luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kwani ukilisema lile li zee lako lakizungu lenye mapengo Nani atakupiga dada.. si useme tu chukulia ni kama sehemu ya kutubu tu..ππNasoma comments
π€£π€£π€£π€£π€£ Kuwa na zee zungu lenye mapengo si Bora niwe na mweusii tiii mwenzangu kijana masikini .Kwani ukilisema lile li zee lako lakizungu lenye mapengo Nani atakupiga dada.. si useme tu chukulia ni kama sehemu ya kutubu tu..ππ
Haiti, Antigua, Barbados na Jamica wote hao kwa muonekano ni kama sisi waswahili tu.nilikuwa na demu kutoka Haiti, ni mweusi kama sisi, kujua kuwa ni mgeni ni mpaka aongee
Endelea kubisha Sasa ntaweka na picha yake ili nikuumbue Mrs mapengo wa watu..ππ€£π€£π€£π€£π€£ Kuwa na zee zungu lenye mapengo si Bora niwe na mweusii tiii mwenzangu kijana masikini .
π€£π€£π€£π€£π€£ Brazaaa...weeka nimekupa ruhusaEndelea kubisha Sasa ntaweka na picha yake ili nikuumbue Mrs mapengo wa watu..π
Sitaki kumuaibisha dada maana ukiaibika wewe nimesibika nami ila msalimu shemeji yangu huyo ila dah! Nawe kiboko..ππ€£π€£π€£π€£π€£ Brazaaa...weeka nimekupa ruhusa
ππππππ Kaka πSitaki kumuaibisha dada maana ukiaibika wewe nimesibika nami ila msalimu shemeji yangu huyo ila dah! Nawe kiboko..π
Saa kumi nitakuletea mtihani ufanye ole wako ufeli sasa eiiiiiiiiiiiiiiiiihNasoma comments
πππππ Sawa nipo tayari.Saa kumi nitakuletea mtihani ufanye ole wako ufeli sasa eiiiiiiiiiiiiiiiiih