KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
Wanasamehewa kwa ajili ya kutoa huduma, umiliki unapohama itakulazimu ulipie may be utumie hivyo hivyo bila kubadili jina la taasisiAisee mbona balaa sasa,kama walisamehe kwanini sasa ulipie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasamehewa kwa ajili ya kutoa huduma, umiliki unapohama itakulazimu ulipie may be utumie hivyo hivyo bila kubadili jina la taasisiAisee mbona balaa sasa,kama walisamehe kwanini sasa ulipie?
Kinapungua kulingana na uchakavu wa gari...Kulipa ni lazima ndio maana nilikuwa nauliza nijue kama kiwango kinapungua ama vipi
Yes kiwango kinapungua nenda TRA wakakufanyie hesabuKulipa ni lazima ndio maana nilikuwa nauliza nijue kama kiwango kinapungua ama vipi
habariWadau,
Naomba mwenye ufahamu anisaidie,nikitaka kununua gari ambalo lilisamehewa kodi ya serikali(Tax exempted) linalomilikiwa na taasisi kidini,Je ni nitapaswa kulipia ile gharama ya kodi iliyosamehewa au sitalipia?
Na kama lina miaka 10 nyuma tangu taasisi hio iagize gari hilo na nitatakiwa kulipia kodi itakuwa ni ileile,itapanda au itashuka?
Naombeni ufafanuzi.
Msamaha wa Kodi hua hauami isipokua kwa wale wenye sifa zinazofanana.
Kwakua wewe na Taasisi hamna sifa zinazofanana, lazima utalipia kodi ya Kuingiza gari, ila kodi hizo zita base baada ya hesabu ya Depreciation tangia gari imeingia.
Mfano: gari imeingia miaka 10 iliyopita na thamani yake ilikua 50M na Gari ilipata msamaha(inategemea na aina gani ya msamaha, maana ipo mingi), TRA watafanya hesabu za depreciation kwa miaka hiyo 10, na kupata thamani ya gari baada ya miaka hiyo, labda 10M, kodi zote zilizosamehewa zitalipwa kwenye hicho kiwango.
Mtu/Taasisi anaweza kusamehewe kodi zote. Au import duty(watu wa serikali) au VAT kwa baadhi ya project na kuendelea.