Je, ukubwa uliopitiliza wa Grigori Angels pamoja na maumbo ya ajabu ajabu ya Malaika siyo matokeo ya Evolution iliyotokana na hali ya hewa ya huko?

Je, ukubwa uliopitiliza wa Grigori Angels pamoja na maumbo ya ajabu ajabu ya Malaika siyo matokeo ya Evolution iliyotokana na hali ya hewa ya huko?

Kwann hicho kitabu kilitolewa?

Kuna siri/mapungufu gani katika kitabu hicho?

Nani alikitoa?

Tuanzie hapo kwanza labda nitapata kitu kidogo
Labda nimsaidie mtoa mada mawili matatu.....

Kwanini kimetolewa??

1.Kimeandikwa 200 BC ilihali Henoko alishakufa miaka zaidi ya 3500 BC hivyo kikaonekana hakijaandikwa na Henoko yule wa Biblia.

2. Kinakinzana na vitabu vingine vya manabii na mitume wa Biblia mfano Henoko anasema Malaika walizaliana na binadamu ilihali Agano jipya Yesu anasema malaika hawana jinsia.

3. Kitabu cha Henoko kinaelezea mambo kibao ya kiroho mfano kusoma nyota,kufanya miujiza,Maelezo juu ya malaika,majini na mashetani kwa undani sana, mambo ambayo viongozi wa kanisa wakaona kama ni mafundisho magumu sana kuwapa wakristo maana wangeweza kuyatumia vibaya n.k

Kuhusu siri
1. Inaeleza kuwa Noah alikuwa mzungu wa kwanza kiasi walishangaa mtoto mweupe katokea wapi meaning kuna uwezekano Henoko hadi Adam walikuwa weusi... So wazungu hawataki tulijue hili

2. Siri ingine ni malaika kuzaliana na wanadamu na kuzaa kizazi cha majitu makubwa kama wanefili ambayo yalitesa sana hii dunia suala hili kwenye Biblia halina majibu na inasemekana damu/genes zao zimeendelea kuwepo mpaka leo kwa jamii fulani influential hapa duniani ambazo zinaicontrol dunia.... Kwanini kisifichwe???

3. Henoko anaeleza mambo mengi ya kiroho na nabii ambazo baadhi ya waganga na wachungaji huzitumia kufanya miujiza,kusoma nyota n.k sasa siri kama hizi kwanini zisifichwe

Na zingine nyingi

Nani alikitoa??

Wakati Biblia inakuwa compiled both agano la kale na jipya kwa pamoja hicho kitabu cha Henoko kilihesabiwa kama pseudepigrapha yaani FEKI... Hivyo kikapotezwa lakini waethiopia walishakuwa wamekitunza miaka na miaka hivyo kikatambulika kwenye makanisa ya Orthodox ya Ethiopia na mpaka leo hii ndio kanisa pekee wanaokisoma ila huko ulaya walikikataa wakisema ni FEKI.

Nafikiri ntakuwa nmejibu kwa kiasi chake labda tumsubiri mto mada naye aongezee
 
Hapo kuna shida nyingine kubwa sana. Sitaki kuliko fella hili kwa sasa but naliandalia timing tu naendelea kukusanya data, kuna siku nitalileta hili la Malaika kuwa weupe tu muda wote.
Iv bro ukitokewa na malaika mbongo yaan mweus utakubali? Yaan akatokea jemba mweus akakwambia Mimi ni malaika kutoka kwa bwana, afu huyo jemba ni mweus Wala siyo mweupe utakubali
 
Kuna baadhi wamekuwa hawaamini juu ya uwepo wa Giants waliopitiliza. Hebu angalia hapa uvumbuzi wa mafuvu haya na miaka yalipovumbuliwa.

Likubwa kabisa (futi 36) ni lile lililovumbuliwa huko Carthage (Tunisia) na lingine huko Bosphorus (Turkey).

View attachment 956601
sasa mkuu kma lifuvu kubwa liligunduliwa huko ethiopia huyu wa bonde la huku kwetu bas hakuwa binaadam wa kwanza
 
Labda nimsaidie mtoa mada mawili matatu.....

Kwanini kimetolewa??

1.Kimeandikwa 200 BC ilihali Henoko alishakufa miaka zaidi ya 3500 BC hivyo kikaonekana hakijaandikwa na Henoko yule wa Biblia.

2. Kinakinzana na vitabu vingine vya manabii na mitume wa Biblia mfano Henoko anasema Malaika walizaliana na binadamu ilihali Agano jipya Yesu anasema malaika hawana jinsia.

3. Kitabu cha Henoko kinaelezea mambo kibao ya kiroho mfano kusoma nyota,kufanya miujiza,Maelezo juu ya malaika,majini na mashetani kwa undani sana, mambo ambayo viongozi wa kanisa wakaona kama ni mafundisho magumu sana kuwapa wakristo maana wangeweza kuyatumia vibaya n.k

Kuhusu siri
1. Inaeleza kuwa Noah alikuwa mzungu wa kwanza kiasi walishangaa mtoto mweupe katokea wapi meaning kuna uwezekano Henoko hadi Adam walikuwa weusi... So wazungu hawataki tulijue hili

2. Siri ingine ni malaika kuzaliana na wanadamu na kuzaa kizazi cha majitu makubwa kama wanefili ambayo yalitesa sana hii dunia suala hili kwenye Biblia halina majibu na inasemekana damu/genes zao zimeendelea kuwepo mpaka leo kwa jamii fulani influential hapa duniani ambazo zinaicontrol dunia.... Kwanini kisifichwe???

3. Henoko anaeleza mambo mengi ya kiroho na nabii ambazo baadhi ya waganga na wachungaji huzitumia kufanya miujiza,kusoma nyota n.k sasa siri kama hizi kwanini zisifichwe

Na zingine nyingi

Nani alikitoa??

Wakati Biblia inakuwa compiled both agano la kale na jipya kwa pamoja hicho kitabu cha Henoko kilihesabiwa kama pseudepigrapha yaani FEKI... Hivyo kikapotezwa lakini waethiopia walishakuwa wamekitunza miaka na miaka hivyo kikatambulika kwenye makanisa ya Orthodox ya Ethiopia na mpaka leo hii ndio kanisa pekee wanaokisoma ila huko ulaya walikikataa wakisema ni FEKI.

Nafikiri ntakuwa nmejibu kwa kiasi chake labda tumsubiri mto mada naye aongezee
Naamini uko sahihi kabisa.
 
Iv bro ukitokewa na malaika mbongo yaan mweus utakubali? Yaan akatokea jemba mweus akakwambia Mimi ni malaika kutoka kwa bwana, afu huyo jemba ni mweus Wala siyo mweupe utakubali
Ni ngumu kabisa kukubaliana. Na sitakubali kwa sababu kuu moja. Dini zote zinazoongelea malaika hasa ukristo na uislamu, zinaonyesha malaika wakiwa weupe, so hiyo nayo imetuathiri sana.

Ninachokataa katika maisha yangu hadi kufa ni madai ya watu kuwa, sisi Waafrika ni uzao wa Ham. Kwa elimu yangu ya jiografia na Historia, mimi ndiye nitakuwa wa mwisho kukubaliana na suala hili.

Kuna siku nitaweka bandiko nilifafanue vyema suala hili ili mu-judge wenyewe, just wait.
 
sasa mkuu kma lifuvu kubwa liligunduliwa huko ethiopia huyu wa bonde la huku kwetu bas hakuwa binaadam wa kwanza
Mafuvu ya huku Afrika, yanahusisha binadamu waliokuwa wana-evolve kutoka Homo Habilis kwenda stage ya Homo Erectus hadi kuwa Homo Sapiens (Mwanadamu kamili).

Hata hivyo, ukiongelea juu ya Giants, unaongelea viumbe waliozaliwa kati wanadamu na malaika. Kwa hiyo tofautisha wanadamu wa kwanza waliotoka Afrika na walipofika huko Asia, ndipo walipoonekana kutoka kwa hao malaika.

Muhimu ni kuwa, ukitaka kulielewa tukio hilo hasa periodisation, achana na periodisation za kwenye Vitabu Vitakatifu kwani zina walakini mkubwa. Mfano: Kwenye Biblia, umri wa Dunia tokea kuumbwa kwa Adam na Hawa (Eva) ni miaka ipatayo 6,000 pekee lakini tunaelewa kuwa, binadamu wa awali (Homo Erectus) walitoka barani Afrika miaka ipatayo 500,000 iliyopita na kwamba by 200,000 binadamu kamili (Homo Sapiens) walikuwa walishavuka kutoka Afrika hadi Asia, japokuwa migration (Out of Africa) kubwa ilikuwa ya miaka ya 100,000 - 60,000 iliyopita. Umeona tofauti hiyo?

Hata hiyo inayodaiwa gharika kuwa iliua watu wote nayo ina utata mkubwa kwani uchunguzi unaonyesha kuwa, haikugharikisha binadamu na viumbe vyote duniani na kwamba it was a local phenomena (Middle East) na siyo la Dunia nzima.
Vilevile, uchunguzi uliofanywa na wataalam ikiwemo tafasiri za Zecharia Setchin umekiri kuwa habari uumbaji; Adam na Hawa; Gharika; na Mnada wa Babeli; ni matokeo ya texts za zamani za Mesopotamia hasa Sumeria (Aliens?)
So, hata gharika ni matokeo ya Sayari ya Nibiru (Planet X) kupita karibu na Dunia na kusababisha gharika kubwa duniani.
Inadaiwa kutokana na uwezo mkubwa wa kimiungu (gods-like), Aliens (Malaika) waliokuwa duniani kipindi hicho, waliweza kuhepa gharika hiyo kwa kuwa walikuwa na uwezo wa kuona mabadiliko hayo yaliyokuwa yakitaka kutokea kufuatia ujio wa Nibiru karibu na Dunia.
Sitaki suala hili liwe mjadala kwenye bandiko hilo, but kuna myth kubwa juu ya hili. Na hata hiyo gharika, inaelezwa kuwa, Biblia iliandika kitu kilichowahi kutokea zamani na siyo

IMG_7443.jpg
 
Ni ngumu kabisa kukubaliana. Na sitakubali kwa sababu kuu moja. Dini zote zinazoongelea malaika hasa ukristo na uislamu, zinaonyesha malaika wakiwa weupe, so hiyo nayo imetuathiri sana.

Ninachokataa katika maisha yangu hadi kufa ni madai ya watu kuwa, sisi Waafrika ni uzao wa Ham. Kwa elimu yangu ya jiografia na Historia, mimi ndiye nitakuwa wa mwisho kukubaliana na suala hili.

Kuna siku nitaweka bandiko nilifafanue vyema suala hili ili mu-judge wenyewe, just wait.
Unitag mkuu
 
Ina maana hicho.kitabu cha Enoch kimerlezea mpaka uganga na uchawi humo humo??
Basi kuna kitabu cha dini flani kina uganga na uchawi humo humo ..nadhani itakuwa wali copy humo...ila ...mmh!
 
Mafuvu ya huku Afrika, yanahusisha binadamu waliokuwa wana-evolve kutoka Homo Habilis kwenda stage ya Homo Erectus hadi kuwa Homo Sapiens (Mwanadamu kamili).

Hata hivyo, ukiongelea juu ya Giants, unaongelea viumbe waliozaliwa kati wanadamu na malaika. Kwa hiyo tofautisha wanadamu wa kwanza waliotoka Afrika na walipofika huko Asia, ndipo walipoonekana kutoka kwa hao malaika.

Muhimu ni kuwa, ukitaka kulielewa tukio hilo hasa periodisation, achana na periodisation za kwenye Vitabu Vitakatifu kwani zina walakini mkubwa. Mfano: Kwenye Biblia, umri wa Dunia tokea kuumbwa kwa Adam na Hawa (Eva) ni miaka ipatayo 6,000 pekee lakini tunaelewa kuwa, binadamu wa awali (Homo Erectus) walitoka barani Afrika miaka ipatayo 500,000 iliyopita na kwamba by 200,000 binadamu kamili (Homo Sapiens) walikuwa walishavuka kutoka Afrika hadi Asia, japokuwa migration (Out of Africa) kubwa ilikuwa ya miaka ya 100,000 - 60,000 iliyopita. Umeona tofauti hiyo?

Hata hiyo inayodaiwa gharika kuwa iliua watu wote nayo ina utata mkubwa kwani uchunguzi unaonyesha kuwa, haikugharikisha binadamu na viumbe vyote duniani na kwamba it was a local phenomena (Middle East) na siyo la Dunia nzima.
Vilevile, uchunguzi uliofanywa na wataalam ikiwemo tafasiri za Zecharia Setchin umekiri kuwa habari uumbaji; Adam na Hawa; Gharika; na Mnada wa Babeli; ni matokeo ya texts za zamani za Mesopotamia hasa Sumeria (Aliens?)
So, hata gharika ni matokeo ya Sayari ya Nibiru (Planet X) kupita karibu na Dunia na kusababisha gharika kubwa duniani.
Inadaiwa kutokana na uwezo mkubwa wa kimiungu (gods-like), Aliens (Malaika) waliokuwa duniani kipindi hicho, waliweza kuhepa gharika hiyo kwa kuwa walikuwa na uwezo wa kuona mabadiliko hayo yaliyokuwa yakitaka kutokea kufuatia ujio wa Nibiru karibu na Dunia.
Sitaki suala hili liwe mjadala kwenye bandiko hilo, but kuna myth kubwa juu ya hili. Na hata hiyo gharika, inaelezwa kuwa, Biblia iliandika kitu kilichowahi kutokea zamani na siyo

View attachment 958025
Kusema kuwa garika ilisababishwa na nibiru ambayo mpaka sasa ni takriban miaka 3600 iliyopita ilipopita karibu na sayari yetu ya dunia siyo kweli maana nibiru haiwezi kuleta athari zozote maana nibiru haitegemei nguvu ya nyota yetu ya jua pia nubiru kupita karibu na dunia haibadirishi gravit ya dunia na mwezi kama ingebadilisha hata msimu na majira yangebadirika huenda hata kuathiri mfumo wetu wa maisha ,viumbe hai kwa ujumla.
Na kama nibiru ingeikaribia dunia kwa sana na kupita katika anga yetu ya solar system ni dhahiri isinheweza kuondoka katika mfumo maana ingedakwa ktk mfumo wetu wa jua na ingekuwa sayari yetu ktk jua na ingeathiri uhai wetu Huenda tusingekuwepo au Tungekuwa viumbe tusiotegemea oxygen
images-2.jpeg
images.jpeg
 
Back
Top Bottom