[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara nyingi ,nilivo maharage ya mbeya huwa sikatai[emoji41]
Unampenda Sana habari za Ngono....Huwa natongozwa na Wanawake Mara Kwa mara, wengi ni Kwa mitego ,wenye uthubutu ndio hunianza nao ni wachache.
Ninakula sana kimasihara Kwa Hilo kundi la kwanza lenye kunitega, Huwa silembi, nikishaona dalili, namsukumia nyama.
UwiiiHaya maisha kuna muda tu unajikuta ushamoenda kaka wa watu na unaona kusubiri akutongeze utasubiri sana huenda hana wazo hilo.
Unaweza kuonesha ishara ila ndio kama hakudomi hivi unaona kwani sh ngapi nikijivika mabomu mazima. Unamfata unampiga mistari kuwa umemuelewa.
Je, ushawahi tongozwa na mwanamke na ulichukuliaje?
Ulikubali au ulikataa?
Teacher hunaga Mambo ya uongo uongo,vipi ulitumia mbinu gani kufikisha ujumbe?Nasubiri swali Kwa wanawake waliowahi tongoza wanaume?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenichekesha sanaMara nyingi ,nilivo maharage ya mbeya huwa sikatai😎