Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta 💰Ilinitokea sana kipindi nina umri kati ya miaka 16-20.
Hapa katikati sijui nini kilinitokea😅
Hii haijawahi tokeaulikataa?
Asee umepita mule mule mwamba,Nilitongozwa na mwanamke maasai, na ndo ilikuwa mara ya kwanza kukutana na ke aliyekeketwa
1. Yes nimetongozwa mara nyingiHaya maisha kuna muda tu unajikuta ushamoenda kaka wa watu na unaona kusubiri akutongeze utasubiri sana huenda hana wazo hilo.
Unaweza kuonesha ishara ila ndio kama hakudomi hivi unaona kwani sh ngapi nikijivika mabomu mazima. Unamfata unampiga mistari kuwa umemuelewa.
Je, ushawahi tongozwa na mwanamke na ulichukuliaje?
Ulikubali au ulikataa?
Sio suala la pesa acha kuzinguaMi bado inabidi nitafute hela sana kufikia hiyo stage
We phalla hunaga hiyana🤣🤣Huwa natongozwa na Wanawake Mara Kwa mara, wengi ni Kwa mitego ,wenye uthubutu ndio hunianza nao ni wachache.
Ninakula sana kimasihara Kwa Hilo kundi la kwanza lenye kunitega, Huwa silembi, nikishaona dalili, namsukumia nyama.
Ni mkweli lkn🤣Unampenda Sana habari za Ngono....
Upo sahihi 100%.Unampenda Sana habari za Ngono....
Haya maisha kuna muda tu unajikuta ushamoenda kaka wa watu na unaona kusubiri akutongeze utasubiri sana huenda hana wazo hilo.
Unaweza kuonesha ishara ila ndio kama hakudomi hivi unaona kwani sh ngapi nikijivika mabomu mazima. Unamfata unampiga mistari kuwa umemuelewa.
Je, ushawahi tongozwa na mwanamke na ulichukuliaje?
Ulikubali au ulikataa?
Mi namwambia tu mtu Nakupenda bas....atajua yeye atavyonichukuliaTeacher hunaga Mambo ya uongo uongo,vipi ulitumia mbinu gani kufikisha ujumbe?
Ulifeli pakubwa ulichezea iyo chanceKipindi hicho ndio nimemaliza chuo nilitongozwa na mwanamke mmoja mke wa mtu halafu alikua na pesa na Hadi Sasa anazo. Tatizo mwanamke mwenyewe Hana shape Wala sura. Mbele na nyuma Ni sawa kabisa, flat screen OG. Nikawa najiuliza kwa huyu hata Kama abdala Ni kichwa wazi lkn kwa huyu hatoweza kuinuka. Alinipa mpaka offer ya kwenda Zanzibar Kama Dar ninaogopa. Nashukuru Sana sikumkula.
Yaani hamna sehemu ngona inazungumzwa huyu jamaa asichangie kwa furaha yaani🤣🤣🤣🤣🤣kwenye kimasihara Hadi kaanzisha Uzi ndani ya uzi, Carlos hapana jamaniNi mkweli lkn🤣