Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifaYaap
Mkuu sijakataa hata post zangu za juu... nimekubali kwamba nilikuwa attached kwake.. ila nimeamua kumove on... mkoa nishamkimbia last time nimeonana nae Arusha Now nipo Dodoma yeye still yupo hukoHahaha huja heal bado.still attached to her, you got try hard man. Hama hata mkoa
Nadhan umenielewa vibaya mkuu pitia post zangu za mwanzo hapa chini8years bado umeshindwa kumsahau,najua kupenda lakini siwezi kumove muda wote huo,upendo wako kwake kwakwel ni too much yaani nimeshindwa hata chakukuambia ila umenishangaza
Mwaka huu ndo nimekuja kutoa mrejesho ila simply ilianza hivyoWewe tangu 2018 me tangu 2016 mpaka leo nimepambana tu na nimekuja kuona mafanikio
Inshort nilikuwa kama mstari wa roma Nataman Ngono ila sina hisia za mapenzi maisha yangu yalikuwa hivyo ila Nilikutana na JW nikasoma vitabu vyao Nikamua kubadilika mtazamo wangu nitafute wa kumpenda
kuna dada alikuwa rafiki angu sio sanaa kutokana alikuwa ni mkimya hapendi kuongea nikaanza kujikeep busy na yeye 2016 Nikarusha ndoano ikachomolewa nikasema sikati tamaa nimeenda nae as friends hivyo hivyo mpaka nimekuwa mtu muhimu sanaa kwake Kwenye kumbukumbu yake ya kuzaliwa mwaka huu amefunguka hisia zake kwangu Mambo yamejipa soon naweza agana na ubachelor...
Nadhan nimeeleweka hapoUzi ulipopita kwenye recent nilikumbuka kuwa nilishawai toa ushuhuda wangu humu... nimetumia almost robo saa kutafuta comment yangu.....
Inshort Da'Vinci Nilikupinga before ila now... nimeamin nothing is parmanent...
Mrejesho niliendelea na binti.. mpaka mwaka jana nikaona kama naforce mapenzi..
nikaamua kumkaushi toka mwezi wa 8 last year na hatujatafutana toka hapo... birthday zangu for the past 8 year alikuwa anajua yeye tuu sio mshabiki wa birthday ila yeye on my birthday alijitaidi iwe day special kwangu... nilivyomkaushia nikasemaa nitamprove wrong on my birthday this year kama atafanya as usual😀
here i am.. hakuna kilichotokea that day... nikaona kumbe i was right.. alikuwa ananiigizia.. but nimepanga birthday yake ikifika i will do the same kama ninavyo fanya miaka yote kumuonesha tu kuwa nilikuwa simuigizii
Selikavu
4/4/2023
[emoji3]kama ulivaa manzi niliyewahi kumfuata yajanikuta hayo, wanafanana yaaniNot really but always never let your guard down....you will be surprised
Most people tend to ignore the red lights from their partners hoping for the better but at the end it backfires.
Ntakupa mfano hai umenitokea juzi tu hapo....kuna manzi nilimwambia tuwe wapenzi akakubali tukawa tunawasiliana kwenye simu vizuri kabisa kwa week ile ya kwanza na tukapanga first date wiki inayofuata na tulipanga tuonane on friday
Cha ajabu sasa one day before meeting ambayo ni Thursday manzi harespond texts na naona she's updating her Whatsapp status
Anakuja kujibu text on Friday jioni kabisa na ndo siku ambayo tulipanga tuonane for the first time tena alivyo respond I thought atakuja na excuse ya kuchelewa na kushindwa kuonana hiyo siku lakini cha ajabu ana act as if hamna tulichopanga kwa siku ile yani kajitoa betri na mimi nikajizima data as if hamna kilichotokea and I didn't bother communicating with her anymore na relationship ikafa siku hiyo hiyo
Nikaona upuuzi Yani first date tu mtu analeta mapicha picha unadhani kutakua na relationship ya maana hapo
Na wengi wenu mnafeli kwenye scenarios kama hizi unaona kabisa unalazimisha mapenzi lakini unajipa moyo kumbe ungeweza ku asses situation mapema ukaendelea na mambo yako mengine
So always don't ignore the red lights..stay taliban
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ulichukua hatua gani [emoji28][emoji28][emoji3]kama ulivaa manzi niliyewahi kumfuata yajanikuta hayo, wanafanana yaani
Niliondoka zangu kimyakimya yaani, hizi pisi kali sana na wenye wembamba sana wengine wana ujinga mwingi sana. Demu alikuwa anawezw asikujibu text ziku ya kukutana au akazima simu kabisa
Mkuu sijakataa hata post zangu za juu... nimekubali kwamba nilikuwa attached kwake.. ila nimeamua kumove on... mkoa nishamkimbia last time nimeonana nae Arusha Now nipo Dodoma yeye still yupo huko
Safi sana mkuuNiliondoka zangu kimyakimya yaani, hizi pisi kali sana na wenye wembamba sana wengine wana ujinga mwingi sana. Demu alikuwa anawezw asikujibu text ziku ya kukutana au akazima simu kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Wazazi wenu wanajua mnavyoteseka huku?
sina haraka kwasasa
Hawajui wangejua wangetuwasha makofi na upumbavu wetu.[emoji55][emoji55]Wazazi wenu wanajua mnavyoteseka huku?
Hapana wanaume ndio wanaowatesa wanawakeNyie wanawake mnawatesa vijana sana. Ndio najaribu kuwapa somo hapa
Are you looking for a wife?Not really but always never let your guard down....you will be surprised
Most people tend to ignore the red lights from their partners hoping for the better but at the end it backfires.
Ntakupa mfano hai umenitokea juzi tu hapo....kuna manzi nilimwambia tuwe wapenzi akakubali tukawa tunawasiliana kwenye simu vizuri kabisa kwa week ile ya kwanza na tukapanga first date wiki inayofuata na tulipanga tuonane on friday
Cha ajabu sasa one day before meeting ambayo ni Thursday manzi harespond texts na naona she's updating her Whatsapp status
Anakuja kujibu text on Friday jioni kabisa na ndo siku ambayo tulipanga tuonane for the first time tena alivyo respond I thought atakuja na excuse ya kuchelewa na kushindwa kuonana hiyo siku lakini cha ajabu ana act as if hamna tulichopanga kwa siku ile yani kajitoa betri na mimi nikajizima data as if hamna kilichotokea and I didn't bother communicating with her anymore na relationship ikafa siku hiyo hiyo
Nikaona upuuzi Yani first date tu mtu analeta mapicha picha unadhani kutakua na relationship ya maana hapo
Na wengi wenu mnafeli kwenye scenarios kama hizi unaona kabisa unalazimisha mapenzi lakini unajipa moyo kumbe ungeweza ku asses situation mapema ukaendelea na mambo yako mengine
So always don't ignore the red lights..stay taliban
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
No there's a problem somewhere in our modern societies wala sio upumbavu,Hawajui wangejua wangetuwasha makofi na upumbavu wetu.[emoji55][emoji55]
Nishawahi kuendeshwa mara moja ila nikiwa sijavuka 25 nadhani sitokuja kuendeshwa tena namna ile abadani, hata ikitokea akaniambia muda huu na Penzi limekolea kuwa tuachane. Namjibu poa na ndiyo Ntolee hiyo, asirudi. Nishakuwa na kama wazimu fulani, muda wowote nambadilikia manzi akiniletea ujingaSafi sana mkuu
Manzi akijikuta keki una evacuate tu
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ndo inavyotakiwa....Always stay TalibanNishawahi kuendeshwa mara moja ila nikiwa sijavuka 25 nadhani sitokuja kuendeshwa tena namna ile abadani, hata ikitokea akaniambia muda huu na Penzi limekolea kuwa tuachane. Namjibu poa na ndiyo Ntolee hiyo, asirudi. Nishakuwa na kama wazimu fulani, muda wowote nambadilikia manzi akiniletea ujinga
mapenzi yanatesa sana jaman,napitia kipindi kigumu mno ila naimani yatapita tu,nitamsahau nahata akileta wanawake wengine sitaumia
thnx babePole dear
Mungu akutie nguvu