Je, ulishawahi kukutana na kitu cha kutisha usiku? Pita hapa tupeane uzoefu

Je, ulishawahi kukutana na kitu cha kutisha usiku? Pita hapa tupeane uzoefu

sista angu alichelewa kurudi na mme wake..nyumba wakaniachia mimi niiangalie....basi bwana nkawa najikaza nsilale...nkikaza hadi saa sita usiku.wananiambia tu kwa simu tupo njiiani tunarudi
kutoka nje niingize baadhi ya vitu nakutana na paka mweusi tiii sijawahi ona...halafu macho yake makali yanawaka..
nkiangalia nyumba nyingine majirani wote wamelala..nkajipa ujasiri nimfukuze atakuwa paka wa kawaida tu..nkirusha kistu wapii.pakaa ndo kwanza hatikisiki ananikazia macho.....nkirusha jiwe na mikwara shhh...paka kaganda
badala ya paka kukimbia nkajikuta mi ndo natimua mbiokrud ndani..mlango nkaubana na funguo kabisa..taa nkazima..maana nlihisi ka kuna mtu ananichungulia dirishani.
 
Mwaka 1998 nilikuwa Mpanda mjini maeneo ya City nasubiri barmed afunge nitoke nae, makazi Kawajense,baada ya kusubiri kwa muda majira ya 5 demu akaniambia nisubiri kidogo.
Ili kupata uhakika nikamwambia anipe kitu chake nikaenacho, akanipa jacket lake.
Nikakaa mpaka saa 6 nasubiri kwa nje, nilipoingia ndani nikamuulizia nikaambiwa ametoka kama dk20 hivi nikazunguka kila kona sikukuona.

Nikaona hii noma nikaondoka zangu na jacket lake,kufika maeneo ya soko kuu nikaona polisi kwa mbali,nikaona hapa nimeisha nikala kona kumbe walikuwa wameniona.

Wakaanza kunifuata nikapiga kona za kutosha nikajikuta niko maeneo ya tajiri mmoja alikuwa anaitwa Tarimo, nikakutana na kundi la mbwa ikawa nafukuzwa na mbwa napolisi kwa pamoja, polisi walivyoona mbwa wakarudi nikapita barabara inayoelekea hosptali ya wilaya.
Nilichoka kupita maelezo, nafika shule ya Msakila nakutana na watu wako doria wakaniambia nisimame nikaona sasa hapa kama kufa nife siyo kwenda polisi nikaanza mbio tena,nilipofika nyumbani nilivyoingia ndani sikuamini,nikakoma kutembea usiku.
Na sintasahau kabisa ile siku, kwanza barmed alivyo niachia jacket lake na nilivyokoswa koswa kunyea debe kwa ajili yake.
.
 
vitu vya kutisha havipo usiku tuu ,hata mchana kweupe vinaweza kukutokea,miaka flan tulipata tenda ya kupeleka mzingo kigoma/kakonko na tulipofika ili bidi tukae kama wiki hivi tukingoja mzigo wa kuludi dar es salaam bhas kuna siku tukaingia Bar flan ilikuwa mapema tuu asbuh dah ilipofika mchana tukawa tushakolea vyombo kichwani ikiwa ni mixer ya safari lager na the kick tukaona tukaona madada poa tukapumzike ila kwa mchana ule hawakuwapo so tukabahatika kutongoza akina mama waliokuwa wamekaa pembeni yetu na tukakubaliana bei then tukaanza safar ya kuelekea guest....dah kufika guest kila tulipotaka kuwaingilia vitendea kazi vilisinyaa kabisa,kwakuwa na sisi tulikuwa wahuni kuna mambo tulikuwa nayo yakasaidia viungo kuinuka ila kilichofata jinsia zao zimekuwa za kiume aisee tulitoka guest bila viatu na mashat tulivalia nje.........1998
Ha ha ha haaaaaaaah!
 
1997 Vi-form 1 wenzangu wananitambia kuiona movie ya PREDATOR (Anorld ya jini) kwenye kibanda umiza,nikailaani sana mifugo (mbuzi)waliosababisha niwe malishoni wakati wenzangu wako wanafaidi mikwara ya akina BILLY DUKE...ikapita kama wiki hivi hiyo muvi ikawa inaoneshwa tena ila bahati mbaya inawekwa usiku kuanzia saa 4 mara tu baada ya trela la Alain Kounkou....
Home- ruhusa kama hiyo sahau kupewa (kutembea usiku?!)....nikajiapiza kutoikosa siku ya leo hata iweje,....Ili nifanikiwe lengo mzee nikalihujumu dirisha la chumbani kwangu kwa kung'oa nondo moja ili nipate pa kutokea pale familia nzima ikiwa imelala...
Saa 3 tayari raia wote wanakoroma,starling nikalinyatia dirisha nikajikuta niko nje,...ndani ya dk 5 nikawa nimejumuika na watu wazima holini tunamalizia album ya R.A.S (Alain) ili muvi lianze...muvi likaanza, muvi likaisha,nikaridhika...
Kutoka nje giza totoro....njia ya kwenda home mwendaji ni mimi tu,sina kampan coz tulikuwa tunakaa kwenye kota za shule alafu zimejengwa mbali na kijiji (Kunaitwanga Mahuta-Mtwara)...
Kijiji usiku huu kiko kimyaa,nyayo zangu tu ndo zinatoa sauti...kuna kipande cha msitu kinachotenganisha eneo la shule na hiki kijiji (hilo ndo eneo pekee nililolihofia kabla hata sijalifikia)....sasa wakati nazimalizia hizi nyumba za mwisho-mwisho ili niukabili huu msitu,mita kama 7 hivi kulia kwangu,kati ya nyumba moja na nyingine (zote zimeezekwa kwa nyasi) nikaona kundi la watu wako uchi,wako wima, wametengeneza kamduara hivi,wako kimya...BWANA BWANA wee...
Kuna kitu kama shoti ya umeme hivi iliyonifanya mwili,nywele visisimke kwa pamoja na nikauona mwili kama hauko na mimi vile...huku nikiwa nimesimama,moyo unataka utoke nje kwa mapigo ya KUDU-KUDU,nikiwa sijui la kufanya maana lile kundi nahisi lilikuwa bado halijaniona 'mwana mzurura usiku'... (vyote hivyo ni ndani ya kama sekunde 5 hivi)...
Mara kwa pamoja (utadhani waliambiana) kundi lote lile wakageuza vichwa vyao na kunitazama fwaaa......
Nakumbuka nikasema "Mawee" bila kutoa sauti (nikijua saasaa nyama ya mtoroka kwao inaenda liwa punde) na kufuatia na mbio za kukimbilia vidole/kama sio kucha pasipo kugeuka nyuma...nyumbani nikapitiliza,mbwa wa home akaanza kubweka na yeye akaniungia tela kimyakimya akijua tunacheza,nikajua hapa naenda chaka,nikageuza...mbio hadi dirishani...sikujali nani atasikia ninavyoingia au lah,...narukia dirishani,mbwa naye anavuta suruali kwa chini(huyu dog alikua best angu sana)baada ya zile kukuru-kakara za kuingia ndani...nikajikuta niko kitandani nahema kwelikweli, tena kwa nguvu,koo limekauka, huku mguu mmoja unaning'inia dirishani suruali inaendelea kuvutwa na mbwa nje......
Duh..[emoji23] [emoji23]
Mbona hujamalizia kisa chako!
 
Mwaka 1998 nilikuwa Mpanda mjini maeneo ya City nasubiri barmed afunge nitoke nae, makazi Kawajense,baada ya kusubiri kwa muda majira ya 5 demu akaniambia nisubiri kidogo.
Ili kupata uhakika nikamwambia anipe kitu chake nikaenacho, akanipa jacket lake.
Nikakaa mpaka saa 6 nasubiri kwa nje, nilipoingia ndani nikamuulizia nikaambiwa ametoka kama dk20 hivi nikazunguka kila kona sikukuona.

Nikaona hii noma nikaondoka zangu na jacket lake,kufika maeneo ya soko kuu nikaona polisi kwa mbali,nikaona hapa nimeisha nikala kona kumbe walikuwa wameniona.

Wakaanza kunifuata nikapiga kona za kutosha nikajikuta niko maeneo ya tajiri mmoja alikuwa anaitwa Tarimo, nikakutana na kundi la mbwa ikawa nafukuzwa na mbwa napolisi kwa pamoja, polisi walivyoona mbwa wakarudi nikapita barabara inayoelekea hosptali ya wilaya.
Nilichoka kupita maelezo, nafika shule ya Msakila nakutana na watu wako doria wakaniambia nisimame nikaona sasa hapa kama kufa nife siyo kwenda polisi nikaanza mbio tena,nilipofika nyumbani nilivyoingia ndani sikuamini,nikakoma kutembea usiku.
Na sintasahau kabisa ile siku, kwanza barmed alivyo niachia jacket lake na nilivyokoswa koswa kunyea debe kwa ajili yake.
.
hahah mkuu inaonekana uyo mtoto kuna mdau alimbeba kwa dau la juu zaid yako,,ila ulijitahdi kuzitimua mbio asee,,polisi,mbwa na sungusungu wote umekalisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Niaje mipini na majembe wa JF..

Je ulishawahi kutana na kitu cha kutisha usiki kama mchawi, jini, mnyama basi share na sisi tukio lako hapa. Nianze mimi;

Iikua mwaka 2007 nipo na washkaji wawili tumetoka kucheki muvi za usiku saa saba, katika tembea yatu ana kwa ana tunakutana na "JOGOO" nikisema jogoo jogoo kweli kwa ukubwa alikua kimo cha kondoo. Bwanaa wee mbio tulizokimbia kushinda zile za kwenye muvi ya KUNG FU HUSTLE jogoo alituunganishia mpaka karibu na nyumbani kabisa, mpaka leo hua najiuliza sijui atakua yule aliyembeba Pazi shule ya msingi? Toka siku hiyo nilikoma kutembea usiku.
Hiyo ilikua Kigoma.

Tukio la pii.
2012 tukiwa tumetoka kwenye magroup yetu ya kujisomea usiku tunawasindikiza majamaa gheto kwao wakati tunarudi tukakutana na Ndama wa mguu mmoja aisee tulikimbia mlango wa nyumba tuliufungua kwa Buti la Shaolin soka. Toka siku hiyo kuanzia saa nne usiku hunitoi nyumbani hata kwa dawa.

Please share na wewe.


-Mond-
mkuu huyo ndama wa mguu m1 hakuwaungia kweli?? najarib kufikiria mngekutana na mama ake angekuaje
 
vitu vya kutisha havipo usiku tuu ,hata mchana kweupe vinaweza kukutokea,miaka flan tulipata tenda ya kupeleka mzingo kigoma/kakonko na tulipofika ili bidi tukae kama wiki hivi tukingoja mzigo wa kuludi dar es salaam bhas kuna siku tukaingia Bar flan ilikuwa mapema tuu asbuh dah ilipofika mchana tukawa tushakolea vyombo kichwani ikiwa ni mixer ya safari lager na the kick tukaona tukaona madada poa tukapumzike ila kwa mchana ule hawakuwapo so tukabahatika kutongoza akina mama waliokuwa wamekaa pembeni yetu na tukakubaliana bei then tukaanza safar ya kuelekea guest....dah kufika guest kila tulipotaka kuwaingilia vitendea kazi vilisinyaa kabisa,kwakuwa na sisi tulikuwa wahuni kuna mambo tulikuwa nayo yakasaidia viungo kuinuka ila kilichofata jinsia zao zimekuwa za kiume aisee tulitoka guest bila viatu na mashat tulivalia nje.........1998
Muzee ww ni shida! kumbe ww nawe ni muzee wa dawa za kisunni kama Mzizimkavu!
 
vitu vya kutisha havipo usiku tuu ,hata mchana kweupe vinaweza kukutokea,miaka flan tulipata tenda ya kupeleka mzingo kigoma/kakonko na tulipofika ili bidi tukae kama wiki hivi tukingoja mzigo wa kuludi dar es salaam bhas kuna siku tukaingia Bar flan ilikuwa mapema tuu asbuh dah ilipofika mchana tukawa tushakolea vyombo kichwani ikiwa ni mixer ya safari lager na the kick tukaona tukaona madada poa tukapumzike ila kwa mchana ule hawakuwapo so tukabahatika kutongoza akina mama waliokuwa wamekaa pembeni yetu na tukakubaliana bei then tukaanza safar ya kuelekea guest....dah kufika guest kila tulipotaka kuwaingilia vitendea kazi vilisinyaa kabisa,kwakuwa na sisi tulikuwa wahuni kuna mambo tulikuwa nayo yakasaidia viungo kuinuka ila kilichofata jinsia zao zimekuwa za kiume aisee tulitoka guest bila viatu na mashat tulivalia nje.........1998
babu we ni suka au
 
Kubwa lao ni rafiki yangu moja alivyonielezea kisa cha yeye kuacha udaktar.

Huyu rafikia yangu akiwa doctor ktk nchi moja ya ng'ambo,siku moja akiwa ktk zamu ya kikazi, wakaletwa majeruhi wengi kutoka ktk ajali ya treni ya umeme, sasa,yeye na wasidizi wake wakaanza kuwapitia wale majeruhi walioumia sana. Akiwa ktk pilikapilka zake pale amewahudumia mpk akachoka na kusikitikia wale majeruhi akaamua kwenda kupumzika kidogo ktk chumba chake akiwa pale,mara ghafla mlango ukafunguliwa hamad tena ghafla anaona MAJERUHI KAINGIA NA KIWILIWILI CHA KICHWA CHAKE KASHIKILIA MKONONI,KILE KIWILIWILI CHA KICHWA AKISEMA "DOCTOR PLEASE NIUMGIE KICHWA CHANGU KWANI NATAKA NIWAHI KWANI KESHO NI SIKU HARUSI YANGU NA MCHUMBA WANGU YEYE AKUUMIA ILA KANIAGIZA NISIPOENDA KUFUNGA NAE NDOA KESHO,NDO MWISHO WA MAHUSIANO YANGU NAE.

LAAAA!!! Yule rafiki yangu dokta alipopata nafasi ya kupenya pale mlango alitimua mbio na kelele za kutosha,yule majeruhi nae mbio nyuma ya doctor.

Laaaa unajua kilichofuata?????...?
Kesho nitamalizia kisa hiki cha kutisha kwani naona4 wino wa kalamu yangu umekwisha na ni usiku sana.
 
Mie bhana nliendaga kwa ndugu zangu uko kijijini sasa tulikua ndugu wengi kidogo, hapakua na option zaidi ya wao ndugu zangu kunipa chumba cha ajabu kidogo, yaan nje ya nyumba yao kulikua na chumba ambacho kilikua hakitumiwi na watu, kilijengwaga kwa ajili ya wafanyakazi wa ng'ombe nk. Sasa hao wafanyakazi walikua ni wakabila flani iv tata kidogo kwa maswala ya ushirikina, walivyoondoka na kurudi kwao watu wakawa wanalalamika kila wakilala icho chumba, sasa mie sikuwai kujua habari hizi na kwa siku ile hapakua na option yoyote zaidi ya mie kupewa icho chumba, sasa sijui ndugu zangu waliniona mie kijana wa mjini mauza uza yatakwama au vp, ila ni vile ndugu wengine walikua watu wazima.

Kimbembe kikaanza usiku wa siku hio, sasa nimelala nahisi mmmmhh humu mbona kama kuna watu wengine tena waziada,basi napuuza mawazo haya tu ila sense zinaniambia kabisa we are more than 3 humu, aargggh nkafungulia RFA sikujali, sasa kimbembe kikaja usiku sanaa nikaanza kuskia watu wanatembea humo ndani, wengine wanapanda hdi juu ya kitanda nlicholala yaan nimelala naskia kabisa kuna mtu imesimama hapa kitandani, asee nliatuka vibaya sanaa, moyo unadunda, presha juu najiuliza naota au live, kumbe live, mara nikaskia mtu anavuta shuka, asee nliongea kwa nguvu "k**mamaaaaaeeeee" nani uyo, nkaskia sauti ya kicheko, nkajiuliza ndan au nje, asee nlisali sala zote, hali ikatulia kidogo, nikalala ila usingizi hauji, yaani nimetetemeka mpaka nimechoka, nimesali sanaa, sasa ukaja kama usingizi iv nikaanza kuota mambo ya ajabu et mule kuna watu watatu wananihoji wew umetoka wap, mbona mkorofi? Nani kakutuma uje chumbani kwetu khaaa nkastuka sasa nimestuka ila ile ndoto naiona kabisa inaendelea nikiwa macho, asee usiku ule ulikua vita vikali sanaa, nikawa macho tu nimefungulia radio kwa saut kubwa tu ila natetemeka haswa,,, kilichofuata kesho yake nikawaeleza ndugu zangu yote ndo wakanipa huu mkanda wa icho chumba na wengine hawakuamin kwamba nimewezaje kulala humo? Nikawamind kimoyo moyo wale ndugu kesho yake mchana tena uyoo nkarudi kwetu mjini,na nikasema niko radhi niue mchawi ila sio mwizi.
 
Mwaka 1998 nilikuwa Mpanda mjini maeneo ya City nasubiri barmed afunge nitoke nae, makazi Kawajense,baada ya kusubiri kwa muda majira ya 5 demu akaniambia nisubiri kidogo.
Ili kupata uhakika nikamwambia anipe kitu chake nikaenacho, akanipa jacket lake.
Nikakaa mpaka saa 6 nasubiri kwa nje, nilipoingia ndani nikamuulizia nikaambiwa ametoka kama dk20 hivi nikazunguka kila kona sikukuona.

Nikaona hii noma nikaondoka zangu na jacket lake,kufika maeneo ya soko kuu nikaona polisi kwa mbali,nikaona hapa nimeisha nikala kona kumbe walikuwa wameniona.

Wakaanza kunifuata nikapiga kona za kutosha nikajikuta niko maeneo ya tajiri mmoja alikuwa anaitwa Tarimo, nikakutana na kundi la mbwa ikawa nafukuzwa na mbwa napolisi kwa pamoja, polisi walivyoona mbwa wakarudi nikapita barabara inayoelekea hosptali ya wilaya.
Nilichoka kupita maelezo, nafika shule ya Msakila nakutana na watu wako doria wakaniambia nisimame nikaona sasa hapa kama kufa nife siyo kwenda polisi nikaanza mbio tena,nilipofika nyumbani nilivyoingia ndani sikuamini,nikakoma kutembea usiku.
Na sintasahau kabisa ile siku, kwanza barmed alivyo niachia jacket lake na nilivyokoswa koswa kunyea debe kwa ajili yake.
.

Jacket lake ulilifanyaje sasa
 
vitu vya kutisha havipo usiku tuu ,hata mchana kweupe vinaweza kukutokea,miaka flan tulipata tenda ya kupeleka mzigo kigoma/kakonko na tulipofika ili bidi tukae kama wiki hivi tukingoja mzigo wa kuludi dar es salaam bhas kuna siku tukaingia Bar flan ilikuwa mapema tuu asbuh dah ilipofika mchana tukawa tushakolea vyombo kichwani ikiwa ni mixer ya safari lager na the kick tukaona tukaona madada poa tukapumzike ila kwa mchana ule hawakuwapo so tukabahatika kutongoza akina mama waliokuwa wamekaa pembeni yetu na tukakubaliana bei then tukaanza safar ya kuelekea guest....dah kufika guest kila tulipotaka kuwaingilia vitendea kazi vilisinyaa kabisa,kwakuwa na sisi tulikuwa wahuni kuna mambo tulikuwa nayo yakasaidia viungo kuinuka ila kilichofata jinsia zao zimekuwa za kiume aisee tulitoka guest bila viatu na mashat tulivalia nje.........1998
Serikali ingeingia mkataba iwafungie wanafunzi tekinolojia hii ingesaidia sana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom