Je, Ukraine inapoteza vita? Nchi za NATO zinavuja damu? Tutarajie Shambulio kubwa jipya kutoka kwa Warusi?

Ana miaka mingapi?wengine ni mashabiki tu.Na msisahau vita bado inaendelea.
Nani ana miaka mingapi huyo Putin kaanza hizi mambo za harakati na Afrika toka enzi za kina Che Guevara na Gadaffi hawa wakina Thabo Mbeki wamesoma Urusi kwa fedha ya Gadaffi...gazeti la Mfanyakazi kabla ya kuvunjika Soviet Union katikati palikua yanaandikwa haya mambo...kupitia hilo gazeti nikaamua kutafuta kitabu cha Soviet war kuanzia mwaka 1874 enzi za kina Soviet Empire...
 
Russia haipakani na USA?, mbona unakuwa muongo?

FYI Alaska shares a water boundary with Russia.
 
Kafundishe historia shuleni, uliza maswali ya kiutu uzima yanayoendana na muda.haiwezekani watu zaidi ya wanne wakugombee kwa swali lako jepesi.Japo wengi humu tu mashabiki.
 
warusi wa buza hawa
 
Kafundishe historia shuleni, uliza maswali ya kiutu uzima yanayoendana na muda.haiwezekani watu zaidi ya wanne wakugombee kwa swali lako jepesi.Japo wengi humu tu mashabiki.
Hata sikuelewi unaongelea nini faza...una stress nini unataka sehemu ya kupunguza tafuta Tura mwingine bhana..
 
Mrusi pia kapata mafanikio makubwa ambayo hayawezi kuwekwa wazi na vyombo vya propaganda vya kimagharibi...........Mrusi hayupo peke yake......hii ngoma inavyozidi kukua yatakuja kujulikana mengine......ukraine ni picha ndogo tu ya tifu linalokuja mbeleni
 
Yaani putin afe, basi dunia haina mbabe.Na kwa kukamilisha basi wote humu jamii forum hatuna akili.TUTAKUWA HATUWAJUI WAZUNGU NA HATUJUI LOLOTE DUNIANI.
Ni marehemu mtarajiwa Muda utasemap!
 
Shida ya watu wanajibu kishabiki na kutoa hoja zao kishabiki sana hadi maana ya Uzi ulioanzishwa unakosa maana toa hoja bila kutukana ichambue hoja yako.

Kifurushi cha saivi kimetolewa kuendana na mazingira ya vita inavyokwendaa naamini Ukraine wanaandaa counter offensive kubwa sana Ila matarajio sidhan kama yatakuwa mazurii kumbuka saivi Urusi naye kaanzisha mashambulizi mapyaa hayupo tena kulindaa tu maeneo aliyochukua ila anataka kuichukua maeneo mapya kushambulia kwa Urusi kutaipa ukrein wakati mgumu sana kurudisha maeneo yake na kutashuudiwa umwagaji mkubwa sana wa damu

Urusi ili kuzidi kushililia maeneo aliyopata hana budi kuongeza mashambulizi kupata maeneo mapya bila ivyoo hii vita atoboii hadi mwezi wa6 atanyoosha mikono juu kumsubiri mwenzako anayekuja kushambulia ni kuongeza vifo na majeraha kwa askari wko iyoo itawavunja nguvu wale wengine na kuanza kuachia maeneo wanayoyalindaa.

Matarajio yangu hii vita bado ina mwaka mzima mbele wa kuendelea labdaa 2024 katikati Ila kwa mwaka huu sioni kama kuna ata mmoja atanyoosha mikono na kukubali kushindwaa, Russia kashaaribu hawezi kurudi nyuma tna ata Leo hii Putin akinyofolewa pale bado vita itaendelea yote ni kulindaa hadhi ya taifa lao.

Wengi wanaiona Russia kama haina nguvu kiuchumi wa kukabiliana na hii vita sijui wanatumia akili gani kufikiria wengi tumeona baada ya vikwazoo kwa urisi ni hali gani nchi zote ulimwenguni zilipitia kiuchumi ila bdo watu wameshupaza shingo ila acha tuzidi kujionea
 
Umezungumza ukweli tupu wengi humu hawafwatilii huu mtanange .wengi wameijua urusi baada ya kuivamia ukrain
Wanafikiri urusi ni somalia. Nasema tena hizo hypersonic zilizokwenda bahari ya atlantic tutapata jibu .
 
Ukraine Hali ni mbaya sana
 
Ukitazama hii tunayo iita vita,lazima tuwe na mitazamo miwili,
1) Kwa urusi;
haikuichukulia kama vita kamili mpaka kama wiki 2 zilizopita, ndio wamei tafsiri kama vita. Urusi inahitaji eneo zaidi la kilimo na kupunguza/kutawala urahisi was ukrain kutumia bahari. Hii ni kwa sababu urusi inajilinda na Nato (ambayo msingi wake ni kujilinda dhidi ya Russia( ilikuwa USSR wakati huo).ukumbuke pia pamoja na ukubwa wa ukrain hawakuwa wakijiandaa kivita dhidi ya yeyote,lengo lao halikuwa kuingia Nato Bali kuingia EU (Kwa biashara ya mazao ya kilimo). Tishio hili linafungua njia mbili;
a) nchi zote 13 zilizo tokana na mvunjiko wa USSR zinataka kuwa member wa Nato ili kujilinda na Russia ya Leo,
b) kunaipa Nato mnjia rahisi ya kumshusha nguvu Russia pamoja na kwamba ni nuclear state,atakuwa kama Iran na north Korea ( sio Tena super power). Ndio maana halisi ya vikwazo alivyo wekewa.china inaweza kuwa balancing state hapa Kwa kutumia 100% ya mazao ya nishati kuisupport Russia isianguke kiuchimi ndio maana nao wanachokozwa wajichanganye kwenye hili jambo,Sasa hivi wanajenga bomba la mafuta mbadala wa Nord stream 2

2) Kwa ukrain
Hii ni vita kamili ya daudi na Goliath,na daudi ameuthibitishia ulimwengu Russia ni chui wa makaratasi, Kwa kuangalia uwezo (Military hardware ) na (battle philosophy).
Nini kinafanyika;

I) Mauzo ya vifaa vya kivita vya urusi yataanguka, mauzo ya vifaa vya kivita vya mataifa ya ulaya na marekani yatapanda,

ii) adhma ya kujiunga na Eu itaongezwa na kuwa ya kujiunga na nato pia,na kusogeza sio TU nuclear deterrent hardware mlangoni pa Russia bali hata missile shields mpakani na Russia karibu Kila upande, muda simrefu kalingrad itaanza kujiondoa Russia ilikusiwe na sea Access.
Wakimalizana na bwana Russia watamfuata bwana xi kumuamzishia chokochoko!,kelele za N.Korea na Iran zitaishia hapo.
Huu ndio mchezo unaoendelea.

Ukiamua kuangalia mchezo mzima kama vita kamili:
HIMARS System (game changer) hazifiki 100, lakini pia hazija achiwa pamoja na mabome ya aina zote,Wana maximum range ya 80km, na type Moja TU ya mabomu siyo array yote ya mabomu, askari wanaoenda battle front wa Russia ni fairly fresh recruits,hii maana yake Russia anabaki kutumia long range artillery kupata battle ground shield against Ukraine tatizo hapa ni accuracy Kwa Russian artillery. ,Ukraine watasogea karibu sana na askari wa Russia, hivyo Russia watalazimika kupoteza askari wengi sana,kinachofanywa Sasa ni kuwafanya askari wa urusi wapate battle fatigue,Russia hawezi Tena kumobilize 300k soldiers most likely Belarusian army will step in escalation will result in ww3.hii ni last option Kwa mtazamo wangu!
 
Hivi wameipa mara ngapi silaha Ila Urusi 🇷🇺 haijashindwa?
 
Umeandika kiushabiki Sana hamna point za maana
 
Na nyie nanyi kwa kurukia nyuzi za watu? Wenzenu wamefungua nyuzi za kujiliwaza nyie mnakuja kuwawekea barrier, mnataka waende wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…