Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

hamnaga namna nzuri ya kumkataa mtu, kukataliwa ni kukataliwa tu
 
Ila ulimla au
 
Duh mi sikumbuki aisee. Inshort wapenzi asilimia kubwa nilowahi kuwa nao si kwamba walinitongoza but walionyesha kunipenda. Ioa nishatongozwa maroja tu ile kavukavu. Nakumbuka huyu dada nlimhurumia sana ila sikuwahi kumkubalia baadae ulibadilika ukawa kama ugomvi aliona naringa
 
Pumb--f dume zima unakuja hapa na habari za kutongozwa!! Na mwanamke asemeje??-- Mwanaume huwa hatongozwi bali anaashiriwa na mwanamke.
Nk
Imeshakuwa mzee sasa ofisini bado hizi za kuashiriwa ni kama sielewi, zipo Sana.

Mnakuta office mate anakuambia sweetie, baby dah sasa sisi wengine hatuambiwagi hivyo naona kama unaniita vile.
Bado nawasoma wake za waru hawa.

Mara anakusifu mbele za wenzake X mstaarabu Kweli basi mimi nacheka cheka tu nankuwaza huyu anatoa mjiko wa nini.

Wengine wanaomba mitiko nk hii miashirio ni kupendwa au ni nini Msaada tutani
 
,,,,,,,,,,,, πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜†πŸ˜πŸ˜†πŸ˜πŸ˜
 
Duuh
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…