Je, Ukiwa mtumishi wa serikali ukitaka kujiendeleza kimasomo ngazi ya shahada unaruhusiwa kuomba MKOPO kutoka HESLB?

Omba na utapata 100% wanapigaga mikwala Hila Awana system ya kukutambua na muda wa kukufatilia
 
Hiyo si inakatwa automatically Chief
Naelewa mkuu , utasikia mtu analalamika 'ooh bodi wanakata sana mara ooh bodi wameongeza deni n.k..'

Pata mkopo na ulipe , ili na sisi wengine tupate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…