Je, ukifa account yako itaandikwa RIP?

Je, ukifa account yako itaandikwa RIP?

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Usiri wetu unapelekea kimya cha baadhi ya members ambao hatujui waliishia wapi?

Walifanya vizuri kwa muda mfano Mpembawise wa kimasihara

Swali kwako kunamtu anakujua ukikata moto chap atoe taarifa ili tukutambue kama marehemu tusije mention mtu ambaye hatokuja kuwepo

Binafsi sina ila ndio hvyo tunasonga
 
Usiri wetu unapelekea kimya cha baadhi ya members ambao hatujui waliishia wapi?

Walifanya vizuri kwa muda mfano Mpembawise wa kimasihara

Swali kwako kunamtu anakujua ukikata moto chap atoe taarifa ili tukutambue kama marehemu tusije mention mtu ambaye hatokuja kuwepo

Binafsi sina ila ndio hvyo tunasonga
Sio lazima uandikwe RIP
 
Back
Top Bottom