Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

[emoji108] HIP HOP is a food of mind...
😴😴😢😢😢
I thought you were a busy woman, I don't know what you do very well. You may think I am desperate... I was longing for your call. I didn't think I would see you again. Sorry, I'm pretty excited. Living alone was a hassle, I have nobody to talk to. You are the first one... Who is really warmhearted and tries to accept me and tries to understand who I really am.

FB_IMG_16469388106815654.jpg
FB_IMG_16469388228150536.jpg
FB_IMG_16469388325987516.jpg
FB_IMG_16469388407665883.jpg
4d23851d92974d52deee387c457157a6--japan.jpg
 
Niliwahi lazimisha Mungu tu akae maishani mwangu na akanibadr na upuuz wang,
Hayo mengne situmiagi
 
Mwaka huu kwangu umekua wa kipekee, kuna mtu ameingia kwenye cycle ya maisha yangu bila kutarajia, ameingia wakati usio faa na wakati ufaao.

Changamoto ameingia akiwa na yake na mimi nikiwa na yangu. Hio imepelekea kuona kama kuna kosa fulani lenye mafunzo ambalo siwezi kujutia kukutana naye ila kuna maumivu kwa kiasi chake kwa upande wangu kutoka kwake so kwa sasa sijajua nimtoe au ni mbakishe, naisubiri nature ifanye yake.
 
So, how can we live a happy life?
if things are vanish in our own sight, some of it are untouchable and unlovable.
View attachment 2162151
Maybe for letting things flow naturally and accepting that other things are beyond our comprehension so we have to let the get out of hands. Mmmhh life is really meaningless we're just make it meaningful by living it
 
I'm never gonna give up on you, I promised to love you with all of mine😞😞
FB_IMG_16469451984525535.jpg
 
Hisia hazipandikizwi ndugu (kwa maoni yangu) anayekupenda atakupenda tu. Kikubwa kamwe usitumie material things yoyote kama vile cheo, mali, pesa,madalaka nk kumfanya mtu akupende. Kama unataka mapenzi na sio sex basi usifanye vitu hivyo utajuta maana Upendo haununuliwi na hakuna kiasi cha mali wala pesa kinachoweza kununua Upendo wa mtu. Utaishia kuigiziwa mapenzi.

Kikubwa mkuu kama mtu akikuacha wewe usinungunike ndio maisha nothing last forever, Na kama akikupenda na ukaona kabisa ana mapenzi kwako kamwe usimuache. Shida tunaitumia nguvu nyingi kutambua hisia za mtu na kupata penzi la mtu anayekupenda.. Just let things flow naturally.

😢😢😢Unayemuacha ndio mpenzi wako wa Maisha yako, unayemuona hana thamani kwako utamjutia kwenye maisha yako
 
😔😔 Don't Force a thing let them Flow naturally...
FB_IMG_16544621377321368~2.jpg
 
Back
Top Bottom