Je uhusishwaji wa ugaidi na uislam ni mpango wa watu fulani au ni ukweli usio na shaka??

Je uhusishwaji wa ugaidi na uislam ni mpango wa watu fulani au ni ukweli usio na shaka??

Rough player

Member
Joined
May 26, 2018
Posts
39
Reaction score
120
Natumaini wote wazima humu jamvini
Bila kuchelewa naona niende moja kwa moja kwenye mada husika

Kwanza kabisa nianzie hapa kutokana na matukio mengi ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya kigaidi (al qaeda alshaabab isis taliban n.k) vinavyodai vinafanya hivyo kwa ajili ya allah/islam,,sasa kutokana na hilo nikaamua kufanya utafiti wa kujua ukweli wa mambo kiundani zaidi na kujua nini hasa kinaendelea,

Historia inatuambiaje kuhusu uhusishwaji wa uislam na ugaidi,, miaka 1400 iliyopita ambayo neno islam liliamza kutumika kama jina la dini huko mashariki ya kati hakukua na kitu kilichoitwa ugaidi kipindi chote hicho ila ugaidi ulianza pale tu marekani na washirika wake kuamua kuivamia mashariki ya kati miaka 20 iliyopita kuanzia hapo tulishuhudia vikundi vya kigaidi vikizuka zaidi ambapo huko nyuma havikuwepo wala ugaidi haukuwepo kwa maana hiyo tunapata kujua kua marekani ilikua chanzo cha kuingiza ugaidi mashariki ya kati,

Je lengo kuu la kuingiza ugaidi mashariki ya kati ni lipi?
Kuna kiongozi mmoja freemason aliyekua anaitwa albert pike alizaliwa 1809 na kufariki 1891 alikua ni mwandishi mwanajeshi pia freemason wa (degree ya 33 ambayo ndiyo ya mwisho)mnamo mwaka 1857 alisema katika moja wa mipango yao kishetani/freemason ni kuutumia uislam kuichafua dunia na uislam wenyewe ndiyo maana kila tukio la kigaidi viongozi wa vikundi hivyo hujitokeza na kudai ni wao wamefanya kwa ajili ya allah,,hiyo hupelekea watu wengi wasiojua ukweli kiundani kuuchukia uislam na wasipende hata kujua ukweli wowote hii imeiathiri dunia na jamii ya kiislam kiujumla

Kwa maana hata ukiangalia kwa usahihi unapata kujua uislam haufundishi ugaidi ni vitu viwili visivyoingiliana ila ni wale pekee wenye upungufu wa maarifa na kuona nini kinaendelea kwa undani

Watu wa ulaya na marekani wengi wanajiunga na uislam kutokana wanasoma na kuelewa na kujua ukweli kwamba uhalisia wa dini na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watu au vikundi sio kati ya dini hiyo bali ni wanafanya kwa manufaaa na mipango yao

Nimejaribu kuelezea kwa namna nilivyofanya tafiti kama kuna cha kuongeza au kuna sehemu nimekosea basi turekebishane hakika humu tupo kwa ajili ya kujifunza

Nawasilisha
 
Kuna kitu nyuma ya pazia baina ya hawa watu wawili
 
Wala haijaniweka mahali pazuri pa kuelewa kwa nini uislam na ugaidi utenganishwe.



Ni nini uislamu ?
p ni dini ambayo amekuja nayo bwana mtume MUHAMMAD S.A.W na sheria yake ambayo ni (Qur'an) na uislamu umekuja kukamilisha sheria zote zilizopita. Na uislamu ni dini ya mitume wote kwanzia Adam mpaka mtume Muhammad ila sheria ya mtume Muhammad ni tofauti na sheria za mitume wengine lakini dini zao wote ni uislamu ila sheria zao ndio tofauti.
Uislamu ni kunyenyekea na kujisalimisha kwa mungu mmoja (ALLAH) na kumuabudu mungu mmoja mwenye nguvu alie mbinguni alieumba mbingu ba ardhi na vilivyomo.
Waislamu wanaviamini vitabu vyote vya mbinguni vilivyoteremshwa na mungu kama vile torati,injili (bibilia) , zaburi , Qur'an na waislamu pia wanaamini mitume wote akiwemo ISSA A.S yaani YESU.
Mungu ni nani ?
Mungu au ALLAH ndie mungu mmoja alieumba kila kitu na ndie anaeendesha kila kitu katika ulimwengu ni mungu mmoja anaejitegemea mwenye nguvu hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanani na kitu chochote wala haonekani kwa utukufu wake.
Uislamu unafundisha nini ?
Uislamu unafundisha kumuabudu mungu mmoja na kuacha kuabudu masanamu na vitu vingine , uislamu unafundisha tabia njema ,kuishi na majirani vizuri , kuwatendea wema wazazi wawili , na kuwafanyia wema watu wote hata wasiokua waislamu imekuja katika Qur'an "hawakatazi ALLAH kwa wale wasiowapiga vita katika dini yenu na hawajawatoa katika majumba yenu kuwafanyia wema na kuwafanyia uadilifu hakika ALLAH anawapenda wenye kufanya uadilifu".
Yesu ni nani kwa waislamu ?
Yesu ama nabii (Issa) ni binadamu kama binadamu wengine na ni mtume katika mitume wa ALLAH wala sio mungu wala mwana wa mungu na kuzaliwa kwake bila ya baba ilikua ni miujiza katika miujiza ya mungu kwani yesu ni kama nabii (Adam) ambae aliumbwa bila ya baba wala mama, na nabii Issa au yesu kama manabii wengine alipewa miujiza ya kufufua maiti na kuwaponya wagonjwa sio kwa uwezo wake bali ni kwa uwezo wa ALLAH na siku ya mwisho atawakana wanaomuabudu na sisi waislamu tunaamini yakwamba yesu hakuuwawa wala hakusulubiwa bali alipaishwa mbinguni kwa mwenyezimungu.
Uislamu hauamrishi ugaidi wala hakuna ugaidi katika uislamu.uislamu unaharamisha kumwaga damu za watu ovyo isipokua kwa haki.imekuja katika Qur'an yakwamba mwenye kuua nafsi moja ni kanakwamba ameua ulimwengu mzima.kuna baadhi ya wanaojifanya waislamu na kutumia jina la uislamu kuua hao wako mbali na uislamu na uislamu uko mbali nao.


JIHAD ni nini katika UISRAM
unaposema JIHAD unamaana kujituma zaidi au kujitolea
na unapozungumzia JIHADI katika UISLAM inamaaka kujituma zaidi na kujitolea zaidi kwa ajiri ya DINI malipo ikiwa ni kwa MUNGU
hivyo JIHADI ya kwanza kabisa inaanza nafsi mwako ukiweza kushida JIHAD ya nafsi yako basi inafatia wanaokuzunguka famiria yako na ndugu zako

Ili uweze kupigana JIHADI kama hivyo wanayojinasibu hao Boko khalamu na alshabab Shart uwe MJAHIDINA
sasa ni nini JIHAD na nani MUJAHIDINA ?
ni muumini anayefanya juhudi(JIHAD) katika njia ya Allah, kwa mali yake nafsi yake na muda wake

Jihad inapigwana wapi na kina nani na wakati gani ?

kwanza tambua
UISLAMU si dini ya mabavu
Uislamu unajali zaidi hoja na siyo nguvu
Unamtaka mwanadamu atumie akili yake katika kumtambua Muumba wake.
na Ndiyo maana katika Qur’an haimlazimishi mtu kumkubali Mwenyezi Mungu bali inamtaka binadamu atumie akili na kuzingatia
Qur’an inasema:
"Je! Hawatazami ngamia jinsi walivyoumbwa? Na mbingu jinsi zilivyoinuliwa. Na milima jinsi ilivyothubutishwa. Na ardhi jinsi ilivyotandazwa?" (Al- Ghashiyah 88:17-20).

hapa MWENYEZIMUNGU anawataka wanaadamu(wakrsto kwa waislamu) watazame umbo la ngamia, mbingu, majabali na ardhi, kisha watumie akili zao kupima ili waone kama vyote hivyo vimekuja vyenyewe hivi hivi au yuko aliyeviumba?
Kisha MWENYEZIMUNGU akamwambia Mtume wake:
"Basi kumbusha, hakika wewe ni mkumbushaji (tu). Wewe si mwenye kuwatenza nguvu’. (Al-Ghashiyah 88:21-22)

sasa hapo Unaona Uislamu umeilenga zaidi akili ya mwanadamu. Mwanadamu amekuwa ni kiumbe bora kuliko mnyama kwa sababu ya akili aliyo nayo. Binadamu asiye na akili hatofautiani na mnyama. Mwenye akili hupima kila analoambiwa. Akiliona linakubaliana na akili analikubali na akigundua halikubaliani na akili, basi naye hulikataa. Na Uislamu ndivyo ulivyo. Hoja zake zinachuana na akili ya binadamu. Kama akili inakataa kukubali kuwa 1 + 1 + 1 ni 3, kwanini basi akili itaabishwe kwa kupewa jawabu isiyoridhia na ya uwongo?


Na vipi Muislamu atakashifu dini nyingine na wakati Uislamu wenyewe unakataza kufanya hivyo
unaweza ukashangaa unakataza kukashifu je ni vipi wale wanaojinasibu kuchinja watu kwa kigezo cha JIHADI na kuwaita makafiri wakati kumbe hata kukashifu dini nyingne kwa lugha kali UISLAM unakataza !!?
ni some kwa umakini utanielewa

Qur’an Tukufu inasema:
"Wala msiwatukane wale ambao wanaabudu, kinyume cha MWENYEZIMUNGU wasije wakamtukana MWENYEZIMUNGU kwa jeuri zao bila kujua". (Al An-Am 6:108).

Na kutokana na aya hiyo hapo juu MWENYEZIMUNGU alimwagiza
Mtume muhammad kwa kumwambia
"Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora (siyo kwa kuwatukana wao au kutukana dini zao)". (An Nahl 16:125).

Mtume (saw) akafuata maagizo ya Mola wake. Kwa miaka 13 mfululizo aliwalingania watu wa Makka kwa maneno mema, hekima na busara. Katu hakuwatukana wala kutumia nguvu. Kinyume chake yeye na wafuasi wake ndio waliokuwa wakitukanwa kunyanyaswa na kuteswa.

Na kila mara katika kulingania akijibiwa hovyo au kukashfiwa
MWENYEZIMUNGU alimwambia,
"Basi wasamehe na uwaambie (maneno mazuri) ya salama (labda mwisho wake watatambua). Hivi karibuni watajua". (Az-Zukhruf 43:89).

Na pale alipofanyiwa uovu mkubwa aliambiwa,
"Ondosha mabaya (unayofanyiwa) kwa (kulipa) mema". (Al Muuminun 23:96).


ni kama wewe ulipouliza hapo juu inakuwaje BOKO KHALAM kufanya yale yanayofanya hali kadhalika AL SHABAB kila siku kuua watu wasio na hatia
kisha nije na nahau nilizozipangilia vema kuwa Uislamu ni dini ya amani, na jihadi siyo vita na ilihali Waislamu kila uchao w wanapigana vita vya jihadi?

Vita hupiganwa kwa malengo mawili makuu. Aidha kwa kupigania maslahi ya kidunia, kama kutaka kuziteka na kuzitawala nchi nyingine, kupata mali ghafi au masoko ya kuuzia bidhaa ardh nk
au pia vita vinaweza kupiganwa kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya adui.

Kwa vyovyote vile vita hivyo viwili havifanani. Vile vya aina ya kwanza ni vya uchokozi na vile vya pili ni vya kujihami
Uislamu unaviita vile vita vya uchokozi "Harbun" na vile vya kujihami "Jihadun

Ilitarajiwa Waislamu wafanye nini baada ya kudhulumiwa uhuru wa kuabudu na kufukuzwa katika nchi yao kuporwa ardhi yao na wengine kuuawa

Bila shaka hiyo ni jeuri iliyopindukia na hakuna atakayeivumilia. Ndipo hapo Mwenyezi Mungu (sw) akawapa Waislamu ruhusa ya kupigana. Ruhusa ya kwanza waliyopewa ilikuwa

"Wameruhusiwa (kupigana) wale wanaopigwa, kwa sababu wamedhulumiwa. Na kwa yakini Mwenyezi Mungu ni muweza wa kuwasaidia ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki ila kwa sababu wanasema ‘Mola wetu ni Allah’ (Al Hajj 22:39-40)


Huo ukawa ndio mwanzo wa vita vya jihadi. Lakini msisitizo mkubwa waliowekewa ulikuwa wasipigane vita vya uvamizi bali vita vya kujihami. Na shahidi wa haya ni ile kauli ya Allah(sw) inayosema
"Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanaokupigeni, wala msipindukie mipaka (mkawapiga wasiowapigeni). Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi warukao mipaka" (Al Baqarah 2:190).

rejea mikasa ya MYNMAR waislamu wa ROHNGYA na PARESTINA wanavyofanyiwa na ISRAEL then linganisha na SYRIA SOMARIA na huko NIGERIA na baadhi ya NCHI nyingne wanavyopigana kwa Chuki USUNNI na USHIA
then tumia akili yako kung'amua lipi ni lipi wapi sahihi wapi UZUSHI

MKUU uislamu ni DINI nzuri sana yenye MUONGOZO thabiti kwa walioamini
na si propaganda za mitaani ukitaka kuujua UBORA na UZURI wa UISRAMU ujifunze kwa undani
Jihad action commands in war.jpg
 
The line that differentiate Islamic from terrorism is very thin in such a way it can't be seen
 
Ni nini uislamu ?
p ni dini ambayo amekuja nayo bwana mtume MUHAMMAD S.A.W na sheria yake ambayo ni (Qur'an) na uislamu umekuja kukamilisha sheria zote zilizopita. Na uislamu ni dini ya mitume wote kwanzia Adam mpaka mtume Muhammad ila sheria ya mtume Muhammad ni tofauti na sheria za mitume wengine lakini dini zao wote ni uislamu ila sheria zao ndio tofauti.
Uislamu ni kunyenyekea na kujisalimisha kwa mungu mmoja (ALLAH) na kumuabudu mungu mmoja mwenye nguvu alie mbinguni alieumba mbingu ba ardhi na vilivyomo.
Waislamu wanaviamini vitabu vyote vya mbinguni vilivyoteremshwa na mungu kama vile torati,injili (bibilia) , zaburi , Qur'an na waislamu pia wanaamini mitume wote akiwemo ISSA A.S yaani YESU.
Mungu ni nani ?
Mungu au ALLAH ndie mungu mmoja alieumba kila kitu na ndie anaeendesha kila kitu katika ulimwengu ni mungu mmoja anaejitegemea mwenye nguvu hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanani na kitu chochote wala haonekani kwa utukufu wake.
Uislamu unafundisha nini ?
Uislamu unafundisha kumuabudu mungu mmoja na kuacha kuabudu masanamu na vitu vingine , uislamu unafundisha tabia njema ,kuishi na majirani vizuri , kuwatendea wema wazazi wawili , na kuwafanyia wema watu wote hata wasiokua waislamu imekuja katika Qur'an "hawakatazi ALLAH kwa wale wasiowapiga vita katika dini yenu na hawajawatoa katika majumba yenu kuwafanyia wema na kuwafanyia uadilifu hakika ALLAH anawapenda wenye kufanya uadilifu".
Yesu ni nani kwa waislamu ?
Yesu ama nabii (Issa) ni binadamu kama binadamu wengine na ni mtume katika mitume wa ALLAH wala sio mungu wala mwana wa mungu na kuzaliwa kwake bila ya baba ilikua ni miujiza katika miujiza ya mungu kwani yesu ni kama nabii (Adam) ambae aliumbwa bila ya baba wala mama, na nabii Issa au yesu kama manabii wengine alipewa miujiza ya kufufua maiti na kuwaponya wagonjwa sio kwa uwezo wake bali ni kwa uwezo wa ALLAH na siku ya mwisho atawakana wanaomuabudu na sisi waislamu tunaamini yakwamba yesu hakuuwawa wala hakusulubiwa bali alipaishwa mbinguni kwa mwenyezimungu.
Uislamu hauamrishi ugaidi wala hakuna ugaidi katika uislamu.uislamu unaharamisha kumwaga damu za watu ovyo isipokua kwa haki.imekuja katika Qur'an yakwamba mwenye kuua nafsi moja ni kanakwamba ameua ulimwengu mzima.kuna baadhi ya wanaojifanya waislamu na kutumia jina la uislamu kuua hao wako mbali na uislamu na uislamu uko mbali nao.


JIHAD ni nini katika UISRAM
unaposema JIHAD unamaana kujituma zaidi au kujitolea
na unapozungumzia JIHADI katika UISLAM inamaaka kujituma zaidi na kujitolea zaidi kwa ajiri ya DINI malipo ikiwa ni kwa MUNGU
hivyo JIHADI ya kwanza kabisa inaanza nafsi mwako ukiweza kushida JIHAD ya nafsi yako basi inafatia wanaokuzunguka famiria yako na ndugu zako

Ili uweze kupigana JIHADI kama hivyo wanayojinasibu hao Boko khalamu na alshabab Shart uwe MJAHIDINA
sasa ni nini JIHAD na nani MUJAHIDINA ?
ni muumini anayefanya juhudi(JIHAD) katika njia ya Allah, kwa mali yake nafsi yake na muda wake

Jihad inapigwana wapi na kina nani na wakati gani ?

kwanza tambua
UISLAMU si dini ya mabavu
Uislamu unajali zaidi hoja na siyo nguvu
Unamtaka mwanadamu atumie akili yake katika kumtambua Muumba wake.
na Ndiyo maana katika Qur’an haimlazimishi mtu kumkubali Mwenyezi Mungu bali inamtaka binadamu atumie akili na kuzingatia
Qur’an inasema:
"Je! Hawatazami ngamia jinsi walivyoumbwa? Na mbingu jinsi zilivyoinuliwa. Na milima jinsi ilivyothubutishwa. Na ardhi jinsi ilivyotandazwa?" (Al- Ghashiyah 88:17-20).

hapa MWENYEZIMUNGU anawataka wanaadamu(wakrsto kwa waislamu) watazame umbo la ngamia, mbingu, majabali na ardhi, kisha watumie akili zao kupima ili waone kama vyote hivyo vimekuja vyenyewe hivi hivi au yuko aliyeviumba?
Kisha MWENYEZIMUNGU akamwambia Mtume wake:
"Basi kumbusha, hakika wewe ni mkumbushaji (tu). Wewe si mwenye kuwatenza nguvu’. (Al-Ghashiyah 88:21-22)

sasa hapo Unaona Uislamu umeilenga zaidi akili ya mwanadamu. Mwanadamu amekuwa ni kiumbe bora kuliko mnyama kwa sababu ya akili aliyo nayo. Binadamu asiye na akili hatofautiani na mnyama. Mwenye akili hupima kila analoambiwa. Akiliona linakubaliana na akili analikubali na akigundua halikubaliani na akili, basi naye hulikataa. Na Uislamu ndivyo ulivyo. Hoja zake zinachuana na akili ya binadamu. Kama akili inakataa kukubali kuwa 1 + 1 + 1 ni 3, kwanini basi akili itaabishwe kwa kupewa jawabu isiyoridhia na ya uwongo?


Na vipi Muislamu atakashifu dini nyingine na wakati Uislamu wenyewe unakataza kufanya hivyo
unaweza ukashangaa unakataza kukashifu je ni vipi wale wanaojinasibu kuchinja watu kwa kigezo cha JIHADI na kuwaita makafiri wakati kumbe hata kukashifu dini nyingne kwa lugha kali UISLAM unakataza !!?
ni some kwa umakini utanielewa

Qur’an Tukufu inasema:
"Wala msiwatukane wale ambao wanaabudu, kinyume cha MWENYEZIMUNGU wasije wakamtukana MWENYEZIMUNGU kwa jeuri zao bila kujua". (Al An-Am 6:108).

Na kutokana na aya hiyo hapo juu MWENYEZIMUNGU alimwagiza
Mtume muhammad kwa kumwambia
"Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora (siyo kwa kuwatukana wao au kutukana dini zao)". (An Nahl 16:125).

Mtume (saw) akafuata maagizo ya Mola wake. Kwa miaka 13 mfululizo aliwalingania watu wa Makka kwa maneno mema, hekima na busara. Katu hakuwatukana wala kutumia nguvu. Kinyume chake yeye na wafuasi wake ndio waliokuwa wakitukanwa kunyanyaswa na kuteswa.

Na kila mara katika kulingania akijibiwa hovyo au kukashfiwa
MWENYEZIMUNGU alimwambia,
"Basi wasamehe na uwaambie (maneno mazuri) ya salama (labda mwisho wake watatambua). Hivi karibuni watajua". (Az-Zukhruf 43:89).

Na pale alipofanyiwa uovu mkubwa aliambiwa,
"Ondosha mabaya (unayofanyiwa) kwa (kulipa) mema". (Al Muuminun 23:96).


ni kama wewe ulipouliza hapo juu inakuwaje BOKO KHALAM kufanya yale yanayofanya hali kadhalika AL SHABAB kila siku kuua watu wasio na hatia
kisha nije na nahau nilizozipangilia vema kuwa Uislamu ni dini ya amani, na jihadi siyo vita na ilihali Waislamu kila uchao w wanapigana vita vya jihadi?

Vita hupiganwa kwa malengo mawili makuu. Aidha kwa kupigania maslahi ya kidunia, kama kutaka kuziteka na kuzitawala nchi nyingine, kupata mali ghafi au masoko ya kuuzia bidhaa ardh nk
au pia vita vinaweza kupiganwa kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya adui.

Kwa vyovyote vile vita hivyo viwili havifanani. Vile vya aina ya kwanza ni vya uchokozi na vile vya pili ni vya kujihami
Uislamu unaviita vile vita vya uchokozi "Harbun" na vile vya kujihami "Jihadun

Ilitarajiwa Waislamu wafanye nini baada ya kudhulumiwa uhuru wa kuabudu na kufukuzwa katika nchi yao kuporwa ardhi yao na wengine kuuawa

Bila shaka hiyo ni jeuri iliyopindukia na hakuna atakayeivumilia. Ndipo hapo Mwenyezi Mungu (sw) akawapa Waislamu ruhusa ya kupigana. Ruhusa ya kwanza waliyopewa ilikuwa

"Wameruhusiwa (kupigana) wale wanaopigwa, kwa sababu wamedhulumiwa. Na kwa yakini Mwenyezi Mungu ni muweza wa kuwasaidia ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki ila kwa sababu wanasema ‘Mola wetu ni Allah’ (Al Hajj 22:39-40)


Huo ukawa ndio mwanzo wa vita vya jihadi. Lakini msisitizo mkubwa waliowekewa ulikuwa wasipigane vita vya uvamizi bali vita vya kujihami. Na shahidi wa haya ni ile kauli ya Allah(sw) inayosema
"Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanaokupigeni, wala msipindukie mipaka (mkawapiga wasiowapigeni). Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi warukao mipaka" (Al Baqarah 2:190).

rejea mikasa ya MYNMAR waislamu wa ROHNGYA na PARESTINA wanavyofanyiwa na ISRAEL then linganisha na SYRIA SOMARIA na huko NIGERIA na baadhi ya NCHI nyingne wanavyopigana kwa Chuki USUNNI na USHIA
then tumia akili yako kung'amua lipi ni lipi wapi sahihi wapi UZUSHI

MKUU uislamu ni DINI nzuri sana yenye MUONGOZO thabiti kwa walioamini
na si propaganda za mitaani ukitaka kuujua UBORA na UZURI wa UISRAMU ujifunze kwa undani
Hili la manabii wote kuwa waislam nelifanyia utafiti mkubwa sana.Unabii ulikuwa kwa kizazi cha Ibrahim peke yake pamoja na wanae ambapo historia inatambua kuwa wao walikuwa waebrania na si vinginevyo.Manabii wote walinena kwa lugha hiyo na mode ya ufunuo wao haikuwa kupitia kwa malaika yeyote bali Roho wa Mungu mwenyewe.Ukifuatilia geneology ya vizazi vya Ibrahim unakuta kuwa hakuna mahala Muhammad anafit kwa sababu yeye ni mkureshi kutoka Yemen na mwisho wa siku Ibn Ishak anampachika ili a qualify kuwa mzao wa Ishmael.Makureshi hawana uhusiano wowote wa kidamu na Ishmael na wala waarabu si wana wa Ishmael kwa sababu watoto wote na wajukuu wa Ishmael hakuna waarabu bali waebrania.Manabii wote wa Israel ni wana wa Yuda na walitokea Judea.Huwa napata shida sana kumtambua Muhammad kama nabii wa Mungu ninayemuamini mimi.Naomba kujifunza
 
Ni nini uislamu ?
p ni dini ambayo amekuja nayo bwana mtume MUHAMMAD S.A.W na sheria yake ambayo ni (Qur'an) na uislamu umekuja kukamilisha sheria zote zilizopita. Na uislamu ni dini ya mitume wote kwanzia Adam mpaka mtume Muhammad ila sheria ya mtume Muhammad ni tofauti na sheria za mitume wengine lakini dini zao wote ni uislamu ila sheria zao ndio tofauti.
Uislamu ni kunyenyekea na kujisalimisha kwa mungu mmoja (ALLAH) na kumuabudu mungu mmoja mwenye nguvu alie mbinguni alieumba mbingu ba ardhi na vilivyomo.
Waislamu wanaviamini vitabu vyote vya mbinguni vilivyoteremshwa na mungu kama vile torati,injili (bibilia) , zaburi , Qur'an na waislamu pia wanaamini mitume wote akiwemo ISSA A.S yaani YESU.
Mungu ni nani ?
Mungu au ALLAH ndie mungu mmoja alieumba kila kitu na ndie anaeendesha kila kitu katika ulimwengu ni mungu mmoja anaejitegemea mwenye nguvu hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanani na kitu chochote wala haonekani kwa utukufu wake.
Uislamu unafundisha nini ?
Uislamu unafundisha kumuabudu mungu mmoja na kuacha kuabudu masanamu na vitu vingine , uislamu unafundisha tabia njema ,kuishi na majirani vizuri , kuwatendea wema wazazi wawili , na kuwafanyia wema watu wote hata wasiokua waislamu imekuja katika Qur'an "hawakatazi ALLAH kwa wale wasiowapiga vita katika dini yenu na hawajawatoa katika majumba yenu kuwafanyia wema na kuwafanyia uadilifu hakika ALLAH anawapenda wenye kufanya uadilifu".
Yesu ni nani kwa waislamu ?
Yesu ama nabii (Issa) ni binadamu kama binadamu wengine na ni mtume katika mitume wa ALLAH wala sio mungu wala mwana wa mungu na kuzaliwa kwake bila ya baba ilikua ni miujiza katika miujiza ya mungu kwani yesu ni kama nabii (Adam) ambae aliumbwa bila ya baba wala mama, na nabii Issa au yesu kama manabii wengine alipewa miujiza ya kufufua maiti na kuwaponya wagonjwa sio kwa uwezo wake bali ni kwa uwezo wa ALLAH na siku ya mwisho atawakana wanaomuabudu na sisi waislamu tunaamini yakwamba yesu hakuuwawa wala hakusulubiwa bali alipaishwa mbinguni kwa mwenyezimungu.
Uislamu hauamrishi ugaidi wala hakuna ugaidi katika uislamu.uislamu unaharamisha kumwaga damu za watu ovyo isipokua kwa haki.imekuja katika Qur'an yakwamba mwenye kuua nafsi moja ni kanakwamba ameua ulimwengu mzima.kuna baadhi ya wanaojifanya waislamu na kutumia jina la uislamu kuua hao wako mbali na uislamu na uislamu uko mbali nao.


JIHAD ni nini katika UISRAM
unaposema JIHAD unamaana kujituma zaidi au kujitolea
na unapozungumzia JIHADI katika UISLAM inamaaka kujituma zaidi na kujitolea zaidi kwa ajiri ya DINI malipo ikiwa ni kwa MUNGU
hivyo JIHADI ya kwanza kabisa inaanza nafsi mwako ukiweza kushida JIHAD ya nafsi yako basi inafatia wanaokuzunguka famiria yako na ndugu zako

Ili uweze kupigana JIHADI kama hivyo wanayojinasibu hao Boko khalamu na alshabab Shart uwe MJAHIDINA
sasa ni nini JIHAD na nani MUJAHIDINA ?
ni muumini anayefanya juhudi(JIHAD) katika njia ya Allah, kwa mali yake nafsi yake na muda wake

Jihad inapigwana wapi na kina nani na wakati gani ?

kwanza tambua
UISLAMU si dini ya mabavu
Uislamu unajali zaidi hoja na siyo nguvu
Unamtaka mwanadamu atumie akili yake katika kumtambua Muumba wake.
na Ndiyo maana katika Qur’an haimlazimishi mtu kumkubali Mwenyezi Mungu bali inamtaka binadamu atumie akili na kuzingatia
Qur’an inasema:
"Je! Hawatazami ngamia jinsi walivyoumbwa? Na mbingu jinsi zilivyoinuliwa. Na milima jinsi ilivyothubutishwa. Na ardhi jinsi ilivyotandazwa?" (Al- Ghashiyah 88:17-20).

hapa MWENYEZIMUNGU anawataka wanaadamu(wakrsto kwa waislamu) watazame umbo la ngamia, mbingu, majabali na ardhi, kisha watumie akili zao kupima ili waone kama vyote hivyo vimekuja vyenyewe hivi hivi au yuko aliyeviumba?
Kisha MWENYEZIMUNGU akamwambia Mtume wake:
"Basi kumbusha, hakika wewe ni mkumbushaji (tu). Wewe si mwenye kuwatenza nguvu’. (Al-Ghashiyah 88:21-22)

sasa hapo Unaona Uislamu umeilenga zaidi akili ya mwanadamu. Mwanadamu amekuwa ni kiumbe bora kuliko mnyama kwa sababu ya akili aliyo nayo. Binadamu asiye na akili hatofautiani na mnyama. Mwenye akili hupima kila analoambiwa. Akiliona linakubaliana na akili analikubali na akigundua halikubaliani na akili, basi naye hulikataa. Na Uislamu ndivyo ulivyo. Hoja zake zinachuana na akili ya binadamu. Kama akili inakataa kukubali kuwa 1 + 1 + 1 ni 3, kwanini basi akili itaabishwe kwa kupewa jawabu isiyoridhia na ya uwongo?


Na vipi Muislamu atakashifu dini nyingine na wakati Uislamu wenyewe unakataza kufanya hivyo
unaweza ukashangaa unakataza kukashifu je ni vipi wale wanaojinasibu kuchinja watu kwa kigezo cha JIHADI na kuwaita makafiri wakati kumbe hata kukashifu dini nyingne kwa lugha kali UISLAM unakataza !!?
ni some kwa umakini utanielewa

Qur’an Tukufu inasema:
"Wala msiwatukane wale ambao wanaabudu, kinyume cha MWENYEZIMUNGU wasije wakamtukana MWENYEZIMUNGU kwa jeuri zao bila kujua". (Al An-Am 6:108).

Na kutokana na aya hiyo hapo juu MWENYEZIMUNGU alimwagiza
Mtume muhammad kwa kumwambia
"Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora (siyo kwa kuwatukana wao au kutukana dini zao)". (An Nahl 16:125).

Mtume (saw) akafuata maagizo ya Mola wake. Kwa miaka 13 mfululizo aliwalingania watu wa Makka kwa maneno mema, hekima na busara. Katu hakuwatukana wala kutumia nguvu. Kinyume chake yeye na wafuasi wake ndio waliokuwa wakitukanwa kunyanyaswa na kuteswa.

Na kila mara katika kulingania akijibiwa hovyo au kukashfiwa
MWENYEZIMUNGU alimwambia,
"Basi wasamehe na uwaambie (maneno mazuri) ya salama (labda mwisho wake watatambua). Hivi karibuni watajua". (Az-Zukhruf 43:89).

Na pale alipofanyiwa uovu mkubwa aliambiwa,
"Ondosha mabaya (unayofanyiwa) kwa (kulipa) mema". (Al Muuminun 23:96).


ni kama wewe ulipouliza hapo juu inakuwaje BOKO KHALAM kufanya yale yanayofanya hali kadhalika AL SHABAB kila siku kuua watu wasio na hatia
kisha nije na nahau nilizozipangilia vema kuwa Uislamu ni dini ya amani, na jihadi siyo vita na ilihali Waislamu kila uchao w wanapigana vita vya jihadi?

Vita hupiganwa kwa malengo mawili makuu. Aidha kwa kupigania maslahi ya kidunia, kama kutaka kuziteka na kuzitawala nchi nyingine, kupata mali ghafi au masoko ya kuuzia bidhaa ardh nk
au pia vita vinaweza kupiganwa kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya adui.

Kwa vyovyote vile vita hivyo viwili havifanani. Vile vya aina ya kwanza ni vya uchokozi na vile vya pili ni vya kujihami
Uislamu unaviita vile vita vya uchokozi "Harbun" na vile vya kujihami "Jihadun

Ilitarajiwa Waislamu wafanye nini baada ya kudhulumiwa uhuru wa kuabudu na kufukuzwa katika nchi yao kuporwa ardhi yao na wengine kuuawa

Bila shaka hiyo ni jeuri iliyopindukia na hakuna atakayeivumilia. Ndipo hapo Mwenyezi Mungu (sw) akawapa Waislamu ruhusa ya kupigana. Ruhusa ya kwanza waliyopewa ilikuwa

"Wameruhusiwa (kupigana) wale wanaopigwa, kwa sababu wamedhulumiwa. Na kwa yakini Mwenyezi Mungu ni muweza wa kuwasaidia ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki ila kwa sababu wanasema ‘Mola wetu ni Allah’ (Al Hajj 22:39-40)


Huo ukawa ndio mwanzo wa vita vya jihadi. Lakini msisitizo mkubwa waliowekewa ulikuwa wasipigane vita vya uvamizi bali vita vya kujihami. Na shahidi wa haya ni ile kauli ya Allah(sw) inayosema
"Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanaokupigeni, wala msipindukie mipaka (mkawapiga wasiowapigeni). Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi warukao mipaka" (Al Baqarah 2:190).

rejea mikasa ya MYNMAR waislamu wa ROHNGYA na PARESTINA wanavyofanyiwa na ISRAEL then linganisha na SYRIA SOMARIA na huko NIGERIA na baadhi ya NCHI nyingne wanavyopigana kwa Chuki USUNNI na USHIA
then tumia akili yako kung'amua lipi ni lipi wapi sahihi wapi UZUSHI

MKUU uislamu ni DINI nzuri sana yenye MUONGOZO thabiti kwa walioamini
na si propaganda za mitaani ukitaka kuujua UBORA na UZURI wa UISRAMU ujifunze kwa undani
Mkuu
IMG-20180907-WA0021.jpg
 
Ni nini uislamu ?
p ni dini ambayo amekuja nayo bwana mtume MUHAMMAD S.A.W na sheria yake ambayo ni (Qur'an) na uislamu umekuja kukamilisha sheria zote zilizopita. Na uislamu ni dini ya mitume wote kwanzia Adam mpaka mtume Muhammad ila sheria ya mtume Muhammad ni tofauti na sheria za mitume wengine lakini dini zao wote ni uislamu ila sheria zao ndio tofauti.
Uislamu ni kunyenyekea na kujisalimisha kwa mungu mmoja (ALLAH) na kumuabudu mungu mmoja mwenye nguvu alie mbinguni alieumba mbingu ba ardhi na vilivyomo.
Waislamu wanaviamini vitabu vyote vya mbinguni vilivyoteremshwa na mungu kama vile torati,injili (bibilia) , zaburi , Qur'an na waislamu pia wanaamini mitume wote akiwemo ISSA A.S yaani YESU.
Mungu ni nani ?
Mungu au ALLAH ndie mungu mmoja alieumba kila kitu na ndie anaeendesha kila kitu katika ulimwengu ni mungu mmoja anaejitegemea mwenye nguvu hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanani na kitu chochote wala haonekani kwa utukufu wake.
Uislamu unafundisha nini ?
Uislamu unafundisha kumuabudu mungu mmoja na kuacha kuabudu masanamu na vitu vingine , uislamu unafundisha tabia njema ,kuishi na majirani vizuri , kuwatendea wema wazazi wawili , na kuwafanyia wema watu wote hata wasiokua waislamu imekuja katika Qur'an "hawakatazi ALLAH kwa wale wasiowapiga vita katika dini yenu na hawajawatoa katika majumba yenu kuwafanyia wema na kuwafanyia uadilifu hakika ALLAH anawapenda wenye kufanya uadilifu".
Yesu ni nani kwa waislamu ?
Yesu ama nabii (Issa) ni binadamu kama binadamu wengine na ni mtume katika mitume wa ALLAH wala sio mungu wala mwana wa mungu na kuzaliwa kwake bila ya baba ilikua ni miujiza katika miujiza ya mungu kwani yesu ni kama nabii (Adam) ambae aliumbwa bila ya baba wala mama, na nabii Issa au yesu kama manabii wengine alipewa miujiza ya kufufua maiti na kuwaponya wagonjwa sio kwa uwezo wake bali ni kwa uwezo wa ALLAH na siku ya mwisho atawakana wanaomuabudu na sisi waislamu tunaamini yakwamba yesu hakuuwawa wala hakusulubiwa bali alipaishwa mbinguni kwa mwenyezimungu.
Uislamu hauamrishi ugaidi wala hakuna ugaidi katika uislamu.uislamu unaharamisha kumwaga damu za watu ovyo isipokua kwa haki.imekuja katika Qur'an yakwamba mwenye kuua nafsi moja ni kanakwamba ameua ulimwengu mzima.kuna baadhi ya wanaojifanya waislamu na kutumia jina la uislamu kuua hao wako mbali na uislamu na uislamu uko mbali nao.


JIHAD ni nini katika UISRAM
unaposema JIHAD unamaana kujituma zaidi au kujitolea
na unapozungumzia JIHADI katika UISLAM inamaaka kujituma zaidi na kujitolea zaidi kwa ajiri ya DINI malipo ikiwa ni kwa MUNGU
hivyo JIHADI ya kwanza kabisa inaanza nafsi mwako ukiweza kushida JIHAD ya nafsi yako basi inafatia wanaokuzunguka famiria yako na ndugu zako

Ili uweze kupigana JIHADI kama hivyo wanayojinasibu hao Boko khalamu na alshabab Shart uwe MJAHIDINA
sasa ni nini JIHAD na nani MUJAHIDINA ?
ni muumini anayefanya juhudi(JIHAD) katika njia ya Allah, kwa mali yake nafsi yake na muda wake

Jihad inapigwana wapi na kina nani na wakati gani ?

kwanza tambua
UISLAMU si dini ya mabavu
Uislamu unajali zaidi hoja na siyo nguvu
Unamtaka mwanadamu atumie akili yake katika kumtambua Muumba wake.
na Ndiyo maana katika Qur’an haimlazimishi mtu kumkubali Mwenyezi Mungu bali inamtaka binadamu atumie akili na kuzingatia
Qur’an inasema:
"Je! Hawatazami ngamia jinsi walivyoumbwa? Na mbingu jinsi zilivyoinuliwa. Na milima jinsi ilivyothubutishwa. Na ardhi jinsi ilivyotandazwa?" (Al- Ghashiyah 88:17-20).

hapa MWENYEZIMUNGU anawataka wanaadamu(wakrsto kwa waislamu) watazame umbo la ngamia, mbingu, majabali na ardhi, kisha watumie akili zao kupima ili waone kama vyote hivyo vimekuja vyenyewe hivi hivi au yuko aliyeviumba?
Kisha MWENYEZIMUNGU akamwambia Mtume wake:
"Basi kumbusha, hakika wewe ni mkumbushaji (tu). Wewe si mwenye kuwatenza nguvu’. (Al-Ghashiyah 88:21-22)

sasa hapo Unaona Uislamu umeilenga zaidi akili ya mwanadamu. Mwanadamu amekuwa ni kiumbe bora kuliko mnyama kwa sababu ya akili aliyo nayo. Binadamu asiye na akili hatofautiani na mnyama. Mwenye akili hupima kila analoambiwa. Akiliona linakubaliana na akili analikubali na akigundua halikubaliani na akili, basi naye hulikataa. Na Uislamu ndivyo ulivyo. Hoja zake zinachuana na akili ya binadamu. Kama akili inakataa kukubali kuwa 1 + 1 + 1 ni 3, kwanini basi akili itaabishwe kwa kupewa jawabu isiyoridhia na ya uwongo?


Na vipi Muislamu atakashifu dini nyingine na wakati Uislamu wenyewe unakataza kufanya hivyo
unaweza ukashangaa unakataza kukashifu je ni vipi wale wanaojinasibu kuchinja watu kwa kigezo cha JIHADI na kuwaita makafiri wakati kumbe hata kukashifu dini nyingne kwa lugha kali UISLAM unakataza !!?
ni some kwa umakini utanielewa

Qur’an Tukufu inasema:
"Wala msiwatukane wale ambao wanaabudu, kinyume cha MWENYEZIMUNGU wasije wakamtukana MWENYEZIMUNGU kwa jeuri zao bila kujua". (Al An-Am 6:108).

Na kutokana na aya hiyo hapo juu MWENYEZIMUNGU alimwagiza
Mtume muhammad kwa kumwambia
"Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora (siyo kwa kuwatukana wao au kutukana dini zao)". (An Nahl 16:125).

Mtume (saw) akafuata maagizo ya Mola wake. Kwa miaka 13 mfululizo aliwalingania watu wa Makka kwa maneno mema, hekima na busara. Katu hakuwatukana wala kutumia nguvu. Kinyume chake yeye na wafuasi wake ndio waliokuwa wakitukanwa kunyanyaswa na kuteswa.

Na kila mara katika kulingania akijibiwa hovyo au kukashfiwa
MWENYEZIMUNGU alimwambia,
"Basi wasamehe na uwaambie (maneno mazuri) ya salama (labda mwisho wake watatambua). Hivi karibuni watajua". (Az-Zukhruf 43:89).

Na pale alipofanyiwa uovu mkubwa aliambiwa,
"Ondosha mabaya (unayofanyiwa) kwa (kulipa) mema". (Al Muuminun 23:96).


ni kama wewe ulipouliza hapo juu inakuwaje BOKO KHALAM kufanya yale yanayofanya hali kadhalika AL SHABAB kila siku kuua watu wasio na hatia
kisha nije na nahau nilizozipangilia vema kuwa Uislamu ni dini ya amani, na jihadi siyo vita na ilihali Waislamu kila uchao w wanapigana vita vya jihadi?

Vita hupiganwa kwa malengo mawili makuu. Aidha kwa kupigania maslahi ya kidunia, kama kutaka kuziteka na kuzitawala nchi nyingine, kupata mali ghafi au masoko ya kuuzia bidhaa ardh nk
au pia vita vinaweza kupiganwa kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya adui.

Kwa vyovyote vile vita hivyo viwili havifanani. Vile vya aina ya kwanza ni vya uchokozi na vile vya pili ni vya kujihami
Uislamu unaviita vile vita vya uchokozi "Harbun" na vile vya kujihami "Jihadun

Ilitarajiwa Waislamu wafanye nini baada ya kudhulumiwa uhuru wa kuabudu na kufukuzwa katika nchi yao kuporwa ardhi yao na wengine kuuawa

Bila shaka hiyo ni jeuri iliyopindukia na hakuna atakayeivumilia. Ndipo hapo Mwenyezi Mungu (sw) akawapa Waislamu ruhusa ya kupigana. Ruhusa ya kwanza waliyopewa ilikuwa

"Wameruhusiwa (kupigana) wale wanaopigwa, kwa sababu wamedhulumiwa. Na kwa yakini Mwenyezi Mungu ni muweza wa kuwasaidia ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki ila kwa sababu wanasema ‘Mola wetu ni Allah’ (Al Hajj 22:39-40)


Huo ukawa ndio mwanzo wa vita vya jihadi. Lakini msisitizo mkubwa waliowekewa ulikuwa wasipigane vita vya uvamizi bali vita vya kujihami. Na shahidi wa haya ni ile kauli ya Allah(sw) inayosema
"Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanaokupigeni, wala msipindukie mipaka (mkawapiga wasiowapigeni). Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi warukao mipaka" (Al Baqarah 2:190).

rejea mikasa ya MYNMAR waislamu wa ROHNGYA na PARESTINA wanavyofanyiwa na ISRAEL then linganisha na SYRIA SOMARIA na huko NIGERIA na baadhi ya NCHI nyingne wanavyopigana kwa Chuki USUNNI na USHIA
then tumia akili yako kung'amua lipi ni lipi wapi sahihi wapi UZUSHI

MKUU uislamu ni DINI nzuri sana yenye MUONGOZO thabiti kwa walioamini
na si propaganda za mitaani ukitaka kuujua UBORA na UZURI wa UISRAMU ujifunze kwa undani
Mkuu kusema ukweli mi huwa napata ukakasi kweny haya mambo.
Yesu Ni issah??/
Yesu maana yake MUNGU MWOKOZI!
Isah maana yake nn?

Manabii wote walikuwa waislam.
Je! Na Mohammed mbona amekiri kuwa ameamrishwa kuwa wa kwanza kusiilimu?


Ukweli nimesoma yooote hayo uliyoyaandka mwisho nikagundua Yesu Alikuja kwa ajili yenu.

Pale Allah Alipowaruhusu kuua kuna tofaut gani na Daud kumuuaذ Goliath?; au Yoshua na wakanani?
 
Natumaini wote wazima humu jamvini
Bila kuchelewa naona niende moja kwa moja kwenye mada husika

Kwanza kabisa nianzie hapa kutokana na matukio mengi ya kigaidi yanayofanywa na vikundi vya kigaidi (al qaeda alshaabab isis taliban n.k) vinavyodai vinafanya hivyo kwa ajili ya allah/islam,,sasa kutokana na hilo nikaamua kufanya utafiti wa kujua ukweli wa mambo kiundani zaidi na kujua nini hasa kinaendelea,

Historia inatuambiaje kuhusu uhusishwaji wa uislam na ugaidi,, miaka 1400 iliyopita ambayo neno islam liliamza kutumika kama jina la dini huko mashariki ya kati hakukua na kitu kilichoitwa ugaidi kipindi chote hicho ila ugaidi ulianza pale tu marekani na washirika wake kuamua kuivamia mashariki ya kati miaka 20 iliyopita kuanzia hapo tulishuhudia vikundi vya kigaidi vikizuka zaidi ambapo huko nyuma havikuwepo wala ugaidi haukuwepo kwa maana hiyo tunapata kujua kua marekani ilikua chanzo cha kuingiza ugaidi mashariki ya kati,

Je lengo kuu la kuingiza ugaidi mashariki ya kati ni lipi?
Kuna kiongozi mmoja freemason aliyekua anaitwa albert pike alizaliwa 1809 na kufariki 1891 alikua ni mwandishi mwanajeshi pia freemason wa (degree ya 33 ambayo ndiyo ya mwisho)mnamo mwaka 1857 alisema katika moja wa mipango yao kishetani/freemason ni kuutumia uislam kuichafua dunia na uislam wenyewe ndiyo maana kila tukio la kigaidi viongozi wa vikundi hivyo hujitokeza na kudai ni wao wamefanya kwa ajili ya allah,,hiyo hupelekea watu wengi wasiojua ukweli kiundani kuuchukia uislam na wasipende hata kujua ukweli wowote hii imeiathiri dunia na jamii ya kiislam kiujumla

Kwa maana hata ukiangalia kwa usahihi unapata kujua uislam haufundishi ugaidi ni vitu viwili visivyoingiliana ila ni wale pekee wenye upungufu wa maarifa na kuona nini kinaendelea kwa undani

Watu wa ulaya na marekani wengi wanajiunga na uislam kutokana wanasoma na kuelewa na kujua ukweli kwamba uhalisia wa dini na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watu au vikundi sio kati ya dini hiyo bali ni wanafanya kwa manufaaa na mipango yao

Nimejaribu kuelezea kwa namna nilivyofanya tafiti kama kuna cha kuongeza au kuna sehemu nimekosea basi turekebishane hakika humu tupo kwa ajili ya kujifunza

Nawasilisha
Ugaidi=uislam
uislam=Ugaidi
 
Dini hzimpeleki mtu mbinguni.Ukimkiri Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako.Utaokolewa.Yesu anasema mimi ndimi njia ya Kweli na Uzima mtu haji kwa baba ila kwa mimi.Dini mwislamu,dini mkristo hazikuleleki mbinguni.Watu wa dini ndio waliomuua Yesu Mwana wa Mungu.
 
Wala haijaniweka mahali pazuri pa kuelewa kwa nini uislam na ugaidi utenganishwe.

Jaribu ANC ya Afrika kusini ilikuwa inaitwaje na hao wanaopiga kelele Za ugaidi kwa sasa , ndipo utajua kuwa awapingae ndo gaidi, mwanzo alikuwa Mandela na sasa wengine na mustakbali watakuwa wengine Pía !!!!
 
Ni nini uislamu ?
p ni dini ambayo amekuja nayo bwana mtume MUHAMMAD S.A.W na sheria yake ambayo ni (Qur'an) na uislamu umekuja kukamilisha sheria zote zilizopita. Na uislamu ni dini ya mitume wote kwanzia Adam mpaka mtume Muhammad ila sheria ya mtume Muhammad ni tofauti na sheria za mitume wengine lakini dini zao wote ni uislamu ila sheria zao ndio tofauti.
Uislamu ni kunyenyekea na kujisalimisha kwa mungu mmoja (ALLAH) na kumuabudu mungu mmoja mwenye nguvu alie mbinguni alieumba mbingu ba ardhi na vilivyomo.
Waislamu wanaviamini vitabu vyote vya mbinguni vilivyoteremshwa na mungu kama vile torati,injili (bibilia) , zaburi , Qur'an na waislamu pia wanaamini mitume wote akiwemo ISSA A.S yaani YESU.
Mungu ni nani ?
Mungu au ALLAH ndie mungu mmoja alieumba kila kitu na ndie anaeendesha kila kitu katika ulimwengu ni mungu mmoja anaejitegemea mwenye nguvu hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanani na kitu chochote wala haonekani kwa utukufu wake.
Uislamu unafundisha nini ?
Uislamu unafundisha kumuabudu mungu mmoja na kuacha kuabudu masanamu na vitu vingine , uislamu unafundisha tabia njema ,kuishi na majirani vizuri , kuwatendea wema wazazi wawili , na kuwafanyia wema watu wote hata wasiokua waislamu imekuja katika Qur'an "hawakatazi ALLAH kwa wale wasiowapiga vita katika dini yenu na hawajawatoa katika majumba yenu kuwafanyia wema na kuwafanyia uadilifu hakika ALLAH anawapenda wenye kufanya uadilifu".
Yesu ni nani kwa waislamu ?
Yesu ama nabii (Issa) ni binadamu kama binadamu wengine na ni mtume katika mitume wa ALLAH wala sio mungu wala mwana wa mungu na kuzaliwa kwake bila ya baba ilikua ni miujiza katika miujiza ya mungu kwani yesu ni kama nabii (Adam) ambae aliumbwa bila ya baba wala mama, na nabii Issa au yesu kama manabii wengine alipewa miujiza ya kufufua maiti na kuwaponya wagonjwa sio kwa uwezo wake bali ni kwa uwezo wa ALLAH na siku ya mwisho atawakana wanaomuabudu na sisi waislamu tunaamini yakwamba yesu hakuuwawa wala hakusulubiwa bali alipaishwa mbinguni kwa mwenyezimungu.
Uislamu hauamrishi ugaidi wala hakuna ugaidi katika uislamu.uislamu unaharamisha kumwaga damu za watu ovyo isipokua kwa haki.imekuja katika Qur'an yakwamba mwenye kuua nafsi moja ni kanakwamba ameua ulimwengu mzima.kuna baadhi ya wanaojifanya waislamu na kutumia jina la uislamu kuua hao wako mbali na uislamu na uislamu uko mbali nao.


JIHAD ni nini katika UISRAM
unaposema JIHAD unamaana kujituma zaidi au kujitolea
na unapozungumzia JIHADI katika UISLAM inamaaka kujituma zaidi na kujitolea zaidi kwa ajiri ya DINI malipo ikiwa ni kwa MUNGU
hivyo JIHADI ya kwanza kabisa inaanza nafsi mwako ukiweza kushida JIHAD ya nafsi yako basi inafatia wanaokuzunguka famiria yako na ndugu zako

Ili uweze kupigana JIHADI kama hivyo wanayojinasibu hao Boko khalamu na alshabab Shart uwe MJAHIDINA
sasa ni nini JIHAD na nani MUJAHIDINA ?
ni muumini anayefanya juhudi(JIHAD) katika njia ya Allah, kwa mali yake nafsi yake na muda wake

Jihad inapigwana wapi na kina nani na wakati gani ?

kwanza tambua
UISLAMU si dini ya mabavu
Uislamu unajali zaidi hoja na siyo nguvu
Unamtaka mwanadamu atumie akili yake katika kumtambua Muumba wake.
na Ndiyo maana katika Qur’an haimlazimishi mtu kumkubali Mwenyezi Mungu bali inamtaka binadamu atumie akili na kuzingatia
Qur’an inasema:
"Je! Hawatazami ngamia jinsi walivyoumbwa? Na mbingu jinsi zilivyoinuliwa. Na milima jinsi ilivyothubutishwa. Na ardhi jinsi ilivyotandazwa?" (Al- Ghashiyah 88:17-20).

hapa MWENYEZIMUNGU anawataka wanaadamu(wakrsto kwa waislamu) watazame umbo la ngamia, mbingu, majabali na ardhi, kisha watumie akili zao kupima ili waone kama vyote hivyo vimekuja vyenyewe hivi hivi au yuko aliyeviumba?
Kisha MWENYEZIMUNGU akamwambia Mtume wake:
"Basi kumbusha, hakika wewe ni mkumbushaji (tu). Wewe si mwenye kuwatenza nguvu’. (Al-Ghashiyah 88:21-22)

sasa hapo Unaona Uislamu umeilenga zaidi akili ya mwanadamu. Mwanadamu amekuwa ni kiumbe bora kuliko mnyama kwa sababu ya akili aliyo nayo. Binadamu asiye na akili hatofautiani na mnyama. Mwenye akili hupima kila analoambiwa. Akiliona linakubaliana na akili analikubali na akigundua halikubaliani na akili, basi naye hulikataa. Na Uislamu ndivyo ulivyo. Hoja zake zinachuana na akili ya binadamu. Kama akili inakataa kukubali kuwa 1 + 1 + 1 ni 3, kwanini basi akili itaabishwe kwa kupewa jawabu isiyoridhia na ya uwongo?


Na vipi Muislamu atakashifu dini nyingine na wakati Uislamu wenyewe unakataza kufanya hivyo
unaweza ukashangaa unakataza kukashifu je ni vipi wale wanaojinasibu kuchinja watu kwa kigezo cha JIHADI na kuwaita makafiri wakati kumbe hata kukashifu dini nyingne kwa lugha kali UISLAM unakataza !!?
ni some kwa umakini utanielewa

Qur’an Tukufu inasema:
"Wala msiwatukane wale ambao wanaabudu, kinyume cha MWENYEZIMUNGU wasije wakamtukana MWENYEZIMUNGU kwa jeuri zao bila kujua". (Al An-Am 6:108).

Na kutokana na aya hiyo hapo juu MWENYEZIMUNGU alimwagiza
Mtume muhammad kwa kumwambia
"Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora (siyo kwa kuwatukana wao au kutukana dini zao)". (An Nahl 16:125).

Mtume (saw) akafuata maagizo ya Mola wake. Kwa miaka 13 mfululizo aliwalingania watu wa Makka kwa maneno mema, hekima na busara. Katu hakuwatukana wala kutumia nguvu. Kinyume chake yeye na wafuasi wake ndio waliokuwa wakitukanwa kunyanyaswa na kuteswa.

Na kila mara katika kulingania akijibiwa hovyo au kukashfiwa
MWENYEZIMUNGU alimwambia,
"Basi wasamehe na uwaambie (maneno mazuri) ya salama (labda mwisho wake watatambua). Hivi karibuni watajua". (Az-Zukhruf 43:89).

Na pale alipofanyiwa uovu mkubwa aliambiwa,
"Ondosha mabaya (unayofanyiwa) kwa (kulipa) mema". (Al Muuminun 23:96).


ni kama wewe ulipouliza hapo juu inakuwaje BOKO KHALAM kufanya yale yanayofanya hali kadhalika AL SHABAB kila siku kuua watu wasio na hatia
kisha nije na nahau nilizozipangilia vema kuwa Uislamu ni dini ya amani, na jihadi siyo vita na ilihali Waislamu kila uchao w wanapigana vita vya jihadi?

Vita hupiganwa kwa malengo mawili makuu. Aidha kwa kupigania maslahi ya kidunia, kama kutaka kuziteka na kuzitawala nchi nyingine, kupata mali ghafi au masoko ya kuuzia bidhaa ardh nk
au pia vita vinaweza kupiganwa kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya adui.

Kwa vyovyote vile vita hivyo viwili havifanani. Vile vya aina ya kwanza ni vya uchokozi na vile vya pili ni vya kujihami
Uislamu unaviita vile vita vya uchokozi "Harbun" na vile vya kujihami "Jihadun

Ilitarajiwa Waislamu wafanye nini baada ya kudhulumiwa uhuru wa kuabudu na kufukuzwa katika nchi yao kuporwa ardhi yao na wengine kuuawa

Bila shaka hiyo ni jeuri iliyopindukia na hakuna atakayeivumilia. Ndipo hapo Mwenyezi Mungu (sw) akawapa Waislamu ruhusa ya kupigana. Ruhusa ya kwanza waliyopewa ilikuwa

"Wameruhusiwa (kupigana) wale wanaopigwa, kwa sababu wamedhulumiwa. Na kwa yakini Mwenyezi Mungu ni muweza wa kuwasaidia ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki ila kwa sababu wanasema ‘Mola wetu ni Allah’ (Al Hajj 22:39-40)


Huo ukawa ndio mwanzo wa vita vya jihadi. Lakini msisitizo mkubwa waliowekewa ulikuwa wasipigane vita vya uvamizi bali vita vya kujihami. Na shahidi wa haya ni ile kauli ya Allah(sw) inayosema
"Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanaokupigeni, wala msipindukie mipaka (mkawapiga wasiowapigeni). Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi warukao mipaka" (Al Baqarah 2:190).

rejea mikasa ya MYNMAR waislamu wa ROHNGYA na PARESTINA wanavyofanyiwa na ISRAEL then linganisha na SYRIA SOMARIA na huko NIGERIA na baadhi ya NCHI nyingne wanavyopigana kwa Chuki USUNNI na USHIA
then tumia akili yako kung'amua lipi ni lipi wapi sahihi wapi UZUSHI

MKUU uislamu ni DINI nzuri sana yenye MUONGOZO thabiti kwa walioamini
na si propaganda za mitaani ukitaka kuujua UBORA na UZURI wa UISRAMU ujifunze kwa undani
Mashalaa we sio wa mchezomchezo darsa moja mujarabu kwa mwenye akili
 
Mkuu kusema ukweli mi huwa napata ukakasi kweny haya mambo.
Yesu Ni issah??/
Yesu maana yake MUNGU MWOKOZI!
Isah maana yake nn?

Manabii wote walikuwa waislam.
Je! Na Mohammed mbona amekiri kuwa ameamrishwa kuwa wa kwanza kusiilimu?


Ukweli nimesoma yooote hayo uliyoyaandka mwisho nikagundua Yesu Alikuja kwa ajili yenu.

Pale Allah Alipowaruhusu kuua kuna tofaut gani na Daud kumuuaذ Goliath?; au Yoshua na wakanani?
mkuu we umewahi kupokea kipigo bila kosa yaani kwa uonevu tu ubabe wake ndo akupige? kama ndio basi hayo ndiyo waliyokafanyiwa waislam enzi za mtume. waliuawa hadharani kwa muda mrefu hadi wakachoka na kumuuliza mtume hii hali hadi lini?, tutapigwa hadi tuishe?. hapo ndipoAllah akawaruhusu na wao wajilinde au wajitetee kwa lengo la kuondoa uonevu wanaofanyiwa, ila sio kushambulia au kuvamia.
KARIBU UISLAM NI DINI MAKINI SANA TENA NYEPESI INAENDANA NA MAUMBILE YA BINADAM
 
mkuu we umewahi kupokea kipigo bila kosa yaani kwa uonevu tu ubabe wake ndo akupige? kama ndio basi hayo ndiyo waliyokafanyiwa waislam enzi za mtume. waliuawa hadharani kwa muda mrefu hadi wakachoka na kumuuliza mtume hii hali hadi lini?, tutapigwa hadi tuishe?. hapo ndipoAllah akawaruhusu na wao wajilinde au wajitetee kwa lengo la kuondoa uonevu wanaofanyiwa, ila sio kushambulia au kuvamia.
KARIBU UISLAM NI DINI MAKINI SANA TENA NYEPESI INAENDANA NA MAUMBILE YA BINADAM
Hizi zote Ni mbwembwe tu.
Mimi kwa kweli Kama Mohammed ni mtume wa Mungu tu! Ni dhahiri kuwa uislam ulivyo yaani mwongozo wake (Quran) inaonesha kuwa walengwa wa hyo dini walikuwa na sifa hizi':
(1)Wagaidi(hawwjali utu,huruma hawana.
(2)waabudu masanamu(Majini misimamo isiyo na tija)

Ndio maana ukisoma utagundua maonyo yake na matishio na ahadi zake....nikama Yale ya waisrael kupitia musa
 
Hizi zote Ni mbwembwe tu.
Mimi kwa kweli Kama Mohammed ni mtume wa Mungu tu! Ni dhahiri kuwa uislam ulivyo yaani mwongozo wake (Quran) inaonesha kuwa walengwa wa hyo dini walikuwa na sifa hizi':
(1)Wagaidi(hawwjali utu,huruma hawana.
(2)waabudu masanamu(Majini misimamo isiyo na tija)

Ndio maana ukisoma utagundua maonyo yake na matishio na ahadi zake....nikama Yale ya waisrael kupitia musa
TATIZO umelishwa na propaganda za Magharibi. lait ungejuwa miongozo ya uislam usingekuwa na dhana hizo.
jiulize:
1/kwanini ugaidi utokee katika jamii za Kiislam kwa maana yanakotokeamatukio ni eneo walio wengi ni waislam eg Nigeria na Somalia.
2/ muasisi wa Ugaidi ni Laden kupitia Taliban je nani alimtengeneza kidume huyu kivita
3/ kwanini Marekani na Ulaya zitoe silaha kwa vikundi vya Kigaidi
4/ kwanini Marekani awaunge mkono ISIS kule Syria
5/ Silaha wanazotumia magaidi zinazalishwa nchi gani na je kwanini mzalishaji asiwekewe ban kwa kuwauzia silaha magaidi.
Huu ni mkakati unaitwaNEW WORLD ORDER
Wababe wa dunia wanataka idadi yawatu ipungue je itapunguaje?
a/uzazi wa mpango
b/magonjwa mazito eg UKIMWI
c/ vita kwa nchi ambazo UKIMWI wala Uzazi wa mpango haiwezekani hususani nchi za Kiarabu.
Je ili iwe vita kali iwe baina ya nani na nani?
ni baina ya jamii moja zenye mtizamo tofauti(SUNNI na SHIA)
mada ndefu sana ila ok inatosha kwa leo
 
Back
Top Bottom