Pre GE2025 Je, Ugumu wa Maisha na Ukosefu wa ajira kwa vijana inawezekana kikawa Chanzo cha CCM kushindwa Uchaguzi ujao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio kwa bongo! Haohao wakikusanywa shamba la bibi ni jokate wakapewa buku 5 na T-shirt kesho yake wanaimba mama kawapigia mwingi! Elimu yetu inahitaji mabadiliko makubwa ili iwape vijana ufahamu kwanza
 
Asilimia kubwa sana ya Watu wana MAISHA MAGUMU

Asilimia kubwa ya vijana hawana AJIRA

Lazima CCM watashindwa au kuwa wa mwisho au kushika Mkia

Je, CCM watapata kura wapi wakati asilimia kubwa ya watu wana hali ngumu?
Ni endapo wanajitambua, vinginevyo ccm wataendelea kushinda
 
Duh!
 
Sio kwa bongo! Haohao wakikusanywa shamba la bibi ni jokate wakapewa buku 5 na T-shirt kesho yake wanaimba mama kawapigia mwingi! Elimu yetu inahitaji mabadiliko makubwa ili iwape vijana ufahamu kwanza
🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…