Je uliwahi kufumaniwa na mke wako hata meseji(za mapenzi) kwenye simu Yako?

Je uliwahi kufumaniwa na mke wako hata meseji(za mapenzi) kwenye simu Yako?

Nikikumbukaga huwa nacheka peke angu:
Nina brother angu ni kitombi sana nje ya ndoa, ana michepuko hasa.
Asa bana kuna siku kaenda kuoga kaacha simu ndani, mchepuko siukatuma msg na mkewe akaisoma, akampigia mchepuko na mchepuko nae akapaniki kuwa "wee kama nan unatumia hyo simu?" Wakalumbana simu ikakatwa, bro anatoka kuoga anaonyeshwa msg anatoa macho tuu + kigugumizi maana yaonekana hajawahi kudakwa ktk matukio yake.
Shemeji akampigia simu sister ambae ndo anafuatia akitoka huyo bro kwamba yeye ndo wakwanza kuzaliwa.
Sister ndo kaniambia twende huko kuna kesi tukasuluhishe, tukachukua toyo hadi kwa bro, kufika shem kapaniki balaa, akaanza kumuelezea sister pale mimi nipo kimyaa maana sikutaka kuingilia mambo yasonihusu. Asa sister akawaambia tuingieni ndani tuongee vizuri. Shem akatangulia na sister akafuata. Mimi nikatega niwe wa mwisho japo nlitaka nisiingie ila shem akaniambia njoo naww maana sio mtoto wew uje uone madudu ya kaka ako.
Bwana wee, bro akaitoa ile simu zilikuwa ni zile Nokia za batan nyingi (viji batan vidogodogo vingi kama mnazikumbuka), kulikuwa na ndoo imejaa maji pale nje bro akaitumbukiza kwenye maji baada ya kutoa betri akazitumbukiza zote kwenye maji (simu yenye ushahidi hyo). Anaulizwa mbona huji, anasema nakuja kumbe mwamba anaharibu ushahidi ilinibid nianze kucheka had machoz, bas nikajikausha namm nikaingia ndan. Kikao kikaanza kwa shem kuelezea tukio zima, basi bro kuulizwa kwann unafanya hiv bro anakataa anasema mm sielew chchte. Shem akamwambia sister "Wifi mwambie akupe hyo simu kama naongea uongo"
Sister anamwambia bro tunaomba hyo simu, bro anasema mimi sina simu. Shem anamuuliza umeiacha wapi siulikuwa nayo?, bro anawaambia simu ipo nje kwenye ndoo ya maji. Shem anatoka kwenda kuiangalia sasa ili ambananishe mhalifu wake, anakuta chombo inapiga mbizi kwenye maji. Anarudi anahamaki "Wifi kaka ako kaiweka simu kwenye maji, siunaona?, kaona aiweke kwenye maji maana anajua madudu yake yatafichuka". Asee mimi uvumilivu ulinishinda maana muda wote nlikuwa nimejiinamia chini nimelaza kichwa kwa magoti nacheka chinichini sitaki kumwangalia bro maana nahofia ntacheka kwa sauti mwisho maswali yahamie kwangu. Asa kwa tukio hilo na shem kuiona simu kwa maji asee nlijikuta naangua kicheko non stop, nikaona nitoke nje, nao uvumilivu ukawashinda wakaanza kucheka maana tayari bro alishajifunga kuwa ni kweli kwa makosa anayotuhumiwa ila tuu alichoficha n msg na namba ya mchepuko husika. Anaulizwa asa kwann umeweka simu kwnye maji kama sio kweli, anasema asa kama simu imedondoka kwenye maji mm nifanyeje?, Mimi mbavu sina kwa kucheka. Basi sister akawaeka sawa tuu kwa kumkanyaga sana bro kuwa keshakuwa mtu mzima aachane na mambo ya kando n.k.
Shem temper ilishuka baada ya tukio la kukuta simu kwa maji na mm kuanza kucheka nao wakapokea ikawa sasa kikao chote watu wanacheka had yeye mwenyewe maana bro ni kama alionyesha ukunguru flani hv, na akaona kamkomoa kwamba kaharibu simu kwa mistar kadhaa ya msg.
Badae namuuliza bro asa kwann umeamua kuharibu simu kisa nsg tuu siungeifuta na namba y huyo demu kulko kuiweka kwa maji. Aniambia nilikumbuka basi?, pia ningewapa ile simu ilikuwa ni bomu kuna majanga yakutosha mule.
Baada ya siku 3 akanipgia kuwa ile simu haijafa aliiweka juani na karudishia betry imewaka ila tuu ina ukungu kwenye kioo na ndo hyo anayonpigia nayo.

Asa hili tukio kiukweli nkilikumbukaga huaga nacheka tuu kama chizi.
 
Huyu sasa ndo Jean Baleke
Nikikumbukaga huwa nacheka peke angu:
Nina brother angu ni kitombi sana nje ya ndoa, ana michepuko hasa.
Asa bana kuna siku kaenda kuoga kaacha simu ndani, mchepuko siukatuma msg na mkewe akaisoma, akampigia mchepuko na mchepuko nae akapaniki kuwa "wee kama nan unatumia hyo simu?" Wakalumbana simu ikakatwa, bro anatoka kuoga anaonyeshwa msg anatoa macho tuu + kigugumizi maana yaonekana hajawahi kudakwa ktk matukio yake.
Shemeji akampigia simu sister ambae ndo anafuatia akitoka huyo bro kwamba yeye ndo wakwanza kuzaliwa.
Sister ndo kaniambia twende huko kuna kesi tukasuluhishe, tukachukua toyo hadi kwa bro, kufika shem kapaniki balaa, akaanza kumuelezea sister pale mimi nipo kimyaa maana sikutaka kuingilia mambo yasonihusu. Asa sister akawaambia tuingieni ndani tuongee vizuri. Shem akatangulia na sister akafuata. Mimi nikatega niwe wa mwisho japo nlitaka nisiingie ila shem akaniambia njoo naww maana sio mtoto wew uje uone madudu ya kaka ako.
Bwana wee, bro akaitoa ile simu zilikuwa ni zile Nokia za batan nyingi (viji batan vidogodogo vingi kama mnazikumbuka), kulikuwa na ndoo imejaa maji pale nje bro akaitumbukiza kwenye maji baada ya kutoa betri akazitumbukiza zote kwenye maji (simu yenye ushahidi hyo). Anaulizwa mbona huji, anasema nakuja kumbe mwamba anaharibu ushahidi ilinibid nianze kucheka had machoz, bas nikajikausha namm nikaingia ndan. Kikao kikaanza kwa shem kuelezea tukio zima, basi bro kuulizwa kwann unafanya hiv bro anakataa anasema mm sielew chchte. Shem akamwambia sister "Wifi mwambie akupe hyo simu kama naongea uongo"
Sister anamwambia bro tunaomba hyo simu, bro anasema mimi sina simu. Shem anamuuliza umeiacha wapi siulikuwa nayo?, bro anawaambia simu ipo nje kwenye ndoo ya maji. Shem anatoka kwenda kuiangalia sasa ili ambananishe mhalifu wake, anakuta chombo inapiga mbizi kwenye maji. Anarudi anahamaki "Wifi kaka ako kaiweka simu kwenye maji, siunaona?, kaona aiweke kwenye maji maana anajua madudu yake yatafichuka". Asee mimi uvumilivu ulinishinda maana muda wote nlikuwa nimejiinamia chini nimelaza kichwa kwa magoti nacheka chinichini sitaki kumwangalia bro maana nahofia ntacheka kwa sauti mwisho maswali yahamie kwangu. Asa kwa tukio hilo na shem kuiona simu kwa maji asee nlijikuta naangua kicheko non stop, nikaona nitoke nje, nao uvumilivu ukawashinda wakaanza kucheka maana tayari bro alishajifunga kuwa ni kweli kwa makosa anayotuhumiwa ila tuu alichoficha n msg na namba ya mchepuko husika. Anaulizwa asa kwann umeweka simu kwnye maji kama sio kweli, anasema asa kama simu imedondoka kwenye maji mm nifanyeje?, Mimi mbavu sina kwa kucheka. Basi sister akawaeka sawa tuu kwa kumkanyaga sana bro kuwa keshakuwa mtu mzima aachane na mambo ya kando n.k.
Shem temper ilishuka baada ya tukio la kukuta simu kwa maji na mm kuanza kucheka nao wakapokea ikawa sasa kikao chote watu wanacheka had yeye mwenyewe maana bro ni kama alionyesha ukunguru flani hv, na akaona kamkomoa kwamba kaharibu simu kwa mistar kadhaa ya msg.
Badae namuuliza bro asa kwann umeamua kuharibu simu kisa nsg tuu siungeifuta na namba y huyo demu kulko kuiweka kwa maji. Aniambia nilikumbuka basi?, pia ningewapa ile simu ilikuwa ni bomu kuna majanga yakutosha mule.
Baada ya siku 3 akanipgia kuwa ile simu haijafa aliiweka juani na karudishia betry imewaka ila tuu ina ukungu kwenye kioo na ndo hyo anayonpigia nayo.

Asa hili tukio
 
Wakuu salama.

Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea

Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA.

Ilinitokea siku Moja nilikuwa naacha simu nyumbani naenda kazini (maana sikuwa na ruhusa ya kuingia na simu kazini kipindi hicho)

Nilkuwa na manzi mmoja Ambae tulipendana sana pengine ilibaki manusura tu nimuone.

Siku hiyo natoka kazini nikamkuta wife kanuna kavimba uso Na ana Angalia kama hanioni.

Kwa kawaida Mimi nishamkataza kunisalimia mbele ya Watoto ama mbele ya wageni.

Ni lazima anifate chumbani anisalimie na kunipa lineup yote ya nyumbani ilivyoenda kutwa nzima

Hii ndo kawaida yangu. Baada ya kuona Kuna dalili isiyo ya kawaida nikauliza unaumwa?

Akajibu si heri hata kuumwa

Nikamuuliza basi umefiwa?

Akajibu mara 100 ningekuwa nimefiwa!

Majibu haya yalinifanya nijiongeze kuwa Leo Kuna kimeo asee.

Sikubabaika hata kidogo. Nikawahi kuangalia simu Ile nafungua msg!!

Aiseee sikuamini nilichokiona

Wamechat na manzi angu Hadi uvumilivu ukamshinda akamtukana!!

Baadhi ya chatting zao zilikuwa Hivi

Manzi:My...
Wife :nambie mpenzi upo poa

Manzi :Nipo poa tu

Wife :nambie ....

Manzi: baby ahadi yetu si Iko palepale Mme wangu maana wewe Kwa kusahau mambo

Wife: mmmh ahadi yetu Tena ipi jamaniii

Manzi:akafunguka story yte na hapa ndipo wife akajitamburisha)

Story ilikuwa Hivi.

Huyu manzi ni mtoto wa 3 kwao na alikuwa Bado hajaolewa ndo ametoka chuo kipindi anatoka chuo yupo tu mzee wake akawa amepta mafao yake baada ya kustaafu ualimu.

Mzee akamwambia mtoto wake achague biashara atakayoweza kusimamia apewe mtaji muda huo akiwa Kwa wazee wake.

Manzi bila kupoteza muda akanidokeza akiniomba ushauri.

Nami nipo vzr nikamuuliza kwanza wewe unapenda biashara Gani?

Akasema anapenda duka la nguo ama vipodozi.

Nikamjibu fanya vipodozi maana mtaani kwao kulikuwa na duka Moja tu la vipodoz Wala sio kubwa na limekata kizamani sana na muuzaji hna customer care

Vilevile hapo nyuma nimewahi simamia pia duka la vipondozi la nyumbani kwetu baada ya dada yangu kuolewa aliyekuwa anauza.

Kama haitoshi dada yangu huyohyo alienda kufunguiwa duka la vipodozi ambalo analo Hadi Leo!

Inshort

Tulipanga kwenda Dar kununua vipodozi Mimi, dada na yeye (3)huku dada akijua kabisa mchezo.

Manzi alifunguka Kwa wife kuwa..... Ile ahadi ya kwenda dar kununua vipodozi umesahau Tena na uliniahidi mwenyewe?

Wife kusikia vile basi akajua Hela ya mtaji nimetoa Mimi ndo akamwambia unachti na mke wake mbwa wewe usiekuwa na haya Kwa wanaume wa wenzio

Malaya ndio maana hujaolewa unachezewa tu(hapo sijabadiri nguo ndo nasoma jasho linatiririka wife hata hajui yupo nje bado)

Nikavaa nikatoka huyoo mtaani

Nikaendelea kusoma nikakaa sehemu Moja Hivi uwanjani watu hufanya mazoezi ya mpira.

Manzi alipoona katukanwa nae kajibu mapigo alimtukana wife vya ndani kuwa hujui kuosha k ndio maana anakuacha anakuja kwangu na Kwa taarifa Yako Hadi gari itanunuliwa!!

Hii vita ilikuwa sio poa
Walipochoka wakapigiana simu maana nilkuta manzi kapiga na wife kapiga kama mara4.

Ilipofika saa2 nikarudi home nimenunua matunda nikakuta amepika akanikaribisha kula ila yeye Hali.

Nikanawa nikamuuliza mbona wewe huli? Akasema kula tu nikamwambia haiwezi tokea

Umenuna nimekuulza unaumwa hajajibu umefiwa hujajibu

Je kama umeweka Sumu humu? basi kula mwenyew au mwaga.

Nikarudi kula mgahawani nikarudi kulala.

Nikajifanya kama sijui kitu Wala sijaona kitu kwenye simu yangu.

Kumbuka nikiwa uwanjani nilimpigia manzi nikamuomba msamaha Kwa yaliyo tokea nikamwambia Mimi nimeshamwambia kabisa nimeoa

hivo alikuwa anakutukana kama mke mwenza sorry baby haya yamepita kuwa na amani hayatajirudia Tena.

Kesho yake nikaenda job kama Kawa nikarudi hivyo hivo kanuna Nami sijali nacheza na dogo tu (mtoto) Wala Sina hofu yoyote Ile.

Siku3 natoka kazini Sasa ndo akanikalisha kikao

Akanieleza wee Mimi nikamwambia sijui kabisa Wala msg sijaona hata Moja kule.

Alinibana lkn wapi nikamwambia Mimi sijui na Mimi nilijua labda una mawazo Yako tu hutaki nishirikisha.

Ikabidi apige simu amuite mzee

Mzee akaja kweli wakanikalisha kikao. Nikajibu mzee sikuona msg Wala Nini ila hiyo no anayosema ni ya rafiki yangu tu aliniomba nimpeleke dar mi nikaona haitakuwa sawa kwenda dar na mwanamke

Ni bora nimuungamishe na dada na Kwa sababu yeye dada ni mzoefu wa biashara hii itakuwa vizuri zaidi

Hata dada tukimpigia simu saivi kumuuliza hii kitu atawaambia kama nilivyo waambia hapa.

Simu ikapigwa na mzee mwenyew dada akajisahaulisha simu nikapewa Mimi nikamwambia yule dada × niliyekuambia mwende nae dar

Dada akajiongeza ukumbuke hapo hajapangwa

Akadakia hata Leo amenipigia anaulizia tunaenda lini mzee wake anauliza vipi Kuna shida kwani?

Maelezo ni mengi lakini Kwa kifupi
Sikukubali kabisa Wala msamaha sikuomba Wala kutingishwa hakunitingisha Tena.

Akanyoooka

Ila mzee akawa amejua akaniambia hakikisha simu Yako unafunga kabisa na umzuie asishike au kama atatumia asipokee simu Yako Wala kusoma msg zako akimaliza kutumia aendelee na simu yake.

Ni hivyo wakuu. Share hapa nww kisa chako uli
Pichani ni bibi akiniambia mwanaume haombi msamaha Bali husema yameisha basii jamani
Kwaio wewe, dada ako pamoja na baba ako mmeshirikiana kum danganya mtoto wa watu
 
Wanawake wengi hawana pakwenda 😄 Tena ukute Hana kipato chochote ataondoka ataenda wapi? Ataenda kula Nini? Kwahiyo itabidi arudi 2 asubirie chochote hapo. Ukikuta anae jiweza kiuchumi ndio byebye
Kumbuka ww nd ulimtoa kwao ukamuweka kwako ukamzalisha ukamfanya asiwe na.mda wa kujitaftia, tupunguze kuwadharau wanawake, wana mchango mkubwa sana ktik maisha yetu,
 
Wakuu salama.

Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea

Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA.

Ilinitokea siku Moja nilikuwa naacha simu nyumbani naenda kazini (maana sikuwa na ruhusa ya kuingia na simu kazini kipindi hicho)

Nilkuwa na manzi mmoja Ambae tulipendana sana pengine ilibaki manusura tu nimuone.

Siku hiyo natoka kazini nikamkuta wife kanuna kavimba uso Na ana Angalia kama hanioni.

Kwa kawaida Mimi nishamkataza kunisalimia mbele ya Watoto ama mbele ya wageni.

Ni lazima anifate chumbani anisalimie na kunipa lineup yote ya nyumbani ilivyoenda kutwa nzima

Hii ndo kawaida yangu. Baada ya kuona Kuna dalili isiyo ya kawaida nikauliza unaumwa?

Akajibu si heri hata kuumwa

Nikamuuliza basi umefiwa?

Akajibu mara 100 ningekuwa nimefiwa!

Majibu haya yalinifanya nijiongeze kuwa Leo Kuna kimeo asee.

Sikubabaika hata kidogo. Nikawahi kuangalia simu Ile nafungua msg!!

Aiseee sikuamini nilichokiona

Wamechat na manzi angu Hadi uvumilivu ukamshinda akamtukana!!

Baadhi ya chatting zao zilikuwa Hivi

Manzi:My...
Wife :nambie mpenzi upo poa

Manzi :Nipo poa tu

Wife :nambie ....

Manzi: baby ahadi yetu si Iko palepale Mme wangu maana wewe Kwa kusahau mambo

Wife: mmmh ahadi yetu Tena ipi jamaniii

Manzi:akafunguka story yte na hapa ndipo wife akajitamburisha)

Story ilikuwa Hivi.

Huyu manzi ni mtoto wa 3 kwao na alikuwa Bado hajaolewa ndo ametoka chuo kipindi anatoka chuo yupo tu mzee wake akawa amepta mafao yake baada ya kustaafu ualimu.

Mzee akamwambia mtoto wake achague biashara atakayoweza kusimamia apewe mtaji muda huo akiwa Kwa wazee wake.

Manzi bila kupoteza muda akanidokeza akiniomba ushauri.

Nami nipo vzr nikamuuliza kwanza wewe unapenda biashara Gani?

Akasema anapenda duka la nguo ama vipodozi.

Nikamjibu fanya vipodozi maana mtaani kwao kulikuwa na duka Moja tu la vipodoz Wala sio kubwa na limekata kizamani sana na muuzaji hna customer care

Vilevile hapo nyuma nimewahi simamia pia duka la vipondozi la nyumbani kwetu baada ya dada yangu kuolewa aliyekuwa anauza.

Kama haitoshi dada yangu huyohyo alienda kufunguiwa duka la vipodozi ambalo analo Hadi Leo!

Inshort

Tulipanga kwenda Dar kununua vipodozi Mimi, dada na yeye (3)huku dada akijua kabisa mchezo.

Manzi alifunguka Kwa wife kuwa..... Ile ahadi ya kwenda dar kununua vipodozi umesahau Tena na uliniahidi mwenyewe?

Wife kusikia vile basi akajua Hela ya mtaji nimetoa Mimi ndo akamwambia unachti na mke wake mbwa wewe usiekuwa na haya Kwa wanaume wa wenzio

Malaya ndio maana hujaolewa unachezewa tu(hapo sijabadiri nguo ndo nasoma jasho linatiririka wife hata hajui yupo nje bado)

Nikavaa nikatoka huyoo mtaani

Nikaendelea kusoma nikakaa sehemu Moja Hivi uwanjani watu hufanya mazoezi ya mpira.

Manzi alipoona katukanwa nae kajibu mapigo alimtukana wife vya ndani kuwa hujui kuosha k ndio maana anakuacha anakuja kwangu na Kwa taarifa Yako Hadi gari itanunuliwa!!

Hii vita ilikuwa sio poa
Walipochoka wakapigiana simu maana nilkuta manzi kapiga na wife kapiga kama mara4.

Ilipofika saa2 nikarudi home nimenunua matunda nikakuta amepika akanikaribisha kula ila yeye Hali.

Nikanawa nikamuuliza mbona wewe huli? Akasema kula tu nikamwambia haiwezi tokea

Umenuna nimekuulza unaumwa hajajibu umefiwa hujajibu

Je kama umeweka Sumu humu? basi kula mwenyew au mwaga.

Nikarudi kula mgahawani nikarudi kulala.

Nikajifanya kama sijui kitu Wala sijaona kitu kwenye simu yangu.

Kumbuka nikiwa uwanjani nilimpigia manzi nikamuomba msamaha Kwa yaliyo tokea nikamwambia Mimi nimeshamwambia kabisa nimeoa

hivo alikuwa anakutukana kama mke mwenza sorry baby haya yamepita kuwa na amani hayatajirudia Tena.

Kesho yake nikaenda job kama Kawa nikarudi hivyo hivo kanuna Nami sijali nacheza na dogo tu (mtoto) Wala Sina hofu yoyote Ile.

Siku3 natoka kazini Sasa ndo akanikalisha kikao

Akanieleza wee Mimi nikamwambia sijui kabisa Wala msg sijaona hata Moja kule.

Alinibana lkn wapi nikamwambia Mimi sijui na Mimi nilijua labda una mawazo Yako tu hutaki nishirikisha.

Ikabidi apige simu amuite mzee

Mzee akaja kweli wakanikalisha kikao. Nikajibu mzee sikuona msg Wala Nini ila hiyo no anayosema ni ya rafiki yangu tu aliniomba nimpeleke dar mi nikaona haitakuwa sawa kwenda dar na mwanamke

Ni bora nimuungamishe na dada na Kwa sababu yeye dada ni mzoefu wa biashara hii itakuwa vizuri zaidi

Hata dada tukimpigia simu saivi kumuuliza hii kitu atawaambia kama nilivyo waambia hapa.

Simu ikapigwa na mzee mwenyew dada akajisahaulisha simu nikapewa Mimi nikamwambia yule dada × niliyekuambia mwende nae dar

Dada akajiongeza ukumbuke hapo hajapangwa

Akadakia hata Leo amenipigia anaulizia tunaenda lini mzee wake anauliza vipi Kuna shida kwani?

Maelezo ni mengi lakini Kwa kifupi
Sikukubali kabisa Wala msamaha sikuomba Wala kutingishwa hakunitingisha Tena.

Akanyoooka

Ila mzee akawa amejua akaniambia hakikisha simu Yako unafunga kabisa na umzuie asishike au kama atatumia asipokee simu Yako Wala kusoma msg zako akimaliza kutumia aendelee na simu yake.

Ni hivyo wakuu. Share hapa nww kisa chako uli
Pichani ni bibi akiniambia mwanaume haombi msamaha Bali husema yameisha basii jamani
Mbona ndefu hivi
 
Back
Top Bottom