Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

darasa la pili hilo enzi michezo ya gololi imeenea,
basi baada ya kubunwa gololi zoote nikawa sina jinsi, nikarudi home mpaka chumba cha bro, kuingia nakuta tsh 40 mezani, yaani tsh ishirini ishirini ziko mbili,
basi nikazichukua fasta kisha nikachomekea t-shirt yangu na kile kipensi nikichovaa, then nikazidumbukiza zile hela ndani ya shati(nimechomekea ili nikiweka hela zisidondoke)
na ikitokea hata nimefumwa nikisachiwa mfukoni zisionekane.
sasa mazee ile natoka tu ndani Haaamad bro huyu hapa, uso kwa uso mlangoni, akaanza kuniuliza enhee umefuata nini chumbani kwangu? Kuniuliza vile nikaanza kubabaika cuz kila mtu ana chumba chake,
kisha akaniuliza tena
Hujaniibia hela wewe? Hebu ngoja niziangalie.
Dooh kuzichek hazipo!
Ikabidi aaanze kunisachi huku mimi nikijitetea sijachukua.
Akasema hebu ruka ruka nione, basi ile kuruka ruka mara naskia sarafu yakwanza imeanguka chini, sijakaa sawa na nyengine imeanguka. Dah nilijiskia noma kweli,
ukichek ndo mara yangu ya kwanza kumuibia,
Gololi ziliniponza aisee manake malengo yangu pale nilijua nakwenda kununua gololi zingine ili nizikomboe gololi zangu
Ujawa addicted KUBET saizi kwa muhindi[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ilitokea kwa mara ya kwanza kutumia lift, nikiwa naenda ghorofani(5) siku zote nilikua natumia ngazi kwa hofia coz sikuwahi tumia, sasa siku nikaingiwa na uthubutu, kwenye kupanda nikafanikiwa coz nilikuwa na mtu mwingine nikamtumia kama chambo(nikaona kumbe rahisi tu) kwenye kushuka sasa, ile kuingia tu hofu akanijia akili na miguu ikajaa maji nikashindwa nifanyeje ili nirudi chini nibonyeze wapi sijui, kwa kubahatisha nikabofya kitufe G. Ile kufika chini yale mawenge si nikapiga kelele nikijua nimepotea walinzi wakaja fasta na watu waliokua karibu, wakaniuliza vipi mbona kelele? Ndio nikagundua kumbe nimefika Ground. Jamaa nikawapotezea kuwa ni chafya ya mfululizo, ila waliogundua walikaukia kucheka. (Ushamba mzigo aisee)[emoji1]
 
Npo Primary la 4, enzi hzo tunakaa chini kwenye mawe,, banae kumbe kaputura yangu imetoboka sirini, sasa kumbe kipumbu kimoja kimechomoka nje
Nikawa nashangaa darasa wana na videmu vinacheka m sjui hili wala lile, nlshangaa kidem kimoja kikaja kuvuta hcho kitubwasha banaee ilikuwa aibu ya mwaka darasa zima likalipuka kwa kicheko cha hatare
[emoji16][emoji16]na wewe ungekivuta titi
 
darasa la pili hilo enzi michezo ya gololi imeenea,
basi baada ya kubunwa gololi zoote nikawa sina jinsi, nikarudi home mpaka chumba cha bro, kuingia nakuta tsh 40 mezani, yaani tsh ishirini ishirini ziko mbili,
basi nikazichukua fasta kisha nikachomekea t-shirt yangu na kile kipensi nikichovaa, then nikazidumbukiza zile hela ndani ya shati(nimechomekea ili nikiweka hela zisidondoke)
na ikitokea hata nimefumwa nikisachiwa mfukoni zisionekane.
sasa mazee ile natoka tu ndani Haaamad bro huyu hapa, uso kwa uso mlangoni, akaanza kuniuliza enhee umefuata nini chumbani kwangu? Kuniuliza vile nikaanza kubabaika cuz kila mtu ana chumba chake,
kisha akaniuliza tena
Hujaniibia hela wewe? Hebu ngoja niziangalie.
Dooh kuzichek hazipo!
Ikabidi aaanze kunisachi huku mimi nikijitetea sijachukua.
Akasema hebu ruka ruka nione, basi ile kuruka ruka mara naskia sarafu yakwanza imeanguka chini, sijakaa sawa na nyengine imeanguka. Dah nilijiskia noma kweli,
ukichek ndo mara yangu ya kwanza kumuibia,
Gololi ziliniponza aisee manake malengo yangu pale nilijua nakwenda kununua gololi zingine ili nizikomboe gololi zangu
[emoji28][emoji28][emoji1]
 
Likizo ya mwezi wa sita form three mzee alinipa kazi ya kulipia mambo yake TRA, kama mnavyokumbuka mwanzoni mwa 2000's kulipia TRA ilikuwa na milolongo mingi sana mtu ukiwa bize unaweza ukazira. Kwa hiyo mzee alinipa ya usumbufu pamoja na rushwa.
Basi nilipomaliza kila kitu nikawa nimebaki na chenji ya kutosha kabisa. Siku hiyo nimetoka TRA narudi hom, njiani nimekutana na classmate nammezeaga mate sana nikasema leo nina nyenzo nang'oa huyu mtoto.
Tukasalimiana nikamkaribisha kwenye hoteli jirani hapo tule lunch wala hakuvunga. Msosi ukaletwa chips kuku nusu mara mbili bonge la advataizi, niksona hapa ndo wakati wa kuchomekea kama JPM. Ile sijamaliza hata mistari yangu mtoto akasimama kwa hasira akaanza kunifokea kwa sauti kali sana. Hapo meza zote zimejaa wafanyakazi wamekuja lunch wote wamegeuka wanashangaa hawa watoto vipi! Mimi hata cha kujibu sina mate yamekauka. Nakumbuka maneno machache tu "yani vichipsi vyako ndo unitongoze?" mengine sikusikia kwa kweli. Akaondoka zake mimi sielewi cha kufanya, akaja dada mmoja mhudumu na mfuko akaniambia lipia mdogo wangu tukufungie.
Sikutongoza tena hadi form five na huyo huyo akawa girlfriend wangu wa kwanza.
ungeua soo kwa kumwambia, "kama unajamba nisikwambie"?

[emoji2] [emoji2]
 
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi.
Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani.

Mimi: kipindi cha nyuma tulienda hotel moja kuogelea/swimming. Tulikuwa mobb ya watu kama 12(ke&me). Sasa kiubaridi cha saa 12 kikanipiga nikasema isiwe kesi ngoja nibugie hata tuvikombe tuwil twa kahawa nipunguze baridi. Washkaji waka ni alert ila nikasema liwalo na liwe walet ina 15000tsh bhana! haiwezi kuzidi hapo. Nikaitisha kahawa yangu... ile namalizia mhudumu/mama anakuja kukusanya vyombo vyake na sukari yake nyeupe( maana niliibakiza) nikapewa bill ya tsh 22500 [emoji23][emoji23][emoji23]. sheee tabala roi. Mimi nilijua mbalauni kama kwa mama clareee kumbe nauli ya chuga- moro kbs???

Na mmaza wa watu anataka kuondoka na pesa yake. Ikabidi washkji wajichange kimya kimya 6500 ikapatikana. Ila nilikiona cha moto kutembea kwa miguu kutoka hapo mpaka nyumbani. Na Nashukuru mamy siku hiyo sikuongozana naye.

Msinicheke wengi yametukuta. Je na wewe yalikukuta yapi???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kutoingia jf kila Siku unapitiwa mengiii??
 
Me niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
January terehe 28 mwaka huu yah nilikuwa badooo.... Dah sipati picha km nilikuwa nakuona vile
Yaani hauna hata miezi 3 ila kasumbufuuuu.. tutakugawa insta sasa hivi wewe na aunt yako
 
Nikiwa safarini kwenda Brunei nilishuka nchi moja ya kiarabu. I had a job ya miezi 2 pale. Sasa wadada wa nchi ile hupati hata wa kujituliza. Pale kulikuwa na sheria kali na I was limited in my moves. Sasa siku moja nikapata ka trip kwa hotel moja ilikuwa na Casino na lot of wadadas. Ile naingia tu nikakutana na waarabu wawili wapo watupu wakaja kunikarimu just kunikaribisha, nilihisi mwili unazimia mbele kidogo nikaona balaa jipya, dish likayumba kabisaaa.....nikastuliwa na mlinzi akiniambia Mr your trousers is making mountan!!!
 
Nikiwa Primary std 3, nikawa nakatongoza kidem ambacho tupo darasa moja wakati tunafanya usafi wa darasa.
Sasa yule manzi nikawa nambananisha mlangoni, eebhanaa ee si Mkuu wa shule akaingia na kutukuta.
Akamwuliza yule mtoto huyu anakuambia nini, mtoto akafunguka ETI ANATAKA TUFANYR TABIA MBAYAA.

Dah, nilikula stiki za kufa mtu, cha ajabu sikusikia hata moja.
Yule mkuu akaniambia kesho nije na mzazi, ukicheki naishi na bibi afu ni mkali balaa.

Ilinibidi kesho niamke saa 12 asubui nikawahi shule na vitunda vya kahawa mbichi na kuziweka pale mlangoni kwa mkuu ili asahau.

Nikawa namsubiri kwa nje nimejibanza nishuhudie akivuka mlango.
Hakika alisahau na nilishukuru sana.
 
Nikiwa Primary std 3, nikawa nakatongoza kidem ambacho tupo darasa moja wakati tunafanya usafi wa darasa.
Sasa yule manzi nikawa nambananisha mlangoni, eebhanaa ee si Mkuu wa shule akaingia na kutukuta.
Akamwuliza yule mtoto huyu anakuambia nini, mtoto akafunguka ETI ANATAKA TUFANYR TABIA MBAYAA.

Dah, nilikula stiki za kufa mtu, cha ajabu sikusikia hata moja.
Yule mkuu akaniambia kesho nije na mzazi, ukicheki naishi na bibi afu ni mkali balaa.

Ilinibidi kesho niamke saa 12 asubui nikawahi shule na vitunda vya kahawa mbichi na kuziweka pale mlangoni kwa mkuu ili asahau.

Nikawa namsubiri kwa nje nimejibanza nishuhudie akivuka mlango.
Hakika alisahau na nilishukuru sana.
huyo demu xx hiv yuko wap!!!?
 
Npo Primary la 4, enzi hzo tunakaa chini kwenye mawe,, banae kumbe kaputura yangu imetoboka sirini, sasa kumbe kipumbu kimoja kimechomoka nje
Nikawa nashangaa darasa wana na videmu vinacheka m sjui hili wala lile, nlshangaa kidem kimoja kikaja kuvuta hcho kitubwasha banaee ilikuwa aibu ya mwaka darasa zima likalipuka kwa kicheko cha hatare
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Katika pitapita zangu mitaa ya wajaluo na masai wauza mawe arusha nikaona ngoja namimi ninyoe babashop hesabu zangu kwamba haiwezi zidi elf5 nilizungushwa viti vinne mara naoshwa kichwa mara nasuguliwa uso nililetewa bili elf 22000 mfukoni nlikua na 20000 nilitoa macho kama fundi saa wakanisamehe 2000 wale wadada wakawa wananitania utakja tena hapa
 
Katika pitapita zangu mitaa ya wajaluo na masai wauza mawe arusha nikaona ngoja namimi ninyoe babashop hesabu zangu kwamba haiwezi zidi elf5 nilizungushwa viti vinne mara naoshwa kichwa mara nasuguliwa uso nililetewa bili elf 22000 mfukoni nlikua na 20000 nilitoa macho kama fundi saa wakanisamehe 2000 wale wadada wakawa wananitania utakja tena hapa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Niliwahi kwenda na rafiki yangu kwa ndugu zake ilikuwa Area c Dodoma sasa kumbe rafiki yangu alikuwa amebanwa tukapiga hodi tukakaribishwa wenyeji tukawakuta sebuleni.Rafiki yangu alisalimia na haraka haraka akaendelelea na safari ya kwenda chooni mie nami nikachanganya supu namfuata mwenyeji akauliza na wewe unakwenda wapi? mwenzio anaenda chooni! nilipata aibu ya mwaka nikakoma kufuatafuata watu.
Mkuu,kwani ulidhani kua hamjafika mnakokwenda[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom