Najiona Mimi
Member
- Aug 15, 2020
- 74
- 87
Mkuu ni kweli mfumo wa dunia ulivyo bila kujipendekeza mambo yatakuwea magumu kwenye kila kitu. Ila kwangu mimi ni tofauti kabisa hasa kwa upande huu mahusiano na watu.
I tells people that no one is special then wanadhani mimi ni special kwa kuwaambia hivo. We all need to belong to someone..to have someone to hold onto.Yeah sema kwangu mimi ni ile nakuwa nalazimisha upendo kutoka kwa mtu na nafanya kila niwezalo ili aendelee kubaki maishani mwangu nami niendelee kubaki maishani mwake
Lakini mwisho wa siku nakuja kugundua sistahili upendo wake
Kwahiyo naamua kumuacha aende hata kama naumia kumpoteza
C'est la vie mon amiI tells people that no one is special then wanadhani mimi ni special kwa kuwaambia hivo. We all need to belong to someone..to have someone to hold onto.
Dah huyu Demu alikuwa ana Mpenda sanaaa John Snow[emoji22][emoji22][emoji22]
Linda ana 65yrz sema ugonjwa ndio umemfanya akae pembeni,anaumwa ugonjwa ule wa mikono kutetemekaMaisha ni fumbo asee huyu mwanamke alikua mzuri sana enzi hizo na sauti tamu. Ila leo ukimuangalia alivyozeeka.
Huo wimbo naupenda alivyouimb akwa hisia kali hafu mwisho anamalizia kusem Goodnight babe kwa upole utadhani anakuambia.
Napenda san nyimbo za 70,80,90 na 20s mwanzoni nimezijaza
Hii inachoma moyoDon't love
Nobody loves you
Nobody want you
You're useless
Hahaha we nawe una shida sio bure[emoji3]Mimi siamini watu mpaka mm mwenyewe sometimes huwa naquestion hata maamuzi yangu.... Kuna wakati naamini what I know about me is a lie.... I am working hard to know myself......
Assume niliwahi kumfukuzia mtoto wa watu for 2 good years na siku aliponikubalia... nikamweka kwenye mizani upya... nikafanya critical analysis nikaona nilikosea kumfukuzia NIKAMWACHA.
Nakubaliana nawe Mkuu kikubwa fuatilia ila usifosi kuudendelea. Let nature take the wheel.Hili jambo linapande mbili,
Mapenzi na urafiki baina ya mtu na mtu,
Kwenye mapenzi mmoja akizingua aende salama "amalize mwendo salama" Hata mimi sijali
Lakini kama ni rafiki, nafikiri unahitaji muda zaidi wa kujua kwanini yanatokea hayo, sisi ni binadamu tunabadilika muda wowote si dhambi kufatilia sababu ya mabadiliko ya mtu.
Mimi nampenda zaidi emilia ni mpole. Mwanamke akiwa Decent hua nampenda sana. Hafu akiongea lips zake za juu hupanda zinakua kama za mwanamke mmoja hivi.. basi hua napenda nimuone akiongea kama mwanamke huyo navyopenda kumuangalia akiongeaDah huyu Demu alikuwa ana Mpenda sanaaa John Snow
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kuna huyu mwanamke anaitwa Dushon Monique Brown..aliigiza kwenye PB kama nesi, So decent and mpole.Linda ana 65yrz sema ugonjwa ndio umemfanya akae pembeni,anaumwa ugonjwa ule wa mikono kutetemeka
Maisha haya dah, upo na mixed feelings, na hapo ni introvert means huwezi kujichanganya, unashinda ndani kupigana vita ambayo haiishi na unajua huwezi kushinda.....Upweke kitu kibaya sana..[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
View attachment 1915447View attachment 1915451