Pre GE2025 Je, Uchawa unazorotesha Uwajibikaji? Ipi ni namna bora ya kuhakikisha Uwajibikaji unakuwa sehemu ya Utamaduni wa Kisiasa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ona ulivyopanic sasa Mkuu ... asante kwa kunijuza zaidi kuhusu wewe
Kawaida unaona ni panic!

Hatuko katika wavelengths zilizo sawa ndo maana [1] umeshangaa jambo ambalo ni dhahiri kabisa na [2] wala sijakujuza chochote kuhusu mimi.

Una tatizo la kusoma na kuelewa. Sijakujuza chochote halafu unatoa shukrani!

Shuleni ulikuwa unapata alama gani wewe? 🀣
 
Uchawa ni tabia ya unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo kwasasa uchawa ama kujizima data

Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and hypocrite
 
Uchawa ndio Tunu ya Taifa kwa Sasa. Next Month nitaanza kujiunga Uchawa full combat
 
Uchawa unakera mpaka basi. Aliyeanzisha huu upuuzi alaaniwe milele.
 
Asante tena kwa kuendelea kunijuza kuhusu wewe Mkuu yaani unafunguka tuu
 
Uchawa sio tu unazorotesha uwajibikaji bali pia unapunguza uadilifu, uaminifu, ukweli uzalendo, weledi na viwango nchini.

Unachochea zaidi ubinafsi na kuangalia tumbo tu. Ili kufanikiwa kwenye mfumo wa uchawa inabidi upige kelele kusifia hata kama unajua unasifia uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…