Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kapaja hujapata kapicha kamnato😅?Labda kameseji 🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapaja hujapata kapicha kamnato😅?Labda kameseji 🤪
Ulikuwa mtoto wa kishua unavimbia hela za mshua sasa umekuwa maskini[emoji28][emoji38]Ilinitokea sana kipindi nina umri kati ya miaka 16-20.
Hapa katikati sijui nini kilinitokea[emoji28]
Wengi huwa ni ishara; ingawa kwa mazingira ya sasa wengi wanaangalia una nini? atanufaika na nini akiwa na wewe; kwa hiyo mtongozo unakuwa feki.
Daaah mbona hii kali asee mi kuna uncle wangu ni tax driver sio tajiri sio masikini ila anavyotongozwa na wanawake mmmmh asseeMiye sura ya Babu mfukoni patupu unafikiri atanitongoza nani
Trust me, huhitaji kuwa na pesa nyingi kutongozwaMi bado inabidi nitafute hela sana kufikia hiyo stage
Uncle yako inaonekana Ana nyota ya kupendwq na wanawake.Daaah mbona hii kali asee mi kuna uncle wangu ni tax driver sio tajiri sio masikini ila anavyotongozwa na wanawake mmmmh assee
Sijui ni nguvu za Mungu au nn maana jamaa kaokoka kweli
Na sio handsome wala nn ana 47 hapo najiulizaga sana ila wote anawakataliaga tu 🤔🤔😒
Hii kitu inamtokea uncle wangu sana sielewi ni nn asee duuh 😑Kutongozwa hakuna uhusiano na uhandsime...unaweza kuwa na sura paono na ukatongozwa
Haya maisha kuna muda tu unajikuta ushamoenda kaka wa watu na unaona kusubiri akutongeze utasubiri sana huenda hana wazo hilo.
Unaweza kuonesha ishara ila ndio kama hakudomi hivi unaona kwani sh ngapi nikijivika mabomu mazima. Unamfata unampiga mistari kuwa umemuelewa.
Je, ushawahi tongozwa na mwanamke na ulichukuliaje?
Ulikubali au ulikataa?
Ana nyota ya ukimwiDaaah mbona hii kali asee mi kuna uncle wangu ni tax driver sio tajiri sio masikini ila anavyotongozwa na wanawake mmmmh assee
Sijui ni nguvu za Mungu au nn maana jamaa kaokoka kweli
Na sio handsome wala nn ana 47 hapo najiulizaga sana ila wote anawakataliaga tu [emoji848][emoji848][emoji19]
Hiyo kauli Ni nzuri Sana,wadada wangekuwa wanatumia hiyo kauli kuwakatalia wanaume ingekuwa poa Sana afu ungekuwa ustaarab mzuri Sana.1. Yes nimetongozwa mara nyingi
2. Niliona kawaida sio ajabu kutongozwa
3. Kila aliyenitongoza kwa dhati kwangu huwa namheshimu...ikiwa sitamkubalia nitampa heshima ya pekee, nitamheshimu kama alivyoziheshimu hisia zake akanitokea. ...nampa heshima kubwa na nitampa majibu yasiyovunja moyo.
Usimvunje moyo aliyekupenda...mpe sababu...mfano.
Dada ninashukuru mno kwa ujasiri wa kipekee.
Nimejisikia vizuri kusikia unanipenda...bahati mbaya nina mtu ambaye tuna uhusiano siriaz.....sipendi nikukubalie then nije kukuvunja moyo.
Nisamehe kama nitakuudhi kwa majibu haya plz.
Hiyo kauli nimeweka tu kama kauli ambayo unaweza kuitumia usimvunje moyo aliyeonyesha hisia za kweli kwako.
Visa no vingiii sana siunaona kama huyu natakiwa nimle JPL.Oy lete visa mkuuu 💩 vipi
Ndio mkuu ata mimi nishaona hilo lkn 🤔🤔🤔🤔 inafikirisha sana hao wanawake wazuri wanavyojigonga wenye hela zao kwake 😒😒😒Uncle yako inaonekana Ana nyota ya kupendwq na wanawake.
Tatizo umesema uncle yako anawakataliaga, ungekuwa wewe je?Ndio mkuu ata mimi nishaona hilo lkn 🤔🤔🤔🤔 inafikirisha sana hao wanawake wazuri wanavyojigonga wenye hela zao kwake 😒😒😒
Hahahah kapaja hapana wadau walosema inawafanya wapige punyetoKapaja hujapata kapicha kamnato😅?
Igwe. Mr 🍑 daaah aseeVisa no vingiii sana siunaona kama huyu natakiwa nimle JPL.
View attachment 2544691
Ana Mshapeee balaa, mtako Si mtakooo, sura Si suraaaa .
Sasa unajua nilimpataje?.
Hahaha kimasihara sanaaaa , alimleta Mama yake Hosp kapigwa na DKA ameshapoteza Faham ( nilikua EMD ) , baada ya juhudi mama kutoa tumaini, na kuhamishiwa Wodini , yule Demu akawa ananiuliza... vipi Mama atakua sawa ? Mama vile?.
Si ndo nikamtania ' atakua sawa tu na akishakua sawa itabidi nawee unipee hiyo nyama maana looooh Kwa jinsi ulivyojaaa 🤣)
Likachela chekaaaa tuu hapoooo.
Ndo Sasa JPL nakula ,usiku kucha🤣🤣
Wanawake wana nyodo kwa asiliHiyo kauli Ni nzuri Sana,wadada wangekuwa wanatumia hiyo kauli kuwakatalia wanaume ingekuwa poa Sana afu ungekuwa ustaarab mzuri Sana.