Je, Uchawi una mchango wowote katika kukuza Biashara?

Huu ushahidi bado haujitoshelezi mkuu, mm nilifikiri baada ya ripoti kufika kwa mtaalamu pesa zikarudi katika mazingira ambayo na wewe ya kuliacha katika wakati mgumu bila kuelewa nini kilitokea.
Sijazungumzia hilo.

Baada ya wiki mbili sehemu ya walioniibia walikamatwa.

Waliwashirikisha boda boda wa eneo la karibu. Alipewa gawio la hela kidogo na maagizo ya kwenda kuitupa simu za miamala.

Bahati nzuri ama mbaya tamaa ikamuingia akaingia mtaani kuziuza. Tracking ikawakamata waliouziwa na kumtaja huyo ndugu.

Waajiri wake, walipigwa risasi baada ya kwenda kuvamia sehemu nyingine.

Sikupata hata mia, lakini simu na mashine zilirudi.
 
Hujui chochote wewe na kama kukumbatia hiyo imani yako utaendelea kuwa masikini daima, labda nikuulize ulishawahi kufanya kazi na wachina wanaojenga barabara unajua nini huwa kinafanyika ili kukamilisha ujezi? Sasa wale hata hawafichi watoa kafara live bila chenga
 
Naona unaenda kuwa mchawi kamili. Hongera bwana. Kafara utaanza kutoa lini or is too soon, sadly ni mama yako mzazi ndo anakuendesha.
 
Naona unaenda kuwa mchawi kamili. Hongera bwana. Kafara utaanza kutoa lini or is too soon, sadly ni mama yako mzazi ndo anakuendesha.
nmecheka sana ,,,,jamaa anadai kuzindika sio uchawiiiiiiiii😀😀😀😀😀😀
 
Muwe mnaandika jounals kufundisha wengine na kuendeleza kipaji.
 
Sawa, kama ambavyo huniletei mkate mezani, kaa kwa kutulia.
Shida ni kwamba nikikuletea mkate unaweza nichinja kwa maagizo ya mama yako ili uzidi kutajirika. Kwa hiyo wewe na mama yako nani kamzidi mwenzie? Alafu we ni mtu mzima wa aina gani unachukua ushauri wa kijinga kiasi hiko? Kwa hiyo mama yako akikuambia utoe kafara wewe ni kitendo cha dakika zero au sio
 
Hii ni Vita Kama mlidhani Vita inaisha kirahisi au inashindwa kirahisi Kila mtu aamini anacho amini aingie na silaha anayoijua vitani ....kwenye kuleta ugali mezani sio kazini,kwenye siasa ,biashara,mashuleni hakujawai kua rahisi
 
Duh! Kwa hiyo tunakula uchafu wa waganga tuu?
 
Je, kwa nini tusiusome ktk masomo ya vyuoni kwa maendeleo ya umma?

Kuna elimu zimefichwa haiwezekani kuziweka katika masomo ya vyuoni

Lakini elimu hizo ukizitaka utazipata Kwa manufaa yako maana wengine wanaweza wasizihitaji
But nchi kama S Africa Kuna vyuo kabisa vya ulozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…