kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
-na hawatudhuru kwakweli.Unashauriwa ujue ni magonjwa gani usije ukaparamia mafua ya ndege.
Ila sisi wa mikoani tunakula sana hao kuku.
-na hawatudhuru kwakweli.
namimi nilitaka kujua maana niligoma kula home-na hawatudhuru kwakweli.
-kula tu mkuu,namimi nilitaka kujua maana niligoma kula home
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unajua saa nyingine unaweza ukawaza inakuaje mtu asiyesoma kabisa yaani mbumbumbu akaweza kuandika, hivi huu uzi umeandikiwa?
kwanini mkuu mbona husomeki,au ndio unajionesha una akili sana ungeenda siasani kuleUnajua saa nyingine unaweza ukawaza inakuaje mtu asiyesoma kabisa yaani mbumbumbu akaweza kuandika, hivi huu uzi umeandikiwa?