Je, ukipewa fursa ya kuchagua jina moja umwite mtoto wako kati ya majina 4 ya watu mashuhuri Tz, Lowasa, Lipumba, Jecha, polepole, utachagua lipi?

Tuna utamaduni wa kuwaita watoto wetu majina ya watu mashuhuri kama Ronaldo, Messi, Obama, Mrisho, Ben, Harrison. Je, ukipewa majina hayo 4 utachagua jina gani umwite mtoto wako mpendwa.
Wako muite kalamaganda kabudu
 
Hahaaaa, aiseee Jf burdani tu. Duuuh hahahaaa
 
Akili za mtanzania yaani inaudhi. Badala ya kuwaza na kuandika mambo muhimu. Mtu unakuja na kitu kama hiki. Halafu unasema nchi itaendelea kweli ccm watatawala MILELE kama wananchi wenyewe ndio hawa. Naionea huruma Tanzania
wewe umeendelea au umeendeleza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…