Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhhhWewe nicheke tu Nasubiria yako nikuzomeee
hahahhhhh bado mna mm tuAkiileta naomba kutagiwa [emoji116][emoji116]
hahahhhh mm mjanja Daby sijawahi aibikaNa nahisi ulikamatiwa pabaya bora hata mimi[emoji4][emoji4]
Usijali kuhusu hiloAkiileta naomba kutagiwa [emoji116][emoji116]
aisee poleMe niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
GOLDCREST ni 4000Tsh per cup....Rai don't you believe kuna hotel za bei hiyo bongo??
Oasis ya morogoro navyoongea now kahawa 1 cup ni 4500. Na ni hotel ya kawaida saana kwa wanaoifahamu...
Si useme yaliokukutaHahahahh acha nikucheke tu
HahahhhhHata ile morning speech kujing'atang'ata parade!!![emoji1]
waambie basi we si nilishakwambiaSi useme yaliokukuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Waambie mwenyewe stak aibu na ukiwa unawaambia Mie ntaondokawaambie basi we si nilishakwambia
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne