Je Ukinunua gari la Taasisi lililosamehewa kodi utapaswa kulipa?

Je Ukinunua gari la Taasisi lililosamehewa kodi utapaswa kulipa?

Hiyo gari kama inazaidi ya miaka kumi huwa inasoma 0 kwa hiyo unaweza usiilipie ushuru au ukalipa kiasi kidogo sana, cha kukushauri nenda kwanza TRA watajie namba ya gari wakuangalizie makadirio yake yatakuwaje.
Asante kumbe inaweza kuwa hivyo,nitaenda kuuliza
 
Una uhakika mkuu,kuna mtu aliniambia eti itabidi nilipie ile kodi iliyosamehewa gari hilo?
Hiyo siyo kweli. Kama thamani yake ikiwa mpya ni $20,000, lakini sasa ina thamani ya $12,000 unalipia kodi za thamani za $12,000. Kumbuka kodi siyo moja
 
Hiyo siyo kweli. Kama thamani yake ikiwa mpya ni $20,000, lakini sasa ina thamani ya $12,000 unalipia kodi za thamani za $12,000. Kumbuka kodi siyo moja
Asante kwa ufafanuzi
 
Una uhakika mkuu,kuna mtu aliniambia eti itabidi nilipie ile kodi iliyosamehewa gari hilo?
Usidanganywe ukadanganyika baadaye ukaja hapa kulalamika.

Unalipia vizuri kwa mujibu wa sheria.

Usisikilize maneno ya kwenye kanga, nenda kaulize TRA.
 
Usidanganywe ukadanganyika baadaye ukaja hapa kulalamika.

Unalipia vizuri kwa mujibu wa sheria.

Usisikilize maneno ya kwenye kanga, nenda kaulize TRA.
Sawa nitafanya hivyo
 
Msamaha wa Kodi hua hauami isipokua kwa wale wenye sifa zinazofanana.

Kwakua wewe na Taasisi hamna sifa zinazofanana, lazima utalipia kodi ya Kuingiza gari, ila kodi hizo zita base baada ya hesabu ya Depreciation tangia gari imeingia.

Mfano: gari imeingia miaka 10 iliyopita na thamani yake ilikua 50M na Gari ilipata msamaha(inategemea na aina gani ya msamaha, maana ipo mingi), TRA watafanya hesabu za depreciation kwa miaka hiyo 10, na kupata thamani ya gari baada ya miaka hiyo, labda 10M, kodi zote zilizosamehewa zitalipwa kwenye hicho kiwango.

Mtu/Taasisi anaweza kusamehewe kodi zote. Au import duty(watu wa serikali) au VAT kwa baadhi ya project na kuendelea.
 
Hakuna kitu kama hicho wewe unaanzia ulipo linunulia,
Unapotosha.
Iliyosamehewa ni tasisi, umiliki ukibadilika utalipia kodi punde atakapoenda kubadili umiliki utakuta deni linakusubiria
 
Msamaha wa Kodi hua hauami isipokua kwa wale wenye sifa zinazofanana.

Kwakua wewe na Taasisi hamna sifa zinazofanana, lazima utalipia kodi ya Kuingiza gari, ila kodi hizo zita base baada ya hesabu ya Depreciation tangia gari imeingia.

Mfano: gari imeingia miaka 10 iliyopita na thamani yake ilikua 50M na Gari ilipata msamaha(inategemea na aina gani ya msamaha, maana ipo mingi), TRA watafanya hesabu za depreciation kwa miaka hiyo 10, na kupata thamani ya gari baada ya miaka hiyo, labda 10M, kodi zote zilizosamehewa zitalipwa kwenye hicho kiwango.

Mtu/Taasisi anaweza kusamehewe kodi zote. Au import duty(watu wa serikali) au VAT kwa baadhi ya project na kuendelea.
Asante kwa ufafanuzi
 
Achana na hilo gari
Utakuja kulia hapa hapa
Labda usifanye change of ownership ambapo ni kosa kisheria na ikipita muda mrefu siku wakakukamata hiyo fine ya kuchelewa kuchange ownership, utalia na kusaga meno.

Ukinunua chombo ambacho kilikua na tax exemption, unaposajili umiliki wako utalipa kiasi chote cha kodi kilichosamehewa.

Utauliza kwanini?
Ni kwasababu msamaha wa kodi haukua kwenye chombo, ulikua kwenye taasisi iliyoimport, tuseme taasisi za kidini au organization za charity. Wao wanapoliuza kwako usiye na msamaha, unapaswa kulipa yote waliyosamehewa wao.
Vipi kama chombo kilishatumika miaka kadhaa na thamani yake imeshuka hapo utalipia vipi,kodi ya wakati ule au hesabu itapigwa upya kutokana na hali ya uchakavu?
 
Hiyo gari kama inazaidi ya miaka kumi huwa inasoma 0 kwa hiyo unaweza usiilipie ushuru au ukalipa kiasi kidogo sana, cha kukushauri nenda kwanza TRA watajie namba ya gari wakuangalizie makadirio yake yatakuwaje.
Ulikuwa sahihi,nimeuliza kwenye mamlaka, kodi iliyobaki ni ndogo ukilinganisha na ile iliyosamehewa wakati wa kuingizwa ambayo ilikuwa ni Milioni 8 iliyobaki sasa ni moja na ushee tu

Kwahio ni kweli hio kodi inaendana na uchakavu, na kama ikikaa muda zaidi inamaana itarudi sifuri kama ulivyosema.
 
Ulikuwa sahihi,nimeuliza kwenye mamlaka, kodi iliyobaki ni ndogo ukilinganisha na ile iliyosamehewa wakati wa kuingizwa ambayo ilikuwa ni Milioni 8 iliyobaki sasa ni moja na ushee tu

Kwahio ni kweli hio kodi inaendana na uchakavu, na kama ikikaa muda zaidi inamaana itarudi sifuri kama ulivyosema.
Sawa mkuu na hongera kwa hilo.
 
Wadau,
Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi iliyosamehewa au sitalipia?

Na kama lina miaka 10 nyuma tangu taasisi hio iagize gari hilo na nitatakiwa kulipia kodi itakuwa ni ileile,itapanda au itashuka?

Naombeni ufafanuzi.
Bautaweza kubadili jina, unless ulipie kodi ndio Transfer inakubali hii iliwah kunisumbua sana, sitasahau
 
Back
Top Bottom