Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Siku moja natoka zangu bush naelekea town na tu kandambili twangu , sasa nilipofika centre ya Town yenyewe, kutokana na kushanga shanga midoli iliyo kaah kama watu bahati mbaya nikajikwa, ebwana wee kandambili moja ikakatika, ikawa hakuna namna, na tuhela twangu niliokuwa nimeuza kuku nikawa nimeweka M-pesa, bas ikabidi nianze kutembea Kandambili moja mkononi na moja mguuni mpaka nilipo ipata kituo cha kutolea na kuanza kutafuta fundi anishonee.
Yani ilikuwa igizo si igizo.
Yani ilikuwa igizo si igizo.