Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Sikua na hisia na yeye kabisa sikuona sababu ya kuendelea kumtesa wakati angeweza kupata mwingine na akapendwa tofauti na kwangu. Huwa sipendi kumuweka mtu ili hali najua kabisa napoteza muda wake huwa naamua tu kuwa mkweli.
Kwahiyo hapo haujampotezea muda? 9yrs?
 
I feel his pain on this. But you are right
 
Daah nipo kwenye hili janga na sijui pa kutokea,maana hivi sasa ananijibu kunya balaa lakini bado naamini atabadirika
 
Kilichowaunganisha siku zote ndio hicho kitawatenganisha. Kama mlikutana shule,chuo au kazini, akihama mmoja au mkamaliza,hapo ndio mwanzo wa mwisho wenu.

Alaf pia kumbukeni sheria moja muhimu sana kuhusu mahusiano ambayo inasema "Out Sight, Out of Mind"

Analyse.
 
Daah nipo kwenye hili janga na sijui pa kutokea,maana hivi sasa ananijibu kunya balaa lakini bado naamini atabadirika
Nini kimekukuta mkuu.? Share nasi tukusaidie umpate mrembo wako
 
Boss,hii comment huenda niliisoma lakini sikuelewaga,sasa ninaelewa ulichomaanisha hapa.mtu akiisoma kama hajapitia haya maisha hatoelewa
 
Tafadhali sana shea nasi mate yaliyokupata tuone tunatoana vipi huko.
Mm najua udhaifu wangu moyoni mwangu ndio maana naogopa sana
hahaha,mimi pia udhaifu wangu ni huo mkuu,ila to make things short ni kwamba siku hizi nimeacha kuzoeana na watu wapya mfano ile unajenga urafiki na mtu,na nilionao nawakwepa,sitaki kuwa attached kwa sababu unajikuta unamzoea mtu na kumkubali afu mwishowe unagundua hayupo vile ulivodhani au unaona anakupuuza
 
Dah[emoji26][emoji26][emoji26]
Nimejaribu kuwaza maumivu aliyoyapata.
Nahisi ni maumivu makali Sana.
 
😅kweli kabisa mkuu,alafu mbaya zaidi ni ile mtu kila siku alikuwa anakutafuta ila ghafla anaacha, maisha lazima yaende
Noma sana mkuu. Tafuta girl mmoja atakae kupenda na utakaempenda kwa dhati toka moyoni. Ambae hataweza kuvumilia kukukosa. Unaweza kujikuta umemaliza watu 100 hafu wote wanakuumiza. Tafuta mmoja tu ila mnaependana
 
Dah.. I understand how J felt nami nilipitia hiyo hisia, kumpenda mtu lakini ndani ya moyo wako unajua kabisa haiwezekani kuwa naye,

Na huyo unayempenda hawezi kulazimisha moyo wake ukupende (na unaona alijaribu lakini akashindwa) accepting defeat and letting go is the hardest part [emoji22] inauma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…