Je uhusishwaji wa ugaidi na uislam ni mpango wa watu fulani au ni ukweli usio na shaka??

Je uhusishwaji wa ugaidi na uislam ni mpango wa watu fulani au ni ukweli usio na shaka??

Kabla sijaenda ndani kujadili hicho ulichokiandika nipe rejea inayotamka
1. unabii ulikua kwa ajili ya kizazi cha Ibrahim peke yake, leta ushahidi
2. Umasema hakuna mahali Mtume Muhammad anafiti, nipe ushahidi wewe unafiti wapi unapojinasibisha na yesu? Matthew 15:24 yesu anasema alitumwa/aliletwa kuwaokoa kondoo waliopotea katika nyumba ya wana wa israeli, jee wewe na wenzako mnawezaje kujinasibisha na yesu? Kasome pia matthew 10:5-6.
3. Unapata shida kumtambua Mtume Muhammad kwa sababu huna ufahamu wa kutosha unaomuhusu Mtume Muhammad na Yesu pia. Badala yake unabaki kudandia maandiko yanayopotosha juu ya viumbe hao wawili na wengineo.
 
Kabla sijaenda ndani kujadili hicho ulichokiandika nipe rejea inayotamka
1. unabii ulikua kwa ajili ya kizazi cha Ibrahim peke yake, leta ushahidi
2. Umasema hakuna mahali Mtume Muhammad anafiti, nipe ushahidi wewe unafiti wapi unapojinasibisha na yesu? Matthew 15:24 yesu anasema alitumwa/aliletwa kuwaokoa kondoo waliopotea katika nyumba ya wana wa israeli, jee wewe na wenzako mnawezaje kujinasibisha na yesu? Kasome pia matthew 10:5-6.
3. Unapata shida kumtambua Mtume Muhammad kwa sababu huna ufahamu wa kutosha unaomuhusu Mtume Muhammad na Yesu pia. Badala yake unabaki kudandia maandiko yanayopotosha juu ya viumbe hao wawili na wengineo.
 
Na mnao uzima katika kisasi enyi wenye akili, ili msalimike. (2:180)

Dini ya Kiislamu haikubali mtu ashambulie mwenzake pasi na sababu. Akifanya hivyo na kuuwa basi naye pia auwawe. Linganisha fundisho hili lenye thamani na fundisho la Injili inaposema,"Msishindane na mtu mwovu. Kama mtu anakupiga shavu la kuume, mwelekezee la pili. Kama mtu anataka kushindana nawe katika hukumu na kukutoza kanzu yako, mwachilie na joho vile vile." (Matei 5:39, 40). Fundisho hilo la Injili linapendeza masikioni na pengine mhubiri pia anaweza kusifiwa na wasikilizaji wake, lakini hapajawa na serikali yo yote iliyofuata amri hii kisha ikastawi na kufaulu kuleta amani duniani. Serikali ya Kikristo hasa ndiyo ya kwanza kuua mwuaji na kuadhibu mhalifu. Na kama ingevumilia uasi na uuaji isingeendelea kwa muda mrefu. Kwa ajili hii Mwenyezi Mungu alipoeleza amri ya kulipiza kisasi, alitaka watu watumie akili yao na kufikiri, je, kumwua mwuaji mmoja ni bora au kuacha watu wote katika hali ya kutosalimika. Kweli amri hii ya Qur'an kufuatwa ndiyo amani inaweza kuwapo duniani.

Lengo la kusamehe ni kumpa nafasi mkosaji ajirekebishe. Ikiwa msamaha kwa mkosaji hautakuwa na chochote isipokuwa kuongeza dhara zaidi basi ni dhambi kuutoa msamaha huo...QU kuna serikali ya kikristo!? Ya kaisari mwachie kaisari na ya mungu MPE mungu
 
Back
Top Bottom