Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Mm nilikutana na kidem fulan tukawa tunapigana shoo kila nikienda town nachukua lodge namtandika naunganisha bao, aisee nilimfaidi sanaaa [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]. Basi nilivyo ona nimemla vya kutosha ikanibidi nimwambie kuwa nina mke kama utakubali kuendelea na mm fresh ila nitakujari, dah! Baada ya kumwambia hvyo akaanza kuniletea uboya sijui alikuwa na back up kitambo nikawa nakuta anaongea nae mara mm akaacha kabisa kunitafuta na mm nikaacha kumtafuta aisee.
 
Ulitaka kumuacha akakuwahi... Inaumaga hiyo
 
Niki pata mda tashusha kisa changu na binti mmoja. Ila in a short way ni wakati tunaanza mahusiano nilkua deep sana yani sanaa nazani Ali lijua ilo basi akawa ana fanya vitu aki jua me siwezi fanya chochote .Na me ni mtu ambae naweza kukuangalia tu ila siku niki decide ni nme decide kwel, Hata ashuke nani hawezi badili maamuzi yangu..

At last nka back down na icho ndo kipindi kumbe na yeye alikua ame anza kua deep .yani tuka jikuta wakati me niko deep ye hayuko deep ..na wakati ye yuko deep me sipo tayari kabsa .. nili mpotezea hakuamini kama ni mimi hadi leo still ana sumbua but me sha fanya maamuzi na huwa sibadili maamuzi yangu ata kama niya kuumiza
 
🀣🀣🀣🀣
 
Mwamba mbona una matukio sana
 
Mwamba ulizama mazima
 
Hapo unaonekana bonge la fala aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…