Nini kimekukuta aisee maana miezi iliyopita ulikua wanipingaHaya mambo yapo hata sielewi nimekubali kwenda na flow, nipendwe nisipendwe as long najipenda mwenyewe niko smart and healthy imetosha.
Mapenzi yalishakuwaga cursed enzi hizo, ndio maana nimeamua ku focus on business.
Move on achana na kushindana nayeUzi ulipopita kwenye recent nilikumbuka kuwa nilishawai toa ushuhuda wangu humu... nimetumia almost robo saa kutafuta comment yangu.....
Inshort Da'Vinci Nilikupinga before ila now... nimeamin nothing is parmanent...
Mrejesho niliendelea na binti.. mpaka mwaka jana nikaona kama naforce mapenzi..
nikaamua kumkaushi toka mwezi wa 8 last year na hatujatafutana toka hapo... birthday zangu for the past 8 year alikuwa anajua yeye tuu sio mshabiki wa birthday ila yeye on my birthday alijitaidi iwe day special kwangu... nilivyomkaushia nikasemaa nitamprove wrong on my birthday this year kama atafanya as usual[emoji3]
here i am.. hakuna kilichotokea that day... nikaona kumbe i was right.. alikuwa ananiigizia.. but nimepanga birthday yake ikifika i will do the same kama ninavyo fanya miaka yote kumuonesha tu kuwa nilikuwa simuigizii
Selikavu
4/4/2023
Nini kimekukuta aisee maana miezi iliyopita ulikua wanipinga
Ndiyo.. nimeamua niwe busy na mambo yangu tuukwahiyo ndo mmeachana hivyo
Kuumia muhimu... mwez mmoja nilipoacha kumtafuta nilipata shida Sana maana nilimzoea binti wa watu..mapenzi yanatesa sana jaman,napitia kipindi kigumu mno ila naimani yatapita tu,nitamsahau nahata akileta wanawake wengine sitaumia
Kumpenda nampenda bado siwez kataa maan kuingia kwenye mahusiano Mengine nimeshashindwaNgoja nmsaidie davinc....unampenda bado huyo mwanamke mkuu don't lie...
just amua moja mpotezee au go for her try hard this time go an extra mile.
Mkuu... i can't explain much... about her ila mwanaume yoyote atakayempata hawez kubali kumwachia kirahisi...Yaani nikiwaonaga watu kama wewe,wanaume wanateseka kisa wanawake natamani niwazabe vibao. Kwanini umtumie sms?? Kua alpha male...Kua katili kihisia. Amekuzingua mpotezee, kwani yeye ana kitu gani special ambacho wengine hawana??
Kama bado wampenda sema tu upewe njia za kumpata tena
👇👇
Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi
Ndiyo kilichobaki... am trying so hard... japo nimekuwa mgumu ila one day yes... nitamove on tuuMove on achana na kushindana naye
Jichanganye na marafiki zake, kama ni mtu wa mazoezi na kampani fulani pendelea kuwa nazo. Ila isiwe ulevi au uvutaji sigara kupitiliza ukiwa na stress. Pia kama unapokaa kuna vitu vinakufanya umkumbuke basi viondoe, na ubaki huru kabisa. Mwisho kabisa usipende kukaa peke yako, itakufanya uwaze sanaNdiyo kilichobaki... am trying so hard... japo nimekuwa mgumu ila one day yes... nitamove on tuu
hata mimi ni binadamu pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hadi ww unapitia kipindi kigumu ama kweli mapenzi ni Yana run Dunia
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
nimeshaanza kusahau japo kuna wakati nakumbukaKuumia muhimu... mwez mmoja nilipoacha kumtafuta nilipata shida Sana maana nilimzoea binti wa watu..
ila now nipo fresh tuu maisha yanasonga
na wewe naiman utavuka tuu... kuwa na aman kubali matokeo move on
tuko pamoja kakaDa'Vinci Hassan Mambosasa Kandambili1 moneytalk et all
Mbarikiwe sana... atleast kupata mtu anakuelewa inatia moyo sanaaa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
ipo siku litakukuta jambo then utaanza kuongea lugha moja na watu wasioweza kula siku tatuNini kinawapata hadi mnakaa siku tatu eti hamli kisa mmeachwa?? Hua wanawapa vitu gani??
Au ni mimi tu sinaga upendo rohoni?
👇
Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?
Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda halafu yeye hana mpango na wewe. Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore. Ukiwa peke yako unakuwa unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio...www.jamiiforums.com
Never ever. Kwa caliber yangu haiwezekani laiti ungekua unanijua ungeona. I don't care...I don't care a thing. Furaha yangu haipo kwa watu.ipo siku litakukuta jambo then utaanza kuongea lugha moja na watu wasioweza kula siku tatu
Umezaa naye?hapana hatuishi pamoja,ila tupo majirani
Wala sio kweli she's not that special, wapo wengi bora kuliko yeye. Kama upo Dar au Arusha nitakushangaa sana kama utakosa mwanamke mzuri kumshinda. Unless uwe mikoani huko ambapo Pisikali ni wa kutafuta.Mkuu... i can't explain much... about her ila mwanaume yoyote atakayempata hawez kubali kumwachia kirahisi...
i will take your advice sitomtafuta tena nimekubali matokeo
Da 'Vinci your real something [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Never ever. Kwa caliber yangu haiwezekani laiti ungekua unanijua ungeona. I don't care...I don't care a thing. Furaha yangu haipo kwa watu.
Mimi ni katili wa kihisia, Ukinizingua nakuzingua. Sijali nakupenda wala nini.
Wanawake ni wengi zaidi yetu kwa sababu maalumu, so hata uweje nitampata mzuri zaidi yako. Siwezi teseka kisa mwanamke.
Btw kuna muda hata mimi najishangaa kwanini nipo hivi?? Na hii haipo kwa wanawake tu baki kila kitu. Yaani sitakagi kutishiwa kitu, I'm Stoic in nature