Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua watoka kanda maalumu.. karibu ziwa Duruti nikufunze
Karibu kwetu muraa..huku mwanamke anachinja ng'ombe peke yake muraa
Pole sana jamaniBaby wangu ni jipu
mi mwenyewe sijui kama niko kwenye mahusiano[emoji3] maana yanakuja afu yanakataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kwakweli. Ukinipenda naamini wanipenda and i enjoy the love. Kama wapretend utajua mwenyewe.
Karibu kwetu muraa..huku mwanamke anachinja ng'ombe peke yake muraa
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Dogo..pm ndio hufungui
MmhhhOohh kumbe ndiyo huko
Ila we naye kila mkoa ni kwenu,, hadi sasa umeshasema Kigoma na Arusha ni kwenu na leo tena unasema Mara ni kwenu mwee[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kwakweli. Ukinipenda naamini wanipenda and i enjoy the love. Kama wapretend utajua mwenyewe.
Mmhhh
Naunga mkono hojaEndiwo,, si kuna comment kwenye uzi fulani ulimuambia mtu kwenu ni mwisho wa reli leo umemuambia aurora kwenu arusha na mimi unaniambia kwenu kanda maalumu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja
mimi pia aliniambia hivyo hivyo kwao Arusha thn pia nikaona Kigoma na hii ya leo ya Mara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mie nasubiri tu kusikia mkoa unaofuata ikiisha yote tanzania mnishitue labda atahamia na nchi jirani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwetu shinyanga mkuu..Naunga mkono hoja
mimi pia aliniambia hivyo hivyo kwao Arusha thn pia nikaona Kigoma na hii ya leo ya Mara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endiwo,, si kuna comment kwenye uzi fulani ulimuambia mtu kwenu ni mwisho wa reli leo umemuambia aurora kwenu arusha na mimi unaniambia kwenu kanda maalumu..
Sent using Jamii Forums mobile app