Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
binti kaja anaanza kupanic ."unafanya nini kwenye pochi" alafu anaropoka kwa nguvu hadi watu wote wakageuka .bonge ya msala. unabaki na kigugumizi tu mmmmh mmmh
Hahaha...kwa hiyo bill iliishaje mkuu
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
Hahahahaha...hii kiboko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
dah niliua Soo kiume mkuu.yule binti hamu ya kumgegeda yenyewe ilikata nikamwambia apotee maana niliona hawezi nipa msaada zaidi kuendelea kuniabisha.nikamvuta manager pembeni nikamwambia baki na simu yangu nikakuletee pesa yako.hahah
Ulikutana na manager mwelewa. Mimi huyo maza wa kahawa ile kujua tu sina pesa ya kutosha akakaza sura aka aliweka wa meee.
 
Nlikuwa mwoga wa mademu knoma... Siku moja manzi ametukuta kijiwe akaanza kutoa hi kaanzia kushoto wote anawapa mikono then anawambia mambo? Me woga woga wangu nkamwambia mambo af nkadakia mwenyewe poa poa.... Wana walicheka sana... Ilikuwa mashine 3 iringa cji sahau
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
Khaaaa ahsante kwa kunichekesha jioni hii

C.c kui espy
 
Nlikuwa mwoga wa mademu knoma... Siku moja manzi ametukuta kijiwe akaanza kutoa hi kaanzia kushoto wote anawapa mikono then anawambia mambo? Me woga woga wangu nkamwambia mambo af nkadakia mwenyewe poa poa.... Wana walicheka sana... Ilikuwa mashine 3 iringa cji sahau
Ukubwani mnakuwaga viwembe....
 
Back
Top Bottom