Je, Ukraine inapoteza vita? Nchi za NATO zinavuja damu? Tutarajie Shambulio kubwa jipya kutoka kwa Warusi?

Amefumua watu huko leo
 

Attachments

  • Screenshot_20230108-163127_RT News.jpg
    227.1 KB · Views: 3
Umesahau alipovamia Ukreine alianza na kupiga mkwala kwamba atakae isaidia Ukreine atachukua Ndoige na kipondo ambacho hakijawahi kuonekana??
Huwezi ukavaa kata-K halafu ukatembea mtaa wa mabasha wakakuacha! Lazima wakufumue malinda...
Kwani kuna nchi yoyote imetangaza/kuingia kwenye battle filed upande wa ukrane. Usifikili Russia ni wajinga kama wewe
 
Mafanikio gani ambayo ukraine yameipata mpaka muda huu?
 
Punguza mahaba mkuu majimbo yamewashinda kurudisha we unaleta polojo
 
Mchina ataingia tu mkuu

Jamaa mpaka wamepasua bomba la gas na mrusi hajawafanya kitu.
 
Kwani kuna nchi yoyote imetangaza/kuingia kwenye battle filed upande wa ukrane. Usifikili Russia ni wajinga kama wewe
battle filed ndio mboga gani??
Unaelewa maana ya msaada??
Wakati wa vita yetu na uganda mrusi alikataa kutuuzia anti aircraft missile na kuongeza kasi ya kumpa uganda ndege vita, hadi zikawa zinatamba hadi mwanza!
Kukosa hekima ya Nyerere kuomba msaada Msumbiji na Algeria na wakatusaidia heat seaking missile sijui tungekuwa wageni wa nani!
Au ulikuwa bado unanyonya?!
Kichwa cha dingi kinaviziwa muda utasema!
Kama hupendi meza sumu ya panya unune.
 
PUMBA.. Asilimia kubwa ya silaha za tanzania tulizipata kutoka Urusi. Unalifahamu hilo? Unajua ukweli wa chanzo cha vita ya Kagera? Nakushauri achana na mambo ya kutumia akili maana hata kuku ana akili kubwa kukushinda. Wewe endelea tu ku promote ushoga
 
huna ulijualo ningekwambia mengi ili ufunguke ilaha nakuona upo kwenye ashki majunun!
Kwani wale mbuzi wa mahakama ya mbuzi wanao firana wamehamasishwa na nani???
 
Hii battle fatigue ndo inayoshika kasi kwa sasa, tazama Ukraine anavyopiga Russia na kuua askar wake kisha anatuma udhihirisho wa picha na video, hii inaondoa morale kwa jeshi la russia.

Siwezi mimi kuona askari wenzangu wanakufa kinyama tena mpaka picha zipo kisha nikawa na moyo wa kwenda vitani.

Pia tuelewe kubwa, US na NATO inatoa msaada kwa Ukraine kutoka sehemu ndogo saana ya uwezo wao wa kijeshi. Fikiria wapeleke long range missiles za HIMARS, fikiria wapeleke F14, F18 au F35 huko Ukraine.

Fikiria Ukraine wapewe silaha za kutosha kwa ajili navy battlefield. Itakuwa ni hatari na nusu.
 
Wanajuwa wakipeleka hizo silaha ndio utakuwa mwanzo wa mwasho wa biashara ya silaha za marekani, maana zitafumuliwa vibaya sana
 
Mwenyewe umeona hapo umeandika points 😄😄😄😄
 
Bro unaichukulia Russia kilaisi kirahisi namna hiyo?? Unafikili Russia yupo peke yake ktk hiyo vita? Ukraine itakuwa kichinjio cha jeshi la NATO.
Ila mjumbe katoa ufafanuzi wa kitaalam amabo unahitaji kujibiwa in a similar way
 
Nilitamani huyo unayemjibu umjibu kwa takwimu kama alivyofanya yeye. Mi naamini kuwa sisi outsiders hatuwezi ku-predict kitakachotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…