Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
We dada si ungempostia private jamani, maana hili group linanihusu pia, mtatufanya tumwage siri zetu zote za utotoni sasa daaah [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dada si ungempostia private jamani, maana hili group linanihusu pia, mtatufanya tumwage siri zetu zote za utotoni sasa daaah [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Ah ah ah headin tu imenivunja mbavu maana nimejikumbukia mbali
Haha kizuri nakula na wenzangu, kuna wengine hawajawahi kuusoma huo uziWe dada si ungempostia private jamani, maana hili group linanihusu pia, mtatufanya tumwage siri zetu zote za utotoni sasa daaah [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Ah ah ah hebu nenda kasome maana sir zingine hata kama nilikuwa rafiki yako ulikuwa huzijui ah ahUtacheka hadi basi
Lisa Chang ni nani hasa lakini?Lisa Chang
Basi bhana kipindi iko nasoma o level mbeya uku mi nikiwa natokea mkoa wa Dodoma sa kipindi icho safari ilikua ni ndefu kidogo tofaut na sikuiz na nilikua napenda sana kula kula njiani Basi nilipo fika Moro na hapa nilikua naelekea mbeya si nikanunua vitu njian nikaanza kula na kunywa kabla ya kufika iringa ( Al Jazeera) kwa ajiri ya kuchimba dawa bwana su nikabanwa na kojo , nikaenda kwa konda kumuomba simasishe chuma ili nishuke kuchimba dawa konda akagoma, Mara ya kwanza, Mara ya pili kagoma pia kwa kigezo Cha kua tulikua porini Sana na Kuna wanyama wakali Basi bwana nikae da for the third trip nilicho kifanya nikafungua kale kadirisha Cha passenger door nikatoa dushe nikamwambia nakojoa hapa dere kuona vile akasimamisha chuma so nimeshuka kwenda kukojoa mkojo utoki take almost dakika tatu nimesimama kojo alitoki Basi mkojo unakaribia kutoka dere naye ndo ananipigia honi kua twende, Basi mi nikampungia mkono ile ishara ya Kama liwalo na liwe , nilipomaliza kukojoa haibu sasa kuingia ndani ya Basi watu woote all eyes on me tangu siku ile nilikua nikisafir sinunui chakula ovyo ovyo
Hope umeelewaLisa Chang ni nani hasa lakini?
Hapana nisingeuliza but okay poaHope umeelewa
Picha tafadhali!.Nikiwa A-level, nilikuwa nashuka dorm kutoka prepo mida ya saa 4 usiku.
Shule yetu ni mixer.
Sasa mkojo umenibana vibaya, nikazunguka nyumba ya darasa moja nikaanza kukojoa huku mashine imesimama.
Kumbe kulikuwa na manz tena tumezoeana balaa.
Mi nakojoa zangu na yeye yupo pembeni ya kona ananiangalia na mashine yote iko nje na mwanga wa taa mkali kabisaa.
Namaliza nasikia kicheko,
Alienda tangazia wenzie mangi ana mashine kubwaa balaa.
Kesho yake napewa hongera na kila dem class [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshindwa kumalizia haaaaaa! .Dah.. Mmenikimbusha mwaka 2006 nikiwa form 3 kaingia ticha wa hesabu kashusha example za kutosha akauliza mmeelewa.. Darasa zima tukaitikia tumeelewa wakati huo sijaelewa chochote...
Ticha akatoa swali akanichagua nifanye mimi.. Kufika ubaoni sijui hata cha kuandika nikasingizia chaki ndogo nikapewa chaki mpya mara ubao ukajaa jasho kama lote maana nilikuwa naandika vitu vya ajabu afu nafuta
Aisee sio kwa jasho lile ticha akauliza mbona unapaka maji ubaoni mtu mzima sina la kujibu
Ilikuwa aibu ya millenia maana class wanajua jamaa mwamba ..nikaambiwa nenda ukakae ilibidi nizime na vitamba vya kujifutia
Mie saa hizi nalia maana si kwa kucheka huko. Jamaa alieacha suruali kwenye foleni ya vitafunwa kaniliza bila kupigwa.Huu Uzi bwana! kila nikiupitia huwa nacheka mpaka machozi yananitoka .....lol
We dogo ulituchelewesha sana skuile tulikumind kinyamaLisa Chang
Basi bhana kipindi iko nasoma o level mbeya uku mi nikiwa natokea mkoa wa Dodoma sa kipindi icho safari ilikua ni ndefu kidogo tofaut na sikuiz na nilikua napenda sana kula kula njiani Basi nilipo fika Moro na hapa nilikua naelekea mbeya si nikanunua vitu njian nikaanza kula na kunywa kabla ya kufika iringa ( Al Jazeera) kwa ajiri ya kuchimba dawa bwana su nikabanwa na kojo , nikaenda kwa konda kumuomba simasishe chuma ili nishuke kuchimba dawa konda akagoma, Mara ya kwanza, Mara ya pili kagoma pia kwa kigezo Cha kua tulikua porini Sana na Kuna wanyama wakali Basi bwana nikae da for the third trip nilicho kifanya nikafungua kale kadirisha Cha passenger door nikatoa dushe nikamwambia nakojoa hapa dere kuona vile akasimamisha chuma so nimeshuka kwenda kukojoa mkojo utoki take almost dakika tatu nimesimama kojo alitoki Basi mkojo unakaribia kutoka dere naye ndo ananipigia honi kua twende, Basi mi nikampungia mkono ile ishara ya Kama liwalo na liwe , nilipomaliza kukojoa haibu sasa kuingia ndani ya Basi watu woote all eyes on me tangu siku ile nilikua nikisafir sinunui chakula ovyo ovyo
Nimeshindwa kumalizia haaaaaa! .[/QUOTEmalizia tu
Sijui mkuuhuyo demu xx hiv yuko wap!!!?
Utakuwa wa kanda ya ziwa wewemhhhh kidogo nikatwe miguu na lift za ngazi pale Mayfair/shopaza. kumbe unatakiwa uwahi kutoa miguu sasa Mimi nilidhani itasimama then nishuke.kulikua na watu kadhaa na nilitaka kuanguka.yaan niliona aibu na mpaka Leo naogopa lift za ngazi
kituko kingine wakati naenda kuchukua admission letter Udsm si niliposikia kituo mlimani nikashuka kumbe ni m/city.kwenda ndani naona maduka tuu hamna dalili ya chuo ikabidi niulize Askari.sasa huyo Askari sio kunielekeza kwa nguvu jamani watu wanapita wanasikia.ikabidi nitoke nje km nilivyoelekezwa.yaan niliona aibu
ilikuwa primary darasa la sita sa kuna kademu kalikuwa kananielewa kinoma siku hyo kakaja kwetu mi mwoga mwoga sijui mambo ya kunjunjana. bro kakashawishi kakakubali tukapige mtungo. sa broo akaanza kaniambia mi nikae mlangoni nicheki so coz mshua alikuwepo home but anapenda kukaa njee sna kuingia ndani labda taarifa ya habari.. apo tumekubaliana kuwa mtu akitokea nipige mluzi sa ghafla nimesimama mlangoni nato shingo nje mshua hyu apa si nkashindwa kupiga mluzi nikasema kwa nguvu hyooooo. mshua kastaki then kanambia em sogea hapo kaingia ndani kawafuma broo na kidemu kakatiwa vibao kakasepa home kwao...hahah bro kashikwa dushelele mzee kaivuta huku anamwmbia naikata leo ndo inayo kuponza.................itaendelea
HahahaahaNakumbuka Nikiwa Darasa la tatu asubuhi nikiwa Primary school shule moja Kyela huko vijijini Basi tukawa tumechelewa kuhesabu namba. Ile mwalimu anaanza kupiga walochelewa nikalala haraka chini akapiga fimbo kama tatu nikatoa kituko ambacho niliona ni ujanja........ Itaendelea [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]