Je, ukipewa shilingi milioni 1, itakutosha katika biashara yako?

Nielekeze biashara ya makande.
 
Hongera mpendwa.
 
Duh 1000000 biashara ama stress
 
Hongera Sana friend
Pambana mpaka hufikie Marengo
 
Hongera sana dear
Nimependa kujituma kwako

Hapo kwa wadada wa kazi ni fursa mana majumbani huku watumishi wa kazi ni vichomi

ukiendeleza kurasimisha; hata kwa mikataba mbeleni,mteja anapata dada wa uhakika na we unapata commission ya uhakika

dada pia akipita mikononi mwako iwe ni fursa ya kujifunza vitu na aelekezwe akienda kwa mteja atulie..kwa mkataba..ndo mana kila sekta hizi za kuajiriwa watu huwa wanatulia mana kuna mikataba...mana unatrain dada mwezi mzima ile kaelewa mnaanza kwenda sawa anaaaga kuondoka..inahusu jmn?.

japo pia unaweza kuweka masharti kulinda utu wao mfano dada asipigwe,asinyimwe chakula wala kufanya mapenzi kwa kulazimishwa..akihiari watajiju wawili

ila ni sekta naona inaweza boreshwa zaidi kwa manufaa ya dada wa kazi, agent na mteja
 
Poleh mwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…