Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Yaani hamna sehemu ngona inazungumzwa huyu jamaa asichangie kwa furaha yaani🤣🤣🤣🤣🤣kwenye kimasihara Hadi kaanzisha Uzi ndani ya
Good,kujitesa mpaka lini.??Mi namwambia tu mtu Nakupenda bas....atajua yeye atavyonichukulia
MASAPTASAPTA.Upo sahihi 100%.
Wewe hupendi Ngono? Unapenda nn?.
Ivo yaanGood,kujitesa mpaka lini.??
Aaahhh sawa , mie napenda Ngono ila Ngono salama na Jana Nmempiga bao tatu za nguvuu Boss mmoja Hivi Mwanamama.MASAPTASAPTA.
...Makange,michemsho,na kilaji😄
Sawa sawaAaahhh sawa , mie napenda Ngono ila Ngono salama na Jana Nmempiga bao tatu za nguvuu Boss mmoja Hivi Mwanamama.
Sisi ni mahandsome ..achana na hao ma celebs, hao uhandsom wao ni wakupelekewa motooo na wanaume wenzaoJamii forum kila mwanaume ni very very handsome boy....bila kusah au wote huwa wanatongozwa.....hakuna ambaye ana mda na she.
Vice versa iz tru.
thankyuuu
Leo ulale hukohukoHuwa natongozwa na Wanawake Mara Kwa mara, wengi ni Kwa mitego ,wenye uthubutu ndio hunianza nao ni wachache.
Ninakula sana kimasihara Kwa Hilo kundi la kwanza lenye kunitega, Huwa silembi, nikishaona dalili, namsukumia nyama.
KusahaAU not kusah.Sisi ni mahandsome ..achana na hao ma celebs, hao uhandsom wao ni wakupelekewa motooo na wanaume wenzao
Baby nilale wapi, alafu wee nikuache ulale na nani?Leo ulale hukohuko
Kutongozwa hakuna uhusiano na uhandsime...unaweza kuwa na sura paono na ukatongozwaJamii forum kila mwanaume ni very very handsome boy....bila kusah au wote huwa wanatongozwa.....hakuna ambaye ana mda na she.
Vice versa iz tru.
thankyuuu
Mwingine ukimjibu hivi ndio anazidi kupenda1. Yes nimetongozwa mara nyingi
2. Niliona kawaida sio ajabu kutongozwa
3. Kila aliyenitongoza kwa dhati kwangu huwa namheshimu...ikiwa sitamkubalia nitampa heshima ya pekee, nitamheshimu kama alivyoziheshimu hisia zake akanitokea. ...nampa heshima kubwa na nitampa majibu yasiyovunja moyo.
Usimvunje moyo aliyekupenda...mpe sababu...mfano.
Dada ninashukuru mno kwa ujasiri wa kipekee.
Nimejisikia vizuri kusikia unanipenda...bahati mbaya nina mtu ambaye tuna uhusiani siriaz.....sipendi nikukubalie then nije kukuvunja moyo.
Nisamehe kama nitakuudhi kwa majibu haya plz.
Hiyo kauli nimeweka tu kama kauli ambayo unaweza kuitumia usimvunje moyo aliyeonyesha hisia za kweli kwako.