Je, ulishawahi kukutana na kitu cha kutisha usiku? Pita hapa tupeane uzoefu

Huko kigoma ni balaa, siku moja tulikuwa huko ikafika mida ya usiku tukatoka kuingia mitaani kuwasaka ma chick. tukiwa ktkt ya road tukamwona demu mmoja mfupi kwa mbali tukampigia mluzi gafla akaingia kwenye kona kuangalia nyuma demu si huyu hapa acha ma raia wajikojolee dah....

Siku nyingine tukiwa shinyanga mida ya saa moja usiku tukakimbizwa na mfuko empty wa sementi du balaa.... Kuna maeneo yanatisha

Siku moja tukiwa moshi town usiku kama saa 3 tunarudi hotelin tukapitia njia flani tukakutana na bonge la nyumba lina uzio halijakamilika tukachungulia ndani kuna nini kulikuwa na mipaka imefika kama ndama ikaruka ukuta ikasepa na sis kujihami tukaingia ndani kwa mtu wote sijui yalikuwa majini ...
 
Binafsi niliwahi oa mke ambaye anasumbululiwa sana na maruhani.
Tuliachana sababu nyingi tu ikiwemo kuchokana haraka kwenye ndoa ila kwa kipindi nilichokuwa nae mandoto ya kutisha yalikuwa mengi sana.
Hivi karibuni alikuja mkoa niliokuwa nakaa ajabu niliota nimedondokewa na kundi kubwa la sisimizi miguuni na nimewakanyaga wanavyotafuta pa kutembea/kutokea na wengine wanataka kunipanda mguuni,ila ajabu ni mguu mmoja tu ndio nnaoangaika nao wasinipande? Sijui ni nini tafsiri yake
 
tuliwahi kimbizwa na kiumbe wa ajabu tulikua tuna toka disco vumbi vijijini , alikua na urefu usio wa kawaida alf miguu yake ina kwato cha ajabu ilikua ukijificha anakutokea kwa mbele na alikua mmoja ila aliweza kumtokea kla mtu tulikua kundi la watu wa 5 alitukimbiza ucku kucha ajabu nyingine kla ukikaribia nyumban kunasogea mbele sita sahau ucku huo wa mateso
 
hahaaa...mpaka leo sijajua kama wale jamaa walinifukuza au nilijikimbiza bure tu.

Wala hawakukufukuza, ulikimbua kwa panic tu, wangekuwa na nia na wewe wala usingepiga hatua mbili. Wangeweza kukufanya ukakimbia mbio kali lakini uko hapo hapo unakimbia mpaka kunakucha lakini nyumbani hufiki.
 
Wala hawakukufukuza, ulikimbua kwa panic tu, wangekuwa na nia na wewe wala usingepiga hatua mbili. Wangeweza kukufanya ukakimbia mbio kali lakini uko hapo hapo unakimbia mpaka kunakucha lakini nyumbani hufiki.
Hao jamaa wakiwa na shughuli zao wala hawana mpngo na mtu
 
Wala hawakukufukuza, ulikimbua kwa panic tu, wangekuwa na nia na wewe wala usingepiga hatua mbili. Wangeweza kukufanya ukakimbia mbio kali lakini uko hapo hapo unakimbia mpaka kunakucha lakini nyumbani hufiki.
Hahahaa
 

Hii baba ni chai ya mdalasini kabisa
 


Sasa mkuu hiyo 2007 unasema ulikoma kutembea usiku halaf ukarudia tena 2012. Kumbe hukukoma
 
Hahah umenfrahsha mkuu
 
Usukumani huyo tunamwita Kabhebha

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Nimeipenda hii,ila wachawi noma asee

Sent from my HUAWEI P8max using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahah uuuuwiii hatari saaana hii
 
Katika maandishi haya nimeona neno moja tu

THE KICK

TBLMungu atawaaraaaaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…