Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Sijazungumzia hilo.Huu ushahidi bado haujitoshelezi mkuu, mm nilifikiri baada ya ripoti kufika kwa mtaalamu pesa zikarudi katika mazingira ambayo na wewe ya kuliacha katika wakati mgumu bila kuelewa nini kilitokea.
Baada ya wiki mbili sehemu ya walioniibia walikamatwa.
Waliwashirikisha boda boda wa eneo la karibu. Alipewa gawio la hela kidogo na maagizo ya kwenda kuitupa simu za miamala.
Bahati nzuri ama mbaya tamaa ikamuingia akaingia mtaani kuziuza. Tracking ikawakamata waliouziwa na kumtaja huyo ndugu.
Waajiri wake, walipigwa risasi baada ya kwenda kuvamia sehemu nyingine.
Sikupata hata mia, lakini simu na mashine zilirudi.