luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Maishaa ni safari au wengine husema maisha ni sinema kama Isidingo. Unapitia mengi katika safari ya maisha. Je, ulishawahi kubahatika kuwa na mahusiamo ( serioues relationship) na jamii ya kundi tofauti na lako yaani uwe na mdosi, dodo, au taifa tofauti.
Leta experience yako
Leta experience yako