Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Ujawa addicted KUBET saizi kwa muhindi[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ilitokea kwa mara ya kwanza kutumia lift, nikiwa naenda ghorofani(5) siku zote nilikua natumia ngazi kwa hofia coz sikuwahi tumia, sasa siku nikaingiwa na uthubutu, kwenye kupanda nikafanikiwa coz nilikuwa na mtu mwingine nikamtumia kama chambo(nikaona kumbe rahisi tu) kwenye kushuka sasa, ile kuingia tu hofu akanijia akili na miguu ikajaa maji nikashindwa nifanyeje ili nirudi chini nibonyeze wapi sijui, kwa kubahatisha nikabofya kitufe G. Ile kufika chini yale mawenge si nikapiga kelele nikijua nimepotea walinzi wakaja fasta na watu waliokua karibu, wakaniuliza vipi mbona kelele? Ndio nikagundua kumbe nimefika Ground. Jamaa nikawapotezea kuwa ni chafya ya mfululizo, ila waliogundua walikaukia kucheka. (Ushamba mzigo aisee)[emoji1]
 
[emoji16][emoji16]na wewe ungekivuta titi
 
[emoji28][emoji28][emoji1]
 
ungeua soo kwa kumwambia, "kama unajamba nisikwambie"?

[emoji2] [emoji2]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kutoingia jf kila Siku unapitiwa mengiii??
 
Me niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
January terehe 28 mwaka huu yah nilikuwa badooo.... Dah sipati picha km nilikuwa nakuona vile
Yaani hauna hata miezi 3 ila kasumbufuuuu.. tutakugawa insta sasa hivi wewe na aunt yako
 
Nikiwa safarini kwenda Brunei nilishuka nchi moja ya kiarabu. I had a job ya miezi 2 pale. Sasa wadada wa nchi ile hupati hata wa kujituliza. Pale kulikuwa na sheria kali na I was limited in my moves. Sasa siku moja nikapata ka trip kwa hotel moja ilikuwa na Casino na lot of wadadas. Ile naingia tu nikakutana na waarabu wawili wapo watupu wakaja kunikarimu just kunikaribisha, nilihisi mwili unazimia mbele kidogo nikaona balaa jipya, dish likayumba kabisaaa.....nikastuliwa na mlinzi akiniambia Mr your trousers is making mountan!!!
 
Nikiwa Primary std 3, nikawa nakatongoza kidem ambacho tupo darasa moja wakati tunafanya usafi wa darasa.
Sasa yule manzi nikawa nambananisha mlangoni, eebhanaa ee si Mkuu wa shule akaingia na kutukuta.
Akamwuliza yule mtoto huyu anakuambia nini, mtoto akafunguka ETI ANATAKA TUFANYR TABIA MBAYAA.

Dah, nilikula stiki za kufa mtu, cha ajabu sikusikia hata moja.
Yule mkuu akaniambia kesho nije na mzazi, ukicheki naishi na bibi afu ni mkali balaa.

Ilinibidi kesho niamke saa 12 asubui nikawahi shule na vitunda vya kahawa mbichi na kuziweka pale mlangoni kwa mkuu ili asahau.

Nikawa namsubiri kwa nje nimejibanza nishuhudie akivuka mlango.
Hakika alisahau na nilishukuru sana.
 
huyo demu xx hiv yuko wap!!!?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Katika pitapita zangu mitaa ya wajaluo na masai wauza mawe arusha nikaona ngoja namimi ninyoe babashop hesabu zangu kwamba haiwezi zidi elf5 nilizungushwa viti vinne mara naoshwa kichwa mara nasuguliwa uso nililetewa bili elf 22000 mfukoni nlikua na 20000 nilitoa macho kama fundi saa wakanisamehe 2000 wale wadada wakawa wananitania utakja tena hapa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkuu,kwani ulidhani kua hamjafika mnakokwenda[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…