Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

Huyo sio mdada😁😁😁😁😁😁😁mh
 
Malizia story mkuu ulimtafuna!!!! Mbona umetuacha kati!
 
Haya maisha kuna muda tu unajikuta ushamoenda kaka wa watu na unaona kusubiri akutongeze utasubiri sana huenda hana wazo hilo.
Hii imenitokea usingizini sasa sijui nimependwa na jini
 
Mwanamke akinitongoza kwanza nahisi katumwa kuniwekea mtego kwasababu sio kawaida.
 
Duuh
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…