Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

GOLDCREST ni 4000Tsh per cup....
Namshangaa Raimundo mkuu.. may be akiingia hotelin anakunywa juice...
Pale natron palace 2015 one cup nililipa 5800 kwa naura..kilimanjaro..Serena..east africa(wamebadili jina silikumbuki) ngurudoto sijui bei zake
 
siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
 
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…