ambazo zipo connected na synapses almost trillion 100 (synapse ndugu yangu mshana ni kiunganishi cha hizi neurons hata kwenye swala la uwezo wa akili za watoto tunaangalia sana neural plasticity , how fast hizi synapse mtoto anaweza zitengeneza at a time na atafungua ngapi, pengine tunawalaumu tu watoto lakini kuja watu their neural plasticity is amazing

Hiyo namba niliyoitja hapo juu ni estimated number still tuna work on it kujua reality


2. Sifa ya pili bwana ubongo wako ndugu yangu mshana ulianza Ku develop pale tu ulipokua conceived pale tu ambapo sperm na egg zilikutana ubongo chap na haraka ulianza kutengenezwa

Kipindi cha mwezi wa kwanza Mimi na wewe tukiwa tumboni mwa mama zetu almost 400 millions neurons zlkua znatengenezwa kwa siku

Naendelea hapo chini, hivi navoongea mwanzo vina maana kubwa sana huko mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa sawa chief ntajitahidi

Ingawa neno kama hemispherectomy nmekosa msamiati wake wa kiswahili

Ila ni procedure ya kuondoa nusu ya ubongo

Kirahisi ni hivo

Neno gani lingine limekutatiza boss
Jitahidi kutumia kiswahili zaidi.. Inaposhindikana kabisa ndio weka misamiati ya kiingereza.. Ukichanganya sana post inakosa ladha

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa ya tatu .brain yako INA generate umeme muda wote yaani umeme wenye volt ambazo znaweza washa bulb ndogo ile (amazing[emoji4])

4. Sifa ya nne signals zake zina tembea kwa speed ya 284mph kwenye hizi nyuroni what a speed hii ndo speed kubwa sana kwenye mwili wa binadamu , skin receptors au vihisishi vilivyo kwenye ngozi(eeh kiswahili kigumu jamani[emoji1]) zenyewe signals zake hutembea kwa 1mph (hii skin hainaga kitu tunaita myelin sheath haya ni kama mafuta yanakuwa yameifunka hiyo nyuroni ambayo inabeba signals so brain yeye nyuroni yake imefunikwa na mafuta yaani kama vile hizi waya za umeme si unaona ganda nje sio waya unakua uchi (eeh nmejaribu hapa unielewe mkuu wangu)

So ona brain ilivo hatari sana

5.tano bwana brain yako haiwezi kusikia maumivu sababu haina receptors haina vipokezi vya maumivu

The organ that control the whole nervous system and it can't feel pain ! (Amazing[emoji7])

This is why we can operate without worrying the pain level of the patient . it is also the reason we can perfom the surgery on a people who are awake , as they feel absolutely nothing

Sifa ya sita na kwa nini nmeeleza haya yote nakuja kuieleza hapa chini

Ngoja nmwandalie mtoto sehemu ya kulala nakuja soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom