Je uhusishwaji wa ugaidi na uislam ni mpango wa watu fulani au ni ukweli usio na shaka??

Je uhusishwaji wa ugaidi na uislam ni mpango wa watu fulani au ni ukweli usio na shaka??

TATIZO umelishwa na propaganda za Magharibi. lait ungejuwa miongozo ya uislam usingekuwa na dhana hizo.
jiulize:
1/kwanini ugaidi utokee katika jamii za Kiislam kwa maana yanakotokea matukio ni eneo walio wengi ni waislam eg Nigeria na Somalia.yaani uislam unaruhusu muislam aumuue muislam mwenzio bila sababu? wanashindwa kuwashambulia maeneo mengine mbali na maeneo hayo?
2/ muasisi wa Ugaidi ni Laden kupitia Taliban je nani alimtengeneza kidume huyu kivita
3/ kwanini Marekani na Ulaya zitoe silaha kwa vikundi vya Kigaidi
4/ kwanini Marekani awaunge mkono ISIS kule Syria
5/ Silaha wanazotumia magaidi zinazalishwa nchi gani na je kwanini mzalishaji asiwekewe ban kwa kuwauzia silaha magaidi.
Huu ni mkakati unaitwaNEW WORLD ORDER
Wababe wa dunia wanataka idadi yawatu ipungue je itapunguaje?
a/uzazi wa mpango
b/magonjwa mazito eg UKIMWI
c/ vita kwa nchi ambazo UKIMWI wala Uzazi wa mpango haiwezekani hususani nchi za Kiarabu.
Je ili iwe vita kali iwe baina ya nani na nani?
ni baina ya jamii moja zenye mtizamo tofauti(SUNNI na SHIA)
mada ndefu sana ila ok inatosha kwa leo
 
TATIZO umelishwa na propaganda za Magharibi. lait ungejuwa miongozo ya uislam usingekuwa na dhana hizo.
jiulize:
1/kwanini ugaidi utokee katika jamii za Kiislam kwa maana yanakotokeamatukio ni eneo walio wengi ni waislam eg Nigeria na Somalia.
2/ muasisi wa Ugaidi ni Laden kupitia Taliban je nani alimtengeneza kidume huyu kivita
3/ kwanini Marekani na Ulaya zitoe silaha kwa vikundi vya Kigaidi
4/ kwanini Marekani awaunge mkono ISIS kule Syria
5/ Silaha wanazotumia magaidi zinazalishwa nchi gani na je kwanini mzalishaji asiwekewe ban kwa kuwauzia silaha magaidi.
Huu ni mkakati unaitwaNEW WORLD ORDER
Wababe wa dunia wanataka idadi yawatu ipungue je itapunguaje?
a/uzazi wa mpango
b/magonjwa mazito eg UKIMWI
c/ vita kwa nchi ambazo UKIMWI wala Uzazi wa mpango haiwezekani hususani nchi za Kiarabu.
Je ili iwe vita kali iwe baina ya nani na nani?
ni baina ya jamii moja zenye mtizamo tofauti(SUNNI na SHIA)
mada ndefu sana ila ok inatosha kwa leo
Mkuu umeandika nn?
Propaganda zipi za magharbi!? Nilizomeza Mimi? Unauhakika gani ww hujamezeshwa propaganda za Mashariki .......yani kwa hoja zako hzi sijaelewa laden Ni nani na Ni muasisi kivipi?? Na kwann wapigane waislam kwa waislam badala ya wazungu na waislam?
Je! Uuzaji wa silaha kwa waarabu Ni uchochez wa vita kivipi?
Je! Sio biashara zao watengeneza Silaha?

Yaani kwa mjibu wa maelezo haya nikwamba We umemeza propaganda za masharik
 
Hili la manabii wote kuwa waislam nelifanyia utafiti mkubwa sana.Unabii ulikuwa kwa kizazi cha Ibrahim peke yake pamoja na wanae ambapo historia inatambua kuwa wao walikuwa waebrania na si vinginevyo.Manabii wote walinena kwa lugha hiyo na mode ya ufunuo wao haikuwa kupitia kwa malaika yeyote bali Roho wa Mungu mwenyewe.Ukifuatilia geneology ya vizazi vya Ibrahim unakuta kuwa hakuna mahala Muhammad anafit kwa sababu yeye ni mkureshi kutoka Yemen na mwisho wa siku Ibn Ishak anampachika ili a qualify kuwa mzao wa Ishmael.Makureshi hawana uhusiano wowote wa kidamu na Ishmael na wala waarabu si wana wa Ishmael kwa sababu watoto wote na wajukuu wa Ishmael hakuna waarabu bali waebrania.Manabii wote wa Israel ni wana wa Yuda na walitokea Judea.Huwa napata shida sana kumtambua Muhammad kama nabii wa Mungu ninayemuamini mimi.Naomba kujifunza
Walikuepo mitume kabla ya Ibrahim mfano Nuhu,Saleh ,Dhulkifli, ambao hawana nasaba za uizraeli,pia tambua kuwa mitume katka usilam ilio tajwa katka quran ni 25 lkn wapo ambao allah hakuwataja kwa sbb zake,hivyo legitimacy ya Muhammad a.s.w kuwa ni nabii sio lazima wala sharti lifungamane na kizaz cha Abraham.mwenyezimungu humpandsha amtakae na humshusha amtakae bila kujali nasaba,elimu ,utaifa wala umaarufu.
 
Ugaidi=uislam
uislam=Ugaidi

ETA (wakatoliki ) wanotaka kujitenga kule Hispania na Ufaransa ni magaidi , kule Ireland ya kaskazini wale wakatoliki wanotaka kujiunga na Jamhuri ya Ireland, pia nao magaidi, kule Colombia walikiwepo FARC , wakatoliki pia, ANC na viongozi wake wote wa juu, miaka ya 60 mpaka mwishoni mwa 80 walikuwa ni magaidi .....
 
Bila kusoma hii thread jibu ni uislam hauhusiani na ugaidi ila wanaitwa magaidi kwa sababu ya mpango wa watu fulani
 
Huwa nashaangaa baadhi ya watu uislam ukitajwa tu lazima povu liwatoke lakini threads za ukristo huoni muislam anatukana bali kuchangia hoja tu kama mapadri kulawiti duniani kote, watachangia kwa wanachokiona bila kejeli lakini huoni nguvu nyingi ikitumika.

Tuache kejeli na matusi katika dini kwani muumini imara hawezi kutukana na kukejeli bali kufuata anachokiamini tu
 
N
Walikuepo mitume kabla ya Ibrahim mfano Nuhu,Saleh ,Dhulkifli, ambao hawana nasaba za uizraeli,pia tambua kuwa mitume katka usilam ilio tajwa katka quran ni 25 lkn wapo ambao allah hakuwataja kwa sbb zake,hivyo legitimacy ya Muhammad a.s.w kuwa ni nabii sio lazima wala sharti lifungamane na kizaz cha Abraham.mwenyezimungu humpandsha amtakae na humshusha amtakae bila kujali nasaba,elimu ,utaifa wala umaarufu.
Ni wapi ktk kuran mungu alimteuwa na kumtuma huyo muhammad km mtume.Mitume wote mungu aliwateuwa na kuwatuma.HAKUNA KITU /MTU ALIWSHI KUWEPO ANAITWA MUHAMAD,Huu ni ukinzani ili kuupinga ukristo na biblia ambavyo tayar vilishakuwepo. KURANI ni iliandikwa na wahuni fulani baada ya kuichakachua Biblia.
 
mkuu we umewahi kupokea kipigo bila kosa yaani kwa uonevu tu ubabe wake ndo akupige? kama ndio basi hayo ndiyo waliyokafanyiwa waislam enzi za mtume. waliuawa hadharani kwa muda mrefu hadi wakachoka na kumuuliza mtume hii hali hadi lini?, tutapigwa hadi tuishe?. hapo ndipoAllah akawaruhusu na wao wajilinde au wajitetee kwa lengo la kuondoa uonevu wanaofanyiwa, ila sio kushambulia au kuvamia.
KARIBU UISLAM NI DINI MAKINI SANA TENA NYEPESI INAENDANA NA MAUMBILE YA BINADAM
Hapo ndio Allah wanapotofautiana na BWANA wa MAJESHI "YEHOVA" anaposema kupitia kwa mwanae mpendwa kabisa yesukristo wa nazareti mfalme wa uyahudi kuwa samehe 7x70 kabla halijachoea na ukipigwa shavu LA Julia geuza na LA kushoto
 
Walikuepo mitume kabla ya Ibrahim mfano Nuhu,Saleh ,Dhulkifli, ambao hawana nasaba za uizraeli,pia tambua kuwa mitume katka usilam ilio tajwa katka quran ni 25 lkn wapo ambao allah hakuwataja kwa sbb zake,hivyo legitimacy ya Muhammad a.s.w kuwa ni nabii sio lazima wala sharti lifungamane na kizaz cha Abraham.mwenyezimungu humpandsha amtakae na humshusha amtakae bila kujali nasaba,elimu ,utaifa wala umaarufu.
Kwa mujibu wa kitabu kipi?
 
Hili la manabii wote kuwa waislam nelifanyia utafiti mkubwa sana.Unabii ulikuwa kwa kizazi cha Ibrahim peke yake pamoja na wanae ambapo historia inatambua kuwa wao walikuwa waebrania na si vinginevyo.Manabii wote walinena kwa lugha hiyo na mode ya ufunuo wao haikuwa kupitia kwa malaika yeyote bali Roho wa Mungu mwenyewe.Ukifuatilia geneology ya vizazi vya Ibrahim unakuta kuwa hakuna mahala Muhammad anafit kwa sababu yeye ni mkureshi kutoka Yemen na mwisho wa siku Ibn Ishak anampachika ili a qualify kuwa mzao wa Ishmael.Makureshi hawana uhusiano wowote wa kidamu na Ishmael na wala waarabu si wana wa Ishmael kwa sababu watoto wote na wajukuu wa Ishmael hakuna waarabu bali waebrania.Manabii wote wa Israel ni wana wa Yuda na walitokea Judea.Huwa napata shida sana kumtambua Muhammad kama nabii wa Mungu ninayemuamini mimi.Naomba kujifunza
Unaonekana una uelewa mkubwa sana kuhusiana na chimbuko la Dini hizi mbili, hebu uje ukae udadavue vizuri ili tunaopenda kujua tujifunze na tuelewe vizuri

Siku moja uchambue vizur kuhusu chimbuko la Dini ya kikristo na siku nyingine uchambue vizur chimbuko la Dini ya kiislamu, nahisi kuna kitu unakielewa vizur ila unashindwa kukieleza kwa sasa.
 
Juzi kati kiongozi wa alkaida alitoa wito Kwa waislam wote duniani kuwaunga mkono Magaidi ktk kutaka kuishambulia Marekani Kwa ubaguzi !
Hiyo inatosha kuonesha kuwa ugaidi na uislam ni Pete na chanda!
Halafu hakuna Mtu au nchi iliyowakana Magaidi hao kupitia wito wa kiongozi wao hiyo!
Wamekaa kimyaaaaa!
Silence means...,,,,,,,,,
Halafu cha kushangaza ni kuua wasio na hatia !
 
N
Ni wapi ktk kuran mungu alimteuwa na kumtuma huyo muhammad km mtume.Mitume wote mungu aliwateuwa na kuwatuma.HAKUNA KITU /MTU ALIWSHI KUWEPO ANAITWA MUHAMAD,Huu ni ukinzani ili kuupinga ukristo na biblia ambavyo tayar vilishakuwepo. KURANI ni iliandikwa na wahuni fulani baada ya kuichakachua Biblia.

IMG_1509.JPG

Quran ina toleo moja tu na biblia ina matoleo kadha wa kadha, labda unisaidie quran ilikuwa copied kutoka bible toleo lipi...?
 
The line that differentiate Islamic from terrorism is very thin in such a way it can't be seen
“As far as Islam is concerned, it categorically rejects and condemns every form of terrorism. It does not provide any cover or justification for any act of violence, be it committed by an individual, a group or a government….. I most strongly condemn all acts and forms of terrorism because it is my deeply rooted belief that not only Islam but also no true religion, whatever its name, can sanction violence and bloodshed of innocent men, women and children in the name of God.” (Reference: Murder in the Name of Allahby Hazrat Mirza Tahir Ahmadd, Fourth Successor to the Promised Messiah)
 
“As far as Islam is concerned, it categorically rejects and condemns every form of terrorism. It does not provide any cover or justification for any act of violence, be it committed by an individual, a group or a government….. I most strongly condemn all acts and forms of terrorism because it is my deeply rooted belief that not only Islam but also no true religion, whatever its name, can sanction violence and bloodshed of innocent men, women and children in the name of God.” (Reference: Murder in the Name of Allahby Hazrat Mirza Tahir Ahmad, Fourth Successor to the Promised Messiah)
Islam means the religion of peace. A person following Islam will find that he or she is surrounded by noble teachings, the aim of which is to establish peace between man and Allah, the Creator of all; between man and man; and between man and the rest of Allah’s creation.

How does such a religion deal with the issue of terrorism? And what does the word terrorist mean? Dictionaries will define a terrorist as one who systematically uses violence and intimidation to achieve political ends – or one who controls or forces others to do something by violence, fear or threats.

All these definitions are covered by two words in the Holy Qur’an, the sacred book of Islam: Fitnah and Ikrâh.

In the Holy Qur’an, God begins to deal with the issue of terrorism by teaching Muslims never to become terrorists in the first place. Two of the very first verses of our Holy Book say: ‘Al-Fitnatu ashad-du minal qatl’ – meaning that in the sight of Allah, ‘persecution, or making people constantly fear for their lives, is much worse than killing’. And also: ‘Lâ ikrâha fid-dîn’ – ''There shall be no compulsion in religion'’, that is to say, that no one has the right to force others into complying with their demands or compelling others to follow their line of thinking.

Allah Almighty warns the believers again and again that they should never abandon Him, the source of all goodness. Allah Almighty reminds us that it is those who have abandoned Him and thrown away all good, and divested themselves of every shred of human decency, that are the ones who will eventually resort to terrorizing others, forcing them into complying with their demands. The believers are repeatedly reminded that they would lose Allah Almighty’s love and His favors if they ever began to behave in that way.

But Islam does not content itself with these injunctions strongly forbidding Muslims from ever becoming terrorists. It also makes sure that the believers are made into highly moral, excellently behaved people, by inculcating those lofty human values that can turn them into people who sincerely love humankind without distinction of religion, race or social status. Islam no doubt encourages the logical and rational discussion of views with people of all creeds in a calm and dispassionate way, with the only aim that truth prevail over error and falsehood. But it also reminds us that it is error and falsehood as such that are to be hated and detested. The people who unfortunately hold on to error are never to be hated. That is why the motto of the Ahmadiyya Muslim Community is ‘Love for all, hatred for none.’

In Islam, an amazingly powerful emphasis is laid on developing love for mankind and on the vital importance of showing mercy and sympathy towards every creature of Allah Almighty, including human beings and animals. For indeed, love and true sympathy are the very antidote of terrorism.
 
Hili la manabii wote kuwa waislam nelifanyia utafiti mkubwa sana.Unabii ulikuwa kwa kizazi cha Ibrahim peke yake pamoja na wanae ambapo historia inatambua kuwa wao walikuwa waebrania na si vinginevyo.Manabii wote walinena kwa lugha hiyo na mode ya ufunuo wao haikuwa kupitia kwa malaika yeyote bali Roho wa Mungu mwenyewe.Ukifuatilia geneology ya vizazi vya Ibrahim unakuta kuwa hakuna mahala Muhammad anafit kwa sababu yeye ni mkureshi kutoka Yemen na mwisho wa siku Ibn Ishak anampachika ili a qualify kuwa mzao wa Ishmael.Makureshi hawana uhusiano wowote wa kidamu na Ishmael na wala waarabu si wana wa Ishmael kwa sababu watoto wote na wajukuu wa Ishmael hakuna waarabu bali waebrania.Manabii wote wa Israel ni wana wa Yuda na walitokea Judea.Huwa napata shida sana kumtambua Muhammad kama nabii wa Mungu ninayemuamini mimi.Naomba kujifunza
Umeelwa isivyo mkuu! Uislam ni kujitupa kwa Mwenyezi Mungu na kuingia katika amani... Huo ndio mnyororo ambao Manabii wote wamekuwa wakiwaitia watu waukumbatie hata ukiwa wa moto ili tu waingie katika amani. Kuhusu Unabii Islam inafundisha kwamba: Mpango wa Mungu ni kuwaongoza wanadamu katika njia iliyonyooka ili waweze kuungana naye. Na ili kutekeleza mpango wake huo, yeye akatuma Manabii mbalimbali ktk zama tofauti.
Kwa kuwa una kielezo cha Kutaka kujifunza, tuhamie kwenye msingi wa hoja yako; "Unabii ulikuwa kwa kizazi cha Ibrahim peke yake pamoja na wanae" inayokufanya usimtambue Muhammad kama Nabii wa Mungu unayemuamini.
Kwanza utoe ufahamu mpotofu ya kwamba "Manabii wote" walinena kwa lugha ya Kiebrania. Kumbuka kisa cha yule mama Mkananayo, ni wa taifa jingine kabisa ambalo kwalo Yesu hakuhusikana nalo hatimaye kushindwa kumpatia lulu ile ya thamani kwani haikumuhusu. Kisa kile ni kielelezo tosha ya kwamba inaposemwa Mataifa au Ulimwengu si kiashiria cha dunia nzima bali ile milki husika tu.
Uelewa wako juu ya nasaba ya Muhammad s.a.w (Genealogy) ni potofu
. Unasema kwamba Kureish wanatoka Yemen? Huu ndio mwanzo wa mkwamo wako. Lakini pia unabatilisha uhalisia unaoheshimika kihistoria wa Mke wa Nabii Ibrahim na mwanae Ismail jangwani. Jangwa gani lilikuwa vile? Hivi nabii huyu hadi akajenga na mwanae kujukuu hapo hapo kunaleta ishara gani ya uhusiano wa kidamu? Na si Waarabu na uhusiano wao wa kidamu na Nabii Ismail bali hasa Muhammad ndiye hoja. Fanya tena upembuzi wako.

HOJA DHAIFU:
Wengi baada ya kushindwa hapo kwenye hoja isiyo na mashiko ya Muhammad s.a.w kutokuwa na uhusiano wa kidamu na Nabii Ismail, baadaye huleta hoja dhaifu tena kwamba wana hasa wa Ibrahim ni Wakristo. lakini, hakika yenyewe ni kwamba ingawaje Waisraeli walibarikiwa na Unabii kwa muda mrefu sana, lakini kwa sababu ya wao kuvunja Agano la Mungu, ufalme wa mbinguni ulinyang'anywa kwao baada ya Yesu, bali walipewa Wana wa Ismail sawa na ahadi ya Mungu. Mwenyezi Mungu anasema kwenye Qur'an Tukufu "Hakika watu wanaomkurubia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Mtume huyu na walioamini" (3:69)
Ndiyo kusema kwamba ktk zama zilizopita watu waliomfuata Ibrahim ndiyo waliomkurubia, na ktk zama hizi Mtume Muhammad s.a.w. na waaminio wanamkurubia kuliko wengine wote. Yaani Waislamu ndiyo wana wa Ibrahim hasa kwa kiroho na Mtume Muhammad s.a.w. ndiye Mwana Mkuu wa Ibrahim.

UPOTOSHAJI WA WAANDISHI:

  1. BI HAJRA, Binti wa Mfalme
Ili kushusha hadhi ya Nabii Ismail a.s. na mama yake, waandishi wa Biblia wanamdaia Bi Hajra kuwa mjakazi ilhali ukweli wenyewe ni kwamba Bi Hajra alikuwa Binti wa Mfalme wa Misri ambaye alipoona miujiza ya Nabii Ibrahim ndipo akampa bint yake amuoe. Hili linasadikishwa hata na mwandishi Myahudi Rashi katiika maelezo ya Biblia Tafsiri ya Rashi Mlango wa 16 kumhusu Bi Hajra kwamba "She was the daughter of Pharaoh" - yaani alikuwa binti wa Firauni (Wadhifa).
2. ISMAIL ndiye alitakiwa kuchinjwa
Ismail ndiye ambaye Ibrahim alitaka kumchinja sawa na ndoto yake, lakini Mwenyezi Mungu Alimkataza kutekeleza nia yake. Waandishi wa Biblia wamejaribu bure kumnyang'anya Ismail heshima hiyo wakisema eti huyo ni Isihaka aliyetakiwa kuchinjwa. Hebu tusome:-
"Mungu Alimjaribu Ibrahim Akamwambia, Ee Ibrahimu! naye akasema, mimi hapa. Akasema, umchukue mwanao, mwana wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa" (Mwanzo 22:1-2)
Ijapokuwa waandishi wa Biblia wameandika bure jina Isihaka badala ya Ismaili, lakini hiyana hiyo haikuweza kuuficha ukweli ulivyo.kwani Biblia inasema kuwa aliyetakiwa kutolewa sadaka ni "Mwana wako wa pekee". Na ni hakika ya kuwa Ismail alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Ibrahim, na alikuwa mkubwa kuliko Isaka aliyezaliwa miaka 14 baada ya kaka yeke. Kwa hiyo ni Ismaili aliyekuwa mwana wa pekee kwa miaka 14 na maneno yenyewe ya Biblia yanatoboa hakika ilivyo na kudhihirisha hiyana iliyofanywa na Waandishi wa Biblia kwa ajili ya chuki ya Kikaini juu ya Ismaili.

HIYANA YAENDELEA
Basi wengi wanaendelea kujasiri kusema kuwa Biblia haisemi kuwa wazao wa Ibrahim waliahidiwa baraka, bali ni mzao mmoja tu kwa kutumia aya hii:

"Basi ahadi zilinenwa kwa Ibrahim na kwa mzao wake" (Mwanzo 12:7)
Baada ya hapo lile neno "nitawapa" ndilo huondoa utata wa uzao badala ya mzao mmoja.
Ismail na Isaka wote watabarikiwa: Ile sehemu isemayo "agano la milele" kuhusu kubarikiwa Isaka maana yake ni kwamba mpaka zama ambapo wenyewe wana wa Israeli watavunja ahadi hiyo. Na kweli alipofika Mtume Muhammad s.a.w katika uzao wa Ismaili, wana wa israeli walikuwa wamevunja ahadi, na kwa hiyo baraka zikaondolewa kwao na kuhamishwa kwa wana wa Ismail. Kwa ajili ya maovu ya wana wa Israeli, Yesu akawaambia: "Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolwa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake" (Mathayo 21:43)

JIWE KUU LA PEMBENI:
ieleweke ya kwamba "jiwe kuu la pembeni" lililokataliwa na waashi ndiye Ismaili ambaye hao waandishi wa Biblia walimkatalia heshima aliyopewa na Mungu; lakini limekuwa ni jiwe la pembeni. Habari hii ilitolewa na Zaburi (118:22-23) mapema sana kwa kuonyesha jinsi Ismaili na wazao wake watakavyokataliwa na 'waashi' .Katika wazao akatokea Mtume Muhammad s.a.w. ambaye alitimiza bishara hii:

"Naye aangukiaye juu ya jiwe hilo atavunjika-vunjika, naye yeyote ambaye litamwangukia, litamsaga tikitiki" (Mathayo 21:44)
Habari hii ilijulikana dhahiri katika maisha ya Mtume Muhammad s.a.w. katika vita vyake. lakini Yesu mwenyewe alivunjwa na msalaba sawa na imani ya Wakristo. kwa hiyo, ni bure tu kuihakikisha imani hii ndani ya dhati ya Yesu.

WANA WA IBRAHIM:
Wa aina ya kwanza ni wale wa damu yake ambao wote walizaliwa kwa ahadi, yaani Ismail na Isaka. Wa aina ya pili ni wazao wake kwa imani.
Aina ya pili ya wana wa Ibrahimu haiwezi kuwahusu Wakristo kwani Yesu amesema: "Kama mngekuwa watoto wa Ibrahim, mngezitenda kazi zake Ibrahim" (Yn 8:39). Yesu ametupatia kipimo cha utoto wa Ibrahim: ni kutenda kama alivyotenda Ibrahim. Imani ya mtu haiwezi kupimwa ila kwa matendo yake yaonekanayo, Je Wakristo wanamfuata Ibrahim katika matendo? Nasikitika kusema ya kwamba hawamfuati kwani Ibrahim alianzisha sheria ya kutahiriwa kwa amri ya Mungu ambayo imetupiliwa mbali na Kanisa. Tohara ni alama ya dhahiri ya agano la Mungu kwa wazao wa Ibrahimu (Mwanzo 17:9-10). Lakini, "asiyetahiriwa 'amevunja agano lamgu' (Mwa. 17:14)
Basi kwa kuwa Wakristo wamevunja agano hili, hawatapata zile baraka alizoahidiwa Ibrahim. Wakristo wanajificha ktk kichaka kwa kusema kwamba tohara ni ya moyo siyo ya mwili. Kwa kweli tohara ya mwili na ya roho zote mbili ni za muhimu. kudharau tohara ya mwili ni kitendo kibaya na kupuuza tohara ya moyo au roho pia ni jambo baya. Tohara ya mwili ni alama ya nje ya kuwa huyo anathamini Agano la Mungu.
Tutabakia kuwa ndugu daima, ni sawa lakini waliopuuza amri ya Mungu ya Tohara wamevunja Agano la Mungu; ni watoto waasi...
 
Kwa hiyo Mussa na Waisraeli nao ni magaidi?
 
Back
Top Bottom