Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Hahahahah yaan nikikumbuka huwa nacheka sana
Sasa mimi class ndiye nilikuwa mdogo. Rafiki zangu wa kike wa class walikuwa wakiona katoto kamekuja kageni lazima wa nipe taarifa na watanitengenezea mazingira mpaka nikatongoze
 
Sasa mimi class ndiye nilikuwa mdogo. Rafiki zangu wa kike wa class walikuwa wakiona katoto kamekuja kageni lazima wa nipe taarifa na watanitengenezea mazingira mpaka nikatongoze
Sasa na k ulikuwa unapata ,,za mkojo mkojo haha
 
Hahaha
Nilikuwa napata ila hata sikumbuki zilikuwaje.

Raha ya mapenzi ya utotoni ukikutana na X wako ukwabwan unamtongoza upya kama haujawahi mtongoza.
Hhhhaaaa uwiii
 
Niliambatana na rafiki yangu toka kijijini kwenda jengo moja lenye lift bila kumtaarifu kuwa tunapanda lift. Nilivyoingia akaniuliza na mimi nije nikamwambia njoo, lift ilivyoanza kuondoka jamaa alinikumbatia kwa nguvu mpaka raia wengine waliokuwa ndani ya lift wakaangua kicheko. It was my fault kutomwelekeza
 
Niliambatana na rafiki yangu toka kijijini kwenda jengo moja lenye lift bila kumtaarifu kuwa tunapanda lift. Nilivyoingia akaniuliza na mimi nije nikamwambia njoo, lift ilivyoanza kuondoka jamaa alinikumbatia kwa nguvu mpaka raia wengine waliokuwa ndani ya lift wakaangua kicheko. It was my fault kutomwelekeza
[emoji16][emoji16] lift kama haujawahi kubofya sio ya kupanda hovyo hovyo
 
Another day, ilikuwa siku ya kwanza kukwea pipa from Dsm to Doha-Qatar na Qatar Airways... Nimekaa zangu mda nikabanwa na haja (big call) nikafikiria nimuite mhudumu anioneshe toilet zilipo?? nikaona utakuwa ushamba wa kiwango cha lami... nikainuka huyo to the cockpit... nikakuta kimlango kiko labeled 'occupied' nikageuka nyuma nikakuta 'unocupied' mzee nikazama. Sababu nilikuwa nimebanwa mda mrefu fasta nika unload mzigo.. kimbembe sasa [emoji23][emoji23] kucheki sioni sehem ya kuflahia, no kikamba cha kuvuta no button bas mzee nikabaki nimeduwaa tuu.. kuchek pembeni kunasehem imewekwa kilabel cha duara ile kugusa tuu kitu hicho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikavuta pumzi (kumbe mi mjanja)... Sasa imebaki kazi moja 'kujiswafi' na nikicheki hamna 'horse' ya maji ya kutawadhia [emoji33][emoji33] asee nilifungua kale kamlango nikabaki namwangalia tuu yule hostess sielewi nianzie wapi.. nikajifungia nikaloesha tissue paper nikamaliza kazi ile natoka yule mdada anacheka tuu kwakweli kile kinjia kuja kuikuta seat niliona kama kilometa hivi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ndo utuambie thatha na ss ambao bado hatujakwea pipa.,, ulipaswa ufanyeje...??
 
ilikua form3 majira ya asubuhi nimegonga chai na kiporo cha makukuru then tumeingia kupiga test, basi tumejipanga fresh kilamtu na kiti chake, mm npo katikati ss ile tumegaiwa karatasi za maswali tumbo likavuruga kidogo afu nkaskia kama kigesi chembamba kimegonga hodi, kuangalia kulia na kushoto raia wakobize wanaperuzi maswali, nikawaza kwan nani atajua bhana pasipo iyana nikapumua kibingwa[yusuphhh], duh sikujua nilichofanya kilikua na maajabu gani mpakapale nilipoona darasa zima wakiongozwa na msimamizi wakitokanje speed huku wakipiga kelele na mm nikafuata mwisho sikumbuki walichosema lkn nlisikiawakitaja jinalangu huku wakicheka sana, duh huwezi amini nlijikuta natabasam maskini mm
NB:fikiri mara mbili kabla hujaachia shuzi la kimya kmya


MMH.,, Kwa ushuzi huo.,, Mvua ya mavi nahisi ilikua mbioni kunyesha..!!
 
Haya hiki hapa kituko changu...!!! Hakichekeshi lkn..!!


Tulikua class enzi izo niko form 3 shule za Seminary., tuko 20 tu darasa zima., sku hiyo kama ratiba ilivyoada ilikua ni siku ya paper ya physics.,, tumeingia class mapema coz wote tuliliogopa ilo somo kutokana na ubabe wa mwalimu aliyelifundisha., Mwalimu kaingia kagawa karatasi fresh., Ile kusema neno Start kuna jamaa aliachia Mshuzi mnene hatari., Kwa kua ticher alikua hataki masihara hakuna aliyecheka zaidi yangu kwa kushindwa kujizuia.,, Sasa bhn kucheka kwangu haikua tatizo., tatizo lilikua pale katika kucheka kwangu na mimi ukaniponyoka ushuzi huo ambao hata mimi ckuamini kama umenitoka mimi, darasa zima tulihisi mbingu zinashuka, kicheko changu kikakata gafla bila kutegemea na ikabidi nigeuke nyuma na mimi kwa uso wa kustaajabu na Hofu ndani yake.,,,kama mnavyojua tabia za maharage ya bweni....!! Kitu nnachokumbuka na ambacho hakikutegemewa na wengi,,,. Mwalimu alikua wa kwanza kuangua kicheko japo alikua mbabe hatari, hataki mcheke kwenye misala kama hiyo......!! Kibao kikaishia kwangu mie mchekaji thatha....! Aliniruhusu nikapigwe upepo nje ingawa ktk historia yake hajawahi ruhusu mtu katikati ya mtihani kwenda nje...!!....

Toka siku hiyo wakanibatiza jina RADI ., hadi namaliza form 4.,,, Kwa kuwa tulikua uboyzini baada ya hapo vicheko vyao havikuendelea kuninyima raha kuliko kama ingekua mixture na hawa vishtobe wapo... Ningekua sina budi kuhama shule kwa nnavyozijua akili zangu.....
 
Haya hiki hapa kituko changu...!!! Hakichekeshi lkn..!!


Tulikua class enzi izo niko form 3 shule za Seminary., tuko 20 tu darasa zima., sku hiyo kama ratiba ilivyoada ilikua ni siku ya paper ya physics.,, tumeingia class mapema coz wote tuliliogopa ilo somo kutokana na ubabe wa mwalimu aliyelifundisha., Mwalimu kaingia kagawa karatasi fresh., Ile kusema neno Start kuna jamaa aliachia Mshuzi mnene hatari., Kwa kua ticher alikua hataki masihara hakuna aliyecheka zaidi yangu kwa kushindwa kujizuia.,, Sasa bhn kucheka kwangu haikua tatizo., tatizo lilikua pale katika kucheka kwangu na mimi ukaniponyoka ushuzi huo ambao hata mimi ckuamini kama umenitoka mimi, darasa zima tulihisi mbingu zinashuka, kicheko changu kikakata gafla bila kutegemea na ikabidi nigeuke nyuma na mimi kwa uso wa kustaajabu.,,,kama mnavyojua tabia za maharage ya bweni....!! Kitu nnachokumbuka na ambacho hakikutegemewa na wengi,,,. Mwalimu alikua wa kwanza kuangua kicheko japo alikua mbabe hatari, hataki mcheke kwenye misala kama hiyo......!! Kibao kikaishia kwangu mie mchekaji thatha....! Aliniruhusu nikapigwe upepo nje ingawa ktk historia yake hajawahi ruhusu mtu katikati ya mtihani kwenda nje...!!....

Toka siku hiyo wakanibatiza jina RADI ., hadi namaliza form 4.,,, Kwa kuwa tulikua uboyzini baada ya hapo vicheko vyao havikuendelea kuninyima raha kuliko kama ingekua mixture na hawa vishtobe wapo...!!
Inaonesha hyo pepa haikua yakawaida mjomba radi, hahahaha
 
Wakat nasoma chuo kikuu na prof mwandosya wakat wa presentation chuo alikuwa mbele Alf alisahau kufunga zipu dah nircheka sana
 

Mzee baba.,, nakumbuka nilikula single digit ya 05% kama skosei., na kwa jinsi ambavyo nilikwisha changanyikiwa mapema...!!
Hopefully umeitunza hyo karatasi [emoji23] [emoji23]
 
Hopefully umeitunza hyo karatasi [emoji23] [emoji23]


Hahahh...!! Nakumbuka jina langu lilisahaulikaga kwa wanafunzi wenzangu.,,, Hadi leo hii tuliosoma nao wakinipigia simu bado wananiita radi...!! Ko licha hata ya karatasi jina tu linanikumbusha mengi....!!!
 
Hahahh...!! Nakumbuka jina langu lilisahaulikaga kwa wanafunzi wenzangu.,,, Hadi leo hii tuliosoma nao wakinipigia simu bado wananiita radi...!! Ko licha hata ya karatasi jina tu linanikumbusha mengi....!!!
Huwa kuna vituko ambavyo vikitokea unashindwa kujizuia kucheka
 
Back
Top Bottom