Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

8years bado umeshindwa kumsahau,najua kupenda lakini siwezi kumove muda wote huo,upendo wako kwake kwakwel ni too much yaani nimeshindwa hata chakukuambia ila umenishangaza
Nadhan umenielewa vibaya mkuu pitia post zangu za mwanzo hapa chini
Mwaka huu ndo nimekuja kutoa mrejesho ila simply ilianza hivyo
Nadhan nimeeleweka hapo
 
[emoji3]kama ulivaa manzi niliyewahi kumfuata yajanikuta hayo, wanafanana yaani
 
Mkuu sijakataa hata post zangu za juu... nimekubali kwamba nilikuwa attached kwake.. ila nimeamua kumove on... mkoa nishamkimbia last time nimeonana nae Arusha Now nipo Dodoma yeye still yupo huko

Moja ya trick zangu back in the day huwa najiondoa maeneo ambayo muhusika ni rahisi sana kukutana nae, naepuka kuonana na ndugu zake, even social media nasepa. Hii trick after 3 month to 6 month unajikuta mpya.

I know you will get there, ukishavuka you will feel it. New you will be borned. Ila dont rush kuingia kwenye relation nyingine. Heal kwanza
 
Are you looking for a wife?
 
Hawajui wangejua wangetuwasha makofi na upumbavu wetu.[emoji55][emoji55]
No there's a problem somewhere in our modern societies wala sio upumbavu,
But if they (the Love interest) don't serve you and your purpose just stay single.
Do you know your purpose?
 
Safi sana mkuu

Manzi akijikuta keki una evacuate tu

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Nishawahi kuendeshwa mara moja ila nikiwa sijavuka 25 nadhani sitokuja kuendeshwa tena namna ile abadani, hata ikitokea akaniambia muda huu na Penzi limekolea kuwa tuachane. Namjibu poa na ndiyo Ntolee hiyo, asirudi. Nishakuwa na kama wazimu fulani, muda wowote nambadilikia manzi akiniletea ujinga
 
Ndo inavyotakiwa....Always stay Taliban

Sikiliza ngoma ya blaqbonez inaitwa breaking the yoke of love
 
No there's a problem somewhere in our modern societies wala sio upumbavu,
But if they (the Love interest) don't serve you and your purpose just stay single.
Do you know your purpose?
Muandiko kama wa fulani ngoja niingie chimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…